Ma-expert wa bible msaada kidogo kunifafanulia hili

Ma-expert wa bible msaada kidogo kunifafanulia hili

......kuna vifungu kwenye bible vinaweza rudisha imani ya mtu nyuma, hasa agano la kale.
 
Post zako zinazidi kutia mashaka na utakatifu wa Biblia.
Hiki kitabu ili uamini yaliomo inabidi unapokisoma akili yako uweke pembeni.
ETI HIZI NI SIFA ZA NABII MUHAMMAD (PBUH)

Hadith Idadi 16,245: "maneno ya Washami," Hadith ya Mu'awiya Ibn Abu Sufyan": "Nilimwona Nabii wa Allah(saw) - akimnyonya ulimi na kulamba mdomo wa Al-Hassan Mwana wa Ali, Mwenyezi Mungu amrehemu, maana hakuna mtu atakaye teswa kwa Moto wa Jehannam baada ya kunyonywa ulimi na kulambwa midomo na Nabii wa Allah. Mnaona tabia chafu ya Nabii wa Allah? Eti akikula denda na kukulamba midomo basi wewe huto kwenda Jehannam. Pia alisema, "Siku baadaye tuliomba muuguzi kwa ajili yake (Ali) lakini alikataa, basi tukamwita Nabii Muhammad - SAW -.ambaye alimnyonya ulimi "Ali" kwa kinywa chahe mpaka akalala. Hivi ndivyo Allah alivyo taka Ali afanyiwe na Nabii wake
 
Nasoma tofauti?
Muhammad Amtwanga Changu doa wake

Sunan Abu-Dawud, Kitabu 38, Namba 4458: Amehadithia Ali ibn AbuTalib: "Mtumwa wa Kisichana ambaye alikuwa mali ya nyumba ya Mtume wa Allah aligawa Uroda kwa Rafiki ya Muhammad. Basi Nabii wa Allah akasema kwa Ali: Nenda na ukampe adhabu Muasherati wangu kwa kufanya Ngono bila ya ruhusa yangu. Ali akaharakisha kwenda alipo yule Mtumwa wa Kisichana wa Muhammad na kuona damu ilikuwa inatiririka kutoka kwake, na bila kuacha. Hivyo Muhammad alikwenda kwake na akasema: Mwache damu iendelee kutiririka mpaka itakopo simama; kisha mpe adhabu kwa mujibu wa dhambi yake".

Hakika Muhammad alikuwa ni Nabii wa Shetani anaye fuga Watumwa na kuedekeza uzinzi.
 
Bila kusahau huo mlima una urefu gani mpaka uione dunia nzima ukiwa kileleni.
na angempa vipi kama kweli yesu ni mungu wakati mungu ndo kaumba vyote?.ni sawa na mtu tajiri uko na gari lako hammer halafu anakuja mtu anakwambia hii hammer nitakupa iwe yako kama utafuata ninachokwambia.
very nosense.
Koran inasema kuwa, sifa Moja ya Mungu ni "Mfalme". Je, Yesu anayo hii sifa ya "Mfalme"? Haya tusome Quran kwanza.

Quran 59: 23
Yeye ndiye Mwenyezi Mungu ambaye hapana Mungu isipo kuwa Yeye tu. Mfalme, Mtakatifu, Mwenye salama, Mtoaji wa amani, Mwenye kuyaendesha Mwenyewe mambo yake, Mwenye nguvu, Anaye fanya analo litaka, Mkubwa, Ametakasika Mwenyezi Mungu na hayo wanayo mshirikisha nayo.

Sasa tuangalie kama kweli Yesu anayo hii sifa ya Mfalme ambayo ni adhama ya Mungu pekee kutokana na Koran.

Biblia takatifi inasema yafuatayo kuhusu Yesu Kristo:
Ufunuo 17:14
Hawa watafanya vita na Mwana Kondoo na Mwana Kondoo atawashinda, kwamaana yeye ni Bwana wa Bwana na Mfalme wa Wafalme.

Katika aya hii tunasoma kuwa Yesu anaitwa "Mfalme wa Wafalme" ambayo ni adhama ya Mwenyezi Mungu kama ilivyo shaidiwa na Koran Surah ya 59 na aya 23. Hivyo basi , Allah na Koran wamekiri kuwa Yesu ni Mungu kwasababu Biblia imetuthibitishia kuwa Yesu ni Mfalme wa Wafalme katika Ufunuo 17 na aya 14.

Tuendelee na ushaidi mwingine kutoka Koran ambao unatuhakikishia kuwa Yesu ni Mungu.
 
