Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Kagane ndiye kiongozi ndani ya EA anayesababisha Kongo DRC isitulie wala isikalike.Ni wana JamiiForums wachache sana wenye Akili Kubwa kama GENTAMYCINE ndiyo Watakuelewa ( tutakuelewa ) kwa haya Madini ya Ukweli uliyoyaandika hapa.
Tegemea Wapumbavu wengi na wenye Chuki na Rais Kagame, Kabila la Tutsi na Wanyarwanda kwa Ujumla kuja Kukupinga na hata Kukushambulia kwa huu Ukweli Mtupu uliouandika hapa.
Popoma una akili gani sasaNi wana JamiiForums wachache sana wenye Akili Kubwa kama GENTAMYCINE ndiyo Watakuelewa ( tutakuelewa ) kwa haya Madini ya Ukweli uliyoyaandika hapa.
Tegemea Wapumbavu wengi na wenye Chuki na Rais Kagame, Kabila la Tutsi na Wanyarwanda kwa Ujumla kuja Kukupinga na hata Kukushambulia kwa huu Ukweli Mtupu uliouandika hapa.
Putin anapigana na mataifa zaidi ya 27...udogo gani unaousema mkuu?!
Sio kwa hawa wezi wa madini, ukiwaona wamevaa kombati utasema jeshi ndio hili kumbe ushuzi mtupu, wajaribu waone.
MK254 kesha sahau rafiki zake walivyo vurumishwa na wakulima wa mpunga wavaa sandals za matiri ya magari na sambrero straw hats huko VietNam, hapo hatujagusia wajukuu wa marehemu Mulla Omari - hilo ulisemi, badala yake huko overly obsessed na Brainy Putin - utaongea sana/mengi lakini Dunia inajua kwamba Putin ni maji marefu - FYI the World banks on Tzar Putin kukomesha mabeberu i.e wakoloni mambo leo - wewe na genge lako kitu hii inawahuma sana sana - bahati nzuri mmekwisha chelewa jamaa amekwisha wazidi kete, mtabakia na ngonjera zenu za kuongezea punitive sanctions yet again!!!
Ilikuweje jazia nyamaHii operation Kagane hatakuja amsahau JK maisha yake yote
Ndio kipindi hicho walikimbia, na ndio sasa wanarudi tena. Kipindi cha JK.mbona hii story ya mda sana
Yeah, walifanya vizuri sana hadi tukaingia kwenye rank ya special forces bora kabisa.Kilikuwa chini ya mwakibolwa
Itakuwa mtiti si unajua madikteta ambavyo huwa wanajitahidi kuimarisha majeshi yao. Vita itarindima lakini tunaweza kumpiga.Ikitokea tena kama ile basi JWTZ wasiishie mpakani wawafuate huku huko kwa wafadhili wao ili
kujenga heshima zaidi.