M23 yamuonya Rais wa DRC na nchi 'viherehere' zinazomsaidia

M23 yamuonya Rais wa DRC na nchi 'viherehere' zinazomsaidia

Ni wana JamiiForums wachache sana wenye Akili Kubwa kama GENTAMYCINE ndiyo Watakuelewa ( tutakuelewa ) kwa haya Madini ya Ukweli uliyoyaandika hapa.

Tegemea Wapumbavu wengi na wenye Chuki na Rais Kagame, Kabila la Tutsi na Wanyarwanda kwa Ujumla kuja Kukupinga na hata Kukushambulia kwa huu Ukweli Mtupu uliouandika hapa.
Kagane ndiye kiongozi ndani ya EA anayesababisha Kongo DRC isitulie wala isikalike.
Ni wakati sasa kwa DRC kuliona hili na kufyagia mpaka kuingia kigali.
 
Ni wana JamiiForums wachache sana wenye Akili Kubwa kama GENTAMYCINE ndiyo Watakuelewa ( tutakuelewa ) kwa haya Madini ya Ukweli uliyoyaandika hapa.

Tegemea Wapumbavu wengi na wenye Chuki na Rais Kagame, Kabila la Tutsi na Wanyarwanda kwa Ujumla kuja Kukupinga na hata Kukushambulia kwa huu Ukweli Mtupu uliouandika hapa.
Popoma una akili gani sasa
 
Putin anapigana na mataifa zaidi ya 27...udogo gani unaousema mkuu?!

Mataifa gani hayo 27, mwambieni aguse kataifa kamoja ka NATO ndio muelewe nini maana ya Urusi kufutwa kwenye uso wa dunia....maustadh bana.
 
Sio kwa hawa wezi wa madini, ukiwaona wamevaa kombati utasema jeshi ndio hili kumbe ushuzi mtupu, wajaribu waone.

Lakini tangu niskie M23 wamefutwa ni kitambo sana, nashangaa bado wapo na wanatoa matamko.
 
MK254 kesha sahau rafiki zake walivyo vurumishwa na wakulima wa mpunga wavaa sandals za matiri ya magari na sambrero straw hats huko VietNam, hapo hatujagusia wajukuu wa marehemu Mulla Omari - hilo ulisemi, badala yake huko overly obsessed na Brainy Putin - utaongea sana/mengi lakini Dunia inajua kwamba Putin ni maji marefu - FYI the World banks on Tzar Putin kukomesha mabeberu i.e wakoloni mambo leo - wewe na genge lako kitu hii inawahuma sana sana - bahati nzuri mmekwisha chelewa jamaa amekwisha wazidi kete, mtabakia na ngonjera zenu za kuongezea punitive sanctions yet again!!!

Duh! Jamaa ni kama huwa una matatizo, kawaida huwa sisomi hizi insha zako, huwa nasoma mstari mmoja tu wa mwanzo, ila leo nimeamua nivumilie nisome mpaka mwisho tena mara kadhaa nimeshindwa kuunganisha nini unaongea kuhusu. Ha ha ha!!
Anyway kwa kifupi siwapendi hao M23 ila sitawadharau maana nimeshuhudia kubwa jinga Urusi amefanywa vibaya sana na kataifa kadogo yaani....

iwjyug4vdnn81.jpg
 
Ikitokea tena kama ile basi JWTZ wasiishie mpakani wawafuate huku huko kwa wafadhili wao ili
kujenga heshima zaidi.
Itakuwa mtiti si unajua madikteta ambavyo huwa wanajitahidi kuimarisha majeshi yao. Vita itarindima lakini tunaweza kumpiga.
 
M23 wamerejea tena zama za mkwere.

Labda aliyetoa ile kauli " i will hit you" anataka kujaribu bahati yake tena.
 
Back
Top Bottom