Koran inasema kuwa, sifa Moja ya Mungu ni “Mfalme”. Je, Yesu anayo hii sifa ya “Mfalme”? Haya tusome Quran kwanza.

Quran 59: 23
Yeye ndiye Mwenyezi Mungu ambaye hapana Mungu isipo kuwa Yeye tu. Mfalme, Mtakatifu, Mwenye salama, Mtoaji wa amani, Mwenye kuyaendesha Mwenyewe mambo yake, Mwenye nguvu, Anaye fanya analo litaka, Mkubwa, Ametakasika Mwenyezi Mungu na hayo wanayo mshirikisha nayo.

Sasa tuangalie kama kweli Yesu anayo hii sifa ya Mfalme ambayo ni adhama ya Mungu pekee kutokana na Koran.

Biblia takatifi inasema yafuatayo kuhusu Yesu Kristo:
Ufunuo 17:14
Hawa watafanya vita na Mwana Kondoo na Mwana Kondoo atawashinda, kwamaana yeye ni Bwana wa Bwana na Mfalme wa Wafalme.

Katika aya hii tunasoma kuwa Yesu anaitwa “Mfalme wa Wafalme” ambayo ni adhama ya Mwenyezi Mungu kama ilivyo shaidiwa na Koran Surah ya 59 na aya 23. Hivyo basi , Allah na Koran wamekiri kuwa Yesu ni Mungu kwasababu Biblia imetuthibitishia kuwa Yesu ni Mfalme wa Wafalme katika Ufunuo 17 na aya 14.

Tuendelee na ushaidi mwingine kutoka Koran ambao unatuhakikishia kuwa Yesu ni Mungu.

Hawazi kukuelewa sio sehemu ya walivyokaririshwa !
 
Nimependa hapo niseme tu kidogo, hapana agano kufanyika pasipo DAMU kumwagika. Ndoa ni agano ndio maana bikra ilihusika kitoa damu ili agano likamilike...by those days.

Ila sasa hakuna bikra na watu wanao kama kawaida, si kama damu haipo katika maagano ya siku hizi lah hasha tunao soma maandiko na kuamini NENO twaamini pia ile Damu aliyomwagika pale msalani ndio twaitumia ama kuihusisha na maagano yote na ndoa ikiwemo.

hapa unatafuta justification isiyo ya msingi.kama damu ya yesu iliyo mwagika msalabani ndio agano kwa sasa kwa nini kuna kuvunja sheria au kuna dhambi tena basi tuseme sasa hivi hamna kitu kinachoitwa dhambi.vinginevyo uniambia wewe ulikuwepo kipindi yesu anakuja hvyo kama ulifanya dhambi ya kutoa bikra ndo yesu alimwaga damu pale msalabani badala yako.
 
Halafu mkuu niliwahi kukuuliza kama kuna mahusiano wa yale majina ya Aikaeli,Pendaeli na Anaeli pamoja na akina Michaeli,Raphaeli na Israeli ....!!


To be honest sijui kama ipo kwa yale ya kichagga. Nadhani ina mahusiano na dini. Ila navyojua El.... (Eloi....) na Yah (Yahweh).... ni majina yanayoonyesha uhusiano na Mungu kwa hebrews/israelites

Ezekiel, Gabriel, Israel, etc Kisha Obadiah in fact ni Obadiyah, Nehemia -- nehemayah etc
 
Biblia unaposoma ni tofauti na kitabu cha hadithi.......kuna busara ndani yake lazima utumie...! Hata Yesu alipozungumza kuna kipindi alikazia na kusema MWENYE MASIKIO NA ASIKIE......akimaanisha kuna ufahamu zaidi ya kusikiliza tu.....

Nikirudi kwenye swali lako....ni budi ujue kuna mambo mawili makubwa wakati wa Musa;
1. Kwanza kuna amri za MUNGU ambazo Musa alipokea kupitia mbao zile za mawe.....hizo ndizo amri kuu...ambazo Yesu alipokuja kuitimiliza torati ali-summarize kuwa mbili i.e. Mpende BWANA Mungu wako na pia mpende jirani yako kama nafsi yako.
2. Pili kuna amri za Musa....! Ukumbuke wakati wana wa Israel wakitoka Misri ca. 600,000 people lilikuwa ni taifa tayari lakini watu wale walipokuwa Misri walitawanyika maeneo mbali mbali na walifuata mila na desturi za kimisri. Hivyo wakati wakitoka Misri hakukuwa na kanuni wala taratibu zozote za kuwaongoza kama taifa/jamii, hivyo ilibidi kuandika taratibu zao za kuwaongoza kama jamii ndio maana zimejaa mambo ya kimwili ziadi.....! Angalia zaidi utatambua hilo...mfano mtu akiua...alitakiwa kimbilia kwenye mji wa makimbilio ili kujiepusha na walipizaji kisasi........na haikuruhusiwa kumdhuru mtu huyo iwapo hakukamatwa mpaka ameingia mji huo....! Kwa maana rahisi kabisa amri za Musa zilikusudia kuleta mwongozo wa kiutawala katika jamii kwa ngazi ya chini kabisa.......hivyo wazee katika mahali husika waweze kutatua migogoro kupitia miongozo hiyo.....!

Natumaini nimefafanua kwa kiasi cha kueleweka...!

kwa maelezo yako ni wazi kuwa sheria zingine hazina maana kwa mazingira ya sasa kwa nini zisiondolewe kama hiki kipengele cha mleta maada.kwa maana kwa tafsiri ya hiki kipengere kikiachwa atakae mbaka mtu hana dhambi wala kosa kwa mujibu wa dini ila kwa sheria za kidunia anakosa.unaona huo ukinzani?
 
hapa unatafuta justification isiyo ya msingi.kama damu ya yesu iliyo mwagika msalabani ndio agano kwa sasa kwa nini kuna kuvunja sheria au kuna dhambi tena basi tuseme sasa hivi hamna kitu kinachoitwa dhambi.vinginevyo uniambia wewe ulikuwepo kipindi yesu anakuja hvyo kama ulifanya dhambi ya kutoa bikra ndo yesu alimwaga damu pale msalabani badala yako.

Hapana umenipata wrong hapo na si kufanya justification yeyote ila kutoa ufanuzi tu, juu ya dhambi nikweli ipo ila dhamo yoyote uifanyao wewe au mimi au awaye yoyote ile imekwisha kusamehewa, the thing is ni kutambua wapi umekosea na kutubu ndivyo isemavyo Biblia, maana binadamu woote tunamsamaha isipo kuwa tu shetani maana yeye kesha hukumiwa tayari na binadamu bado tunayo nafasi.

Juu ya damu, sijui niwekeje tena kwa ufafanuzi zaidi anyway ipo hivi nyakati zile agano liliwekwa kwa njia ya damu tazama pale Adam na Hawa walipo kaidi, alichinjwa mnyama ili damu imwagike kwa maagano yale. Pia Ibrahimu ili kuwa Baba wa watu wengi, Damu ilihusika...pia damu hufuta dhambi maana nyakati zile watu walikuwa wakichinja wanyama kwa ajili ya kusafishwa dhambi zao kila mwaka, ikimaanisha damu inasafisha dhambi kwa muda tu ndio maana walitoa kafara/sadaka za kuchinja wanyama kila watakapo msahama wa dhambi zao.

Sasa Yesu, alifanyika kuwa kafara/sadaka ili wanadamu waliotenda dhambi wapate msamaha. Ndio maana alikufa mara moja tu na kufufuka, na nguvu ya damu yake ile hutumika hata sasa na msamaha ule unadumu hata leo na kuendelea inamaana hata dhambi za kesho, wiki ijayo, mwezi na mwaka ujao umekwisha kusamehewa...uthubutu wako tu ni kutambua na kukiri na kuomba toba kwa uyakosayo leo.
 
Koran inasema kuwa, sifa Moja ya Mungu ni "Mfalme". Je, Yesu anayo hii sifa ya "Mfalme"? Haya tusome Quran kwanza.

Quran 59: 23
Yeye ndiye Mwenyezi Mungu ambaye hapana Mungu isipo kuwa Yeye tu. Mfalme, Mtakatifu, Mwenye salama, Mtoaji wa amani, Mwenye kuyaendesha Mwenyewe mambo yake, Mwenye nguvu, Anaye fanya analo litaka, Mkubwa, Ametakasika Mwenyezi Mungu na hayo wanayo mshirikisha nayo.

Sasa tuangalie kama kweli Yesu anayo hii sifa ya Mfalme ambayo ni adhama ya Mungu pekee kutokana na Koran.

Biblia takatifi inasema yafuatayo kuhusu Yesu Kristo:
Ufunuo 17:14
Hawa watafanya vita na Mwana Kondoo na Mwana Kondoo atawashinda, kwamaana yeye ni Bwana wa Bwana na Mfalme wa Wafalme.

Katika aya hii tunasoma kuwa Yesu anaitwa "Mfalme wa Wafalme" ambayo ni adhama ya Mwenyezi Mungu kama ilivyo shaidiwa na Koran Surah ya 59 na aya 23. Hivyo basi , Allah na Koran wamekiri kuwa Yesu ni Mungu kwasababu Biblia imetuthibitishia kuwa Yesu ni Mfalme wa Wafalme katika Ufunuo 17 na aya 14.

Tuendelee na ushaidi mwingine kutoka Koran ambao unatuhakikishia kuwa Yesu ni Mungu.


Umesahau mengine yaliyomo kwenye Quran mchungaji Max kitimoto

Ngoja nikukumbushe na ID ya Nkwesa Makombo itambue pia.
[Jesus] said, "Indeed, I am the servant of Allah . He has given me the Scripture and made me a prophet. link Surat Maryam [19:30] - The Noble Qur'an - ?????? ??????

It is not [befitting] for Allah to take a son; exalted is He! When He decrees an affair, He only says to it, "Be," and it is. link Surat Maryam [19:35] - The Noble Qur'an - ?????? ??????

[Jesus said], "And indeed, Allah is my Lord and your Lord, so worship Him. That is a straight path." link Surat Maryam [19:36] - The Noble Qur'an - ?????? ??????
'I am ascending to my Father and your Father, to my God and your God.'" John 20:17

Now this is eternal life: that they know you, the only true God, and Jesus Christ, whom you have sent.John 17:30

The Messiah, son of Mary, was not but a messenger; [other] messengers have passed on before him. And his mother was a supporter of truth. They both used to eat food. Look how We make clear to them the signs; then look how they are deluded. Link Surat Al-Ma'idah [5:75] - The Noble Qur'an - ?????? ??????

And [beware the Day] when Allah will say, "O Jesus, Son of Mary, did you say to the people, 'Take me and my mother as deities besides Allah ?'" He will say, "Exalted are You! It was not for me to say that to which I have no right. If I had said it, You would have known it. You know what is within myself, and I do not know what is within Yourself. Indeed, it is You who is Knower of the unseen. Link Surat Al-Ma'idah [5:116] - The Noble Qur'an - ?????? ??????

Then I will tell them plainly, 'I never knew you. Away from me, you evildoers!' Matthew 7:23

You have been warned: The choice is yours

Salamu zimfikie Nkwesa Makambo aka Ishamel na Mkuu wa Chuo
 



[Jesus said], "And indeed, Allah is my Lord and your Lord, so worship Him. That is a straight path." link Surat Maryam [19:36] - The Noble Qur'an - ?????? ??????
'I am ascending to my Father and your Father, to my God and your God.'" John 20:17

So, if Jesus is Issa and their God is the same, are you telling me that Allah is now the FATHER? Quran says, Allah is not a Father and has no ability to be one has no a son.

NOW YOU KNOW, Jesus is not Issa and Allah is not the God of Abraham.
 
So, if Jesus is Issa and their God is the same, are you telling me that Allah is now the FATHER? Quran says, Allah is not a Father and has no ability to be one has no a son.

NOW YOU KNOW, Jesus is not Issa and Allah is not the God of Abraham.

Umesahau tena ku-highlight and Your father, My God and Your God.

Ulinikataza nisibandue, vipi unakiuka kiwango "standard" ulichokiweka mwenyewe?
quote_icon.png
By Nonda



[Jesus said], "And indeed, Allah is my Lord and your Lord, so worship Him. That is a straight path." linkSurat Maryam [19:36] - The Noble Qur'an - ?????? ??????
'I am ascending to my Father and your Father, to my God and your God.'" John 20:17




Je Yesu anaposema "Mungu wangu na Mungu wenu" anamaanisha nini?
 
So, if Jesus is Issa and their God is the same, are you telling me that Allah is now the FATHER? Quran says, Allah is not a Father and has no ability to be one has no a son.

NOW YOU KNOW, Jesus is not Issa and Allah is not the God of Abraham.

Hivi Jesus ana Mungu wake? Mungu wa Jesus ni yupi?

God wa Abraham ni yupi?

Mkuu vipi? Inawezekena "mungu" awe na Mungu?

Unazidi kulikoroga, Mchungaji.
 
Hivi Jesus ana Mungu wake? Mungu wa Jesus ni yupi?

God wa Abraham ni yupi?

Mkuu vipi? Inawezekena "mungu" awe na Mungu?

Unazidi kulikