Ma-expert wa bible msaada kidogo kunifafanulia hili

Ma-expert wa bible msaada kidogo kunifafanulia hili

Mkuu hakubadilisha kitu. Yeye mwenyewe alisema hakuja kutengua torati bali amekuja kuikamilisha. Yeye alitoa amri moja tu nayo ni UPENDO. Upendo ukitawala mtu hawezzi kumfanyia mwenzie kitu kiovu yaani huwezi kutenda dhambi. Yesu aliona unafiki wa wa Israeli wakati huo hivyo akasisitiza sana kuwa upendo utawale. Hata sasa upendo ukitawala watu hawtatenda dhambi. Hatutaua albino, hatutaiba, hatutazini nk.
Hayo yalikua maagizo waliyopewa wana wa Israeli wakati huo.
Mengine kati ya hayo yalibadilishwa baada ya Yesu Kristo kuja.
Mfano ni agizo la kutoa sadaka ya kuteketezwa ya wanyama, agizo la kutoa adhabu ya kupigwa mawe hadi kufa, agizo la kutofanya kazi siku ya sabato, n.k.
Yesu Kristo ndio kielelezo chetu, na maagizo yake ndio tunayoyafuata.
Yesu Kristo aliendeleza baadhia ya maagizo ya agano la kale, na kubadilisha maagizo mengine.
 
Sijasoma comments zote lakini kule kwetu kabla na hata baada ya dini kuingia hadi miaka ya sitini (dini ikiwepo) vijana walikuwa wanaoa kwa mtindo huo kama uwezo wa kulipa mahari ukiwa haupo. Jamaa anapepesa anaona binti Fulani atamfaa basi wanapanga siku na mabaunsa wanambeba juu kwa juu hadi mahali pa siri jamaa anamshughulikia na kutoka hapo hana pa kwenda zaidi ya kwa aliyemtenda. Au sherehe ndogo inapangwa nyumbani kwa kijana binti anaalikwa dakika za mwisho anadakwa bila kutarajiwa anaingizwa chumbani na ndio imetoka. Baadaye mambo ya mahari yanaanza na huwa yanakuwa ya kawaida maana mali tayari iko ndani!
 
Hayo yalikua maagizo waliyopewa wana wa Israeli wakati huo.
Mengine kati ya hayo yalibadilishwa baada ya Yesu Kristo kuja.
Mfano ni agizo la kutoa sadaka ya kuteketezwa ya wanyama, agizo la kutoa adhabu ya kupigwa mawe hadi kufa, agizo la kutofanya kazi siku ya sabato, n.k.
Yesu Kristo ndio kielelezo chetu, na maagizo yake ndio tunayoyafuata.
Yesu Kristo aliendeleza baadhia ya maagizo ya agano la kale, na kubadilisha maagizo mengine.

[h=1]Matthew 5:17-20New King James Version (NKJV)[/h] [h=3]Christ Fulfills the Law[/h][SUP]17 [/SUP]“Do not think that I came to destroy the Law or the Prophets. I did not come to destroy but to fulfill. [SUP]18 [/SUP]For assuredly, I say to you, till heaven and earth pass away, one jot or one tittle will by no means pass from the law till all is fulfilled. [SUP]19 [/SUP]Whoever therefore breaks one of the least of these commandments, and teaches men so, shall be called least in the kingdom of heaven; but whoever does and teaches them, he shall be called great in the kingdom of heaven. [SUP]20 [/SUP]For I say to you, that unless your righteousness exceeds the righteousness of the scribes and Pharisees, you will by no means enter the kingdom of heaven.
 
Matthew 5:17-20New King James Version (NKJV)

Christ Fulfills the Law

[SUP]17 [/SUP]"Do not think that I came to destroy the Law or the Prophets. I did not come to destroy but to fulfill. [SUP]18 [/SUP]For assuredly, I say to you, till heaven and earth pass away, one jot or one tittle will by no means pass from the law till all is fulfilled. [SUP]19 [/SUP]Whoever therefore breaks one of the least of these commandments, and teaches men so, shall be called least in the kingdom of heaven; but whoever does and teaches them, he shall be called great in the kingdom of heaven. [SUP]20 [/SUP]For I say to you, that unless your righteousness exceeds the righteousness of the scribes and Pharisees, you will by no means enter the kingdom of heaven.

Hakika, katika kutimiliza Torati alibadilisha baadhi ya vipengele.
Torati ilitimilizwa na Yesu Kristo, ndio maana nyakati zetu hizi ili uende Mbinguni, lazima ubatizwe, na pia kushika maagizo mengineyo, ila wakati wa Agano la Kale hakukuwa na hitaji la kubatizwa.

Mfano mmoja ni kama huu hapa....

Mathayo 05 : 43 - 48, Yesu Kristo anasema....

43 Mmesikia kwamba imenenwa, Umpende jirani yako, na, Umchukie adui yako;
44 lakini mimi nawaambia, Wapendeni adui zenu, waombeeni wanaowaudhi,
45 ili mpate kuwa wana wa Baba yenu aliye mbinguni; maana yeye huwaangazia jua lake waovu na wema, huwanyeshea mvua wenye haki na wasio haki.
46 Maana mkiwapenda wanaowapenda ninyi mwapata thawabu gani? Hata watoza ushuru, je! Nao hawafanyi yayo hayo?
47 Tena mkiwaamkia ndugu zenu tu, mnatenda tendo gani la ziada? Hata watu wa mataifa, je! Nao hawafanyi kama hayo?
48 Basi ninyi mtakuwa wakamilifu, kama Baba yenu wa mbinguni alivyo mkamilifu.
 
Back
Top Bottom