Ma-expert wa bible msaada kidogo kunifafanulia hili

Ma-expert wa bible msaada kidogo kunifafanulia hili

Unaona tatizo lako.
Kwa nini maneno yaha hakuyasema kabla hajafa?

Kwa sababu alikuwa bado yuko kwenye mpango na kondoo waliopotea katika nyumba ya Israel Mkuu.
Baada ya kufufuka kazi yake kwa kondoo ilikuwa ...imekwisha ndipo aligeukia mataifa na kuwatangazia Neema ya kufanyika wana WA Mungu sawa na Israel yote.
 
Kwa sababu alikuwa bado yuko kwenye mpango na kondoo waliopotea katika nyumba ya Israel Mkuu.
Baada ya kufufuka kazi yake kwa kondoo ilikuwa ...imekwisha ndipo aligeukia mataifa na kuwatangazia Neema ya kufanyika wana WA Mungu sawa na Israel yote.

Umeona kama umeandika tofauti na msimamo wako wa kwanza.
 
Hvi hicho ndo kifungu gani ktk hii biblia ya lugha yetu ya kiswahili?
 
Sina access na jukwaa la dini sasa nmeona nitupie huku kwenye Intelligence.
Kuna some parts hua zinanivunja imani muda mwingine nikisoma kwenye bible which is actually a bad thing, sasa leo hili fungu limenichanganya akili

[h=1]Deuteronomy 22:28-29New International Version (NIV)[/h]28 If a man happens to meet a virgin who is not pledged to be married and rapes her and they are discovered, 29 he shall pay her father fifty shekels[a] of silver. He must marry the young woman, for he has violated her. He can never divorce her as long as he lives

Ni wazi kabisa fungu linasema kua mwanaume akikutwa kambaka binti ambaye ni bikra basi atamlipa baba yake huyo mwanamke vipande vya silver alafu atatakiwa kumuoa na hatotakiwa kumpa talaka maisha yake yote.. Sasa hili fungu linachonichanganya, kwa nini mwanamke wa atu abakwe afu tena biblia itake aoane na huyohuyo aliyembaka, si ni mateso hayo ambayo binti hakujitakia, yani anakua kama analipa kosa ambalo hakulifanya tena for life? This is cruel! em nisaideni niondoe mashaka yangu..

Afu kama huna la maana la kuongea usijibu, i dont wish to see watu wanaanza kusema dini yao ndo ya kweli blah blah blah.. ulizaliwa tu huko usiwe mpiga kelele sana

bible ina mafunzo mengi sana.sana sana na hasa agano la kale limebase sana katika historia ya waisrael na unakuta kwamba kuna sheria nyingi sana ktk bible ambazo zilitungwa kusolve matatizo ya jamii hiyo kwa wakati huo na haziwez kuwa applied kwa jamii nyingine na nyakati nyingine.ndiyo maana baaya ya hapo Mungu akatoa amri kumi ambazo zilimeza amri zote ndogondogo ambazo zilikuwepo wakati huo.pia yesu akaja kukazia na amri kuu ambayo inameza zote zilizobakia.ambayo ni amri ya mapendo.kuna amri na sheria ndogo ndogo nyingi sana ktk bible but kumbuka zilitolewa kwa minajili tu ya kusolve current problems za jamii moja tu na wakat huo tu.wakat kulikuwa na waisrael pia kulikuwa na jamii za kifilist na nyinginezo so sheria hizi zili apply kwa wap tu na siyo jamii nyingine.huwez kutenganisha dini na jamii.lazima dini ianzie katika jamii flani na unakuta jamii hiyo ina mila na desturi zake so kuna uwezekano mkubwa baadhi ya tamaduni zikaingizwa kwenye dini.mfano wakatoliki huwa wanasali kwa kuimba.hii haikuwa tamaduni ya kila mkatoliki dunia nzima lakini kwa kuwa dhehebu lilianzia kwa warumi na wao walikuwa na tamaduni za kuimba basi ikawa incoperated ktk dini but siyo kwamba bila kuimba sala haiendi.so sheria zingine ziliwabana waisrael kwa matatizo yao ya wakat huo na haiwez kutimika kwa jamii nzima kwa kuwa tu imeandikwa kwenye bible.so mkuu isikuumize kichwa siyo kila kilichoandikwa kwenye bible kinafaa kwa kila jamii.zingine ni stori na kuona jinsi watu walivyokuwa wakiishi wakat huo
 
Tatizo lako nimeliona muda mrefu tu katika michango yako

Yesu alipokuja hapa, hakuwa na assignment ya kutuletea sisi habari njema, sisi habari hizi zilianza kuwa za haki kwetu baada ya Paul kupewa assignment hiyo na Yesu

Japo mpaka sasa Mbwa aliowasema Yesu wapo, hata kati yako na mimi muda huu mmoja wetu ni mbwa.

Mimi naona wewe ni mbwa..
 
Yesu mfufuma alikuwa na mamlaka kama ya mfufuka?

Ndugu inefikia pahala tunapotezea muda Tu.
Wewe akili yako imefungwa haiwezi pokea kitu kipya.
Kwenye maandishi yangu nikijibu baadhi ya hoja zako nimekuwekea nukuu kutoka injili Kama ilivyoandikwa katika

Mathayo 28:18-20
Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani...
Sasa hii habari ya mamlaka Kama ya mfufuka sijui inatokana na hoja gani...
 
Ndugu inefikia pahala tunapotezea muda Tu.
Wewe akili yako imefungwa haiwezi pokea kitu kipya.
Kwenye maandishi yangu nikijibu baadhi ya hoja zako nimekuwekea nukuu kutoka injili Kama ilivyoandikwa katika

Mathayo 28:18-20
Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani...
Sasa hii habari ya mamlaka Kama ya mfufuka sijui inatokana na hoja gani...

Ni shida.
Kwani Wakati Ibilisi anamuambia Yesu atampa Ulimwengu mzima kama akimsujudia ni kwa nini Yesu hakumuambia Ibilisi kwamba Yeye ndio anamamlaka yote Mbinguni na duniani? au hakutaka ubishi?
 
Ni shida.
Kwani Wakati Ibilisi anamuambia Yesu atampa Ulimwengu mzima kama akimsujudia ni kwa nini Yesu hakumuambia Ibilisi kwamba Yeye ndio anamamlaka yote Mbinguni na duniani? au hakutaka ubishi?

Hapa najaza maji kwenye pakacha hakika ! Ungekuwa unaniambia kwamba hoja hii nimeielewa lakini nina swali.
Huku kurukaruka na hoja bila mpangilio ni up.uuzi Kabisaa.
Hakuna pahala ukasema umeelewa hata baada ya kupewa andiko umebaki kupandisha hoja juu ya hoja.
Muulize Yesu kwa nini hakumjibu shetani unavyotaka wewe, ni imani yangu kuwa atakujibu.
 
Hapa najaza maji kwenye pakacha hakika ! Ungekuwa unaniambia kwamba hoja hii nimeielewa lakini nina swali.
Huku kurukaruka na hoja bila mpangilio ni up.uuzi Kabisaa.
Hakuna pahala ukasema umeelewa hata baada ya kupewa andiko umebaki kupandisha hoja juu ya hoja.
Muulize Yesu kwa nini hakumjibu shetani unavyotaka wewe, ni imani yangu kuwa atakujibu.

Jibu swali wewe,wewe ndio umeleta hoja ya Yesu kusema amepewa mamlaka Duniani na Mbinguni kama justification kwamba alipokuwa hapa duniani alifungulia milango ya Neno la Mungu kutangazwa huku kwetu,

Yesu aliyetoa maelekezo hayo umemtambulisha kama Yesu Mfufuka, nikachukulia unamaanisha kwamba alitoa maelekez hayo baada ya kufufuka, kwa maana ya kwamba kabla ya kufa na kufufuka haikuwa kwenye ratiba yake kufungulia milango.

Nilipogundua haumaanishi hivyo ndio nimekuletea hiyo issue ya Shetani kumuahidi Yesu kumpa ulimwengu mzima,lengu langu ni ili ufunguke, cha ajabu unakurupuka kurupuka tu hapa.
 
Sina access na jukwaa la dini sasa nmeona nitupie huku kwenye Intelligence.Kuna some parts hua zinanivunja imani muda mwingine nikisoma kwenye bible which is actually a bad thing, sasa leo hili fungu limenichanganya akiliDeuteronomy 22:28-29New International Version (NIV)

28 If a man happens to meet a virgin who is not pledged to be married and rapes her and they are discovered,29 he shall pay her father fifty shekels[a] of silver. He must marry the young woman, for he has violated her. He can never divorce her as long as he livesNi wazi kabisa fungu linasema kua mwanaume akikutwa kambaka binti ambaye ni bikra basi atamlipa baba yake huyo mwanamke vipande vya silver alafu atatakiwa kumuoa na hatotakiwa kumpa talaka maisha yake yote.. Sasa hili fungu linachonichanganya, kwa nini mwanamke wa atu abakwe afu tena biblia itake aoane na huyohuyo aliyembaka, si ni mateso hayo ambayo binti hakujitakia, yani anakua kama analipa kosa ambalo hakulifanya tena for life? This is cruel! em nisaideni niondoe mashaka yangu..Afu kama huna la maana la kuongea usijibu, i dont wish to see watu wanaanza kusema dini yao ndo ya kweli blah blah blah.. ulizaliwa tu huko usiwe mpiga kelele sana

Unashangaa hiyo? Katika biblia kuna mambo maovu maovu makubwa sana hata hayasemeki na yamefundishwa, hayo "ni cha mtoto" chembelecho msemo wa vijana, jisomee:

Deuteronomy 20: 10-14: As you approach a town to attack it, first offer its people terms for peace. If they accept your terms and open the gates to you, then all the people inside will serve you in forced labor. But if they refuse to make peace and prepare to fight, you must attack the town. When the LORD your God hands it over to you, kill every man in the town. But you may keep for yourselves all the women, children, livestock, and other plunder. You may enjoy the spoils of your enemies that the LORD your God has given you.

So note, even when people want peace they are forced into labor, basically becoming slaves. If they do not comply they are all basically killed accept the women and children. The women are the spoils of war and as the passages state enjoy them. So another massacre and more raping.

Would any Christian care to comment?
 
Jibu swali wewe,wewe ndio umeleta hoja ya Yesu kusema amepewa mamlaka Duniani na Mbinguni kama justification kwamba alipokuwa hapa duniani alifungulia milango ya Neno la Mungu kutangazwa huku kwetu,

Yesu aliyetoa maelekezo hayo umemtambulisha kama Yesu Mfufuka, nikachukulia unamaanisha kwamba alitoa maelekez hayo baada ya kufufuka, kwa maana ya kwamba kabla ya kufa na kufufuka haikuwa kwenye ratiba yake kufungulia milango.

Nilipogundua haumaanishi hivyo ndio nimekuletea hiyo issue ya Shetani kumuahidi Yesu kumpa ulimwengu mzima,lengu langu ni ili ufunguke, cha ajabu unakurupuka kurupuka tu hapa.

Ninamaanisha kwa kuwa mwenyewe alisema "sijaja ila kwa kondoo waliopotea katika nyumba ya Israel" hivyo kabla ya kifo majira ya mataifa yalikuwa bado.
Ni baada ya kushinda mauti ndipo aliifungua neema kwa mataifa.
Umekataza akili yako kuelewa ndiyo sababu wapata shida...
 
Sina access na jukwaa la dini sasa nmeona nitupie huku kwenye Intelligence.
Kuna some parts hua zinanivunja imani muda mwingine nikisoma kwenye bible which is actually a bad thing, sasa leo hili fungu limenichanganya akili

Deuteronomy 22:28-29New International Version (NIV)

28 If a man happens to meet a virgin who is not pledged to be married and rapes her and they are discovered,29 he shall pay her father fifty shekels[a] of silver. He must marry the young woman, for he has violated her. He can never divorce her as long as he lives

Ni wazi kabisa fungu linasema kua mwanaume akikutwa kambaka binti ambaye ni bikra basi atamlipa baba yake huyo mwanamke vipande vya silver alafu atatakiwa kumuoa na hatotakiwa kumpa talaka maisha yake yote.. Sasa hili fungu linachonichanganya, kwa nini mwanamke wa atu abakwe afu tena biblia itake aoane na huyohuyo aliyembaka, si ni mateso hayo ambayo binti hakujitakia, yani anakua kama analipa kosa ambalo hakulifanya tena for life? This is cruel! em nisaideni niondoe mashaka yangu..


Kwakuelewa kwangu ni kuwa wanaume walitarajiwa kuoa wanawake ambao ni mabikira kama hawakuwa wamewahi kuolewa na watu wengine.

Sasa kama umebaka, na kumuondolea bikra huyu msichana, ilikuwa wazi kuwa agizo lililenga kumuepushia huyu msichana udhalili wa kuolewa na mtu mwingine na kisha asimkute ni bikra. Na pia kumlinda zaidi ndipo hapo huyo mwanaume amenyimwa hiari ya kumuwacha kwa vile angeweza kulipa adhabu, akaoa na kisha baada ya wiki moja akamwacha. Zingatia kuwa enzi hizo ilikuwa kawaida wanaume kuoa wanawake zaidi ya mmoja.

Binafsi nakupinga kuwa agaizo lilimnyanyasa huyu binti, No, ndivyo walivyoishi wakati wao. Mpaka hivi karibuni baadhi ya sehemu za Kilimanjaro wasichana "walitekwa" njiani/kwenye kuteka maji, kuni au njiani kwenda kanisani na kwenda kuanza maisha ya ndoa. Hakukuwa na wanaorudi kwa wazazi wao baada ya "kutekwa". Ila watekaji walilipa FAINI na kujichukulia mke. Yaani Kama hiyo aya ya BIBLE.
 
Back
Top Bottom