M23 yazitaka taasisi za kiserikali kuendelea kutoa huduma

M23 yazitaka taasisi za kiserikali kuendelea kutoa huduma

Mkuu hii ya 🇺🇸 kuwataka raia wake kuwa vigilant na pass zao ready kwa madai ya kwamba DR na burundi wanaweza vamia kigali iko vipi?
Siku zote mzungu anaweka matako palipo masirahi yake. Kumbuka, pale, wababe wote wamo. Na hawataki kuonekana wapo nyuma ya mzozo huo.
Kuhusu issue ya kuvamia Kigali, uwezekano wa kitu hicho ni 0.005%. Kilichowaponza wote huko(DRC, SAMIDRC, Mercenaries, Burundi) wote walichukulia poa ujasusi wa Rwanda.
Mpaka sasa, kuanzia Goma mpaka walipo sasa hivi, wameshapoteza sana.

DRC, ingefikilia hivyo kama kungekuwa na njia. M23 haiwezi. DRC itavamia Rwanda kupitia wapi? Burundi, labda kwenye ndoto.
Kwa hiyo, ni ile tu kwamba DRC imeegemea wanafiki, moto umewaka, wakakaa mbali, na kumuacha rais ajijue mwenyewe.
Ndo maana mpaka sasa, wanaoweka vikwazo, hakuna aliewahi kuiomba M23 kurudi nyuma, kusitisha mapigano au kuachia maeneo. Hata ikitokea ikasitisha vita, ina maana maeneo inayokalia kwa sasa, hayawezi kurudi mikononi mwa serikali.
Na kumbuka, eneo hili(mashariki) ndo uti wa mgongo kuhusu madini DRC.
 
Siku zote mzungu anaweka matako palipo masirahi yake. Kumbuka, pale, wababe wote wamo. Na hawataki kuonekana wapo nyuma ya mzozo huo.
Kuhusu issue ya kuvamia Kigali, uwezekano wa kitu hicho ni 0.005%. Kilichowaponza wote huko(DRC, SAMIDRC, Mercenaries, Burundi) wote walichukulia poa ujasusi wa Rwanda.
Mpaka sasa, kuanzia Goma mpaka walipo sasa hivi, wameshapoteza sana.

DRC, ingefikilia hivyo kama kungekuwa na njia. M23 haiwezi. DRC itavamia Rwanda kupitia wapi? Burundi, labda kwenye ndoto.
Kwa hiyo, ni ile tu kwamba DRC imeegemea wanafiki, moto umewaka, wakakaa mbali, na kumuacha rais ajijue mwenyewe.
Ndo maana mpaka sasa, wanaoweka vikwazo, hakuna aliewahi kuiomba M23 kurudi nyuma, kusitisha mapigano au kuachia maeneo. Hata ikitokea ikasitisha vita, ina maana maeneo inayokalia kwa sasa, hayawezi kurudi mikononi mwa serikali.
Na kumbuka, eneo hili(mashariki) ndo uti wa mgongo kuhusu madini DRC.
Binafsi naiona hii situation very complicated ni hali imebadirika ghafla hata habari za mitandaoni ni kama zimepoa. Yaani UN walikuwa wapi kutoa matamko kabla mambo kufika huku yalipofikia. Will not be sprised iwapo hata wakija na mpango wa kuigawa congo. Waafrica huwa haiwezekani kuweka nguvu pamoja sababu ya unafki na tamaa za hapa na pale.
 

Attachments

  • 20250223_052830.jpg
    20250223_052830.jpg
    70.7 KB · Views: 2
  • 20250222_134308.jpg
    20250222_134308.jpg
    110.3 KB · Views: 2
  • 20250222_134306.jpg
    20250222_134306.jpg
    147.9 KB · Views: 2
  • 20250222_134304.jpg
    20250222_134304.jpg
    121.9 KB · Views: 2
Back
Top Bottom