Ma Ex-girlfriendz zangu ni video queen, Wapiga ramli na wasoma nyota mkuje mniambie nina kipaji gani?

kuna kipindi flani wakati niko collage kuna jamaa alinishawishi niwe ktk mambo ya modal ila mi binafsii sikuingia humo,, ule usiku wa shindano nikaopoa demu mmoja modal matata,,

ila yeye sasa amekuwa mwanamuziki
 
dah nahisi nna kipaji flani ila sijajigundua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…