GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
"Kwakuwa Rais wa Congo DR amekataa Kuzungumza nasi sasa tunamuomba asitulaumu kwani sasa tutampiga na kuanza Kukamata miji yote Muhimu na asidanganywe na Wanajeshi wa nchi Mbili Viherehere wanaomsaidia kwani watarejea Makwao wakiwa Maiti" Msemaji wa Waasi wa Kundi la M23.
Chanzo: Amka na BBC ya Leo
Haya nchi Mbili Viherehere moja GENTAMYCINE naijua ni Burundi ila nyingine nimeisahau mmeshaonywa huko na Wanamume tena Wababe wa Vita vya Msituni kuwa kuweni makini vinginevyo mtakuwa mnapokea tu Maiti zao katika Viwanja vyenu vya Jeshi kule Wapaki mita chache na Mahakama ya Mbuzi na zinakotoka Nyama zote za Mabucha yote ya Jiji fulani Kubwa la Biashara Afrika Mashariki.
Chanzo: Amka na BBC ya Leo
Haya nchi Mbili Viherehere moja GENTAMYCINE naijua ni Burundi ila nyingine nimeisahau mmeshaonywa huko na Wanamume tena Wababe wa Vita vya Msituni kuwa kuweni makini vinginevyo mtakuwa mnapokea tu Maiti zao katika Viwanja vyenu vya Jeshi kule Wapaki mita chache na Mahakama ya Mbuzi na zinakotoka Nyama zote za Mabucha yote ya Jiji fulani Kubwa la Biashara Afrika Mashariki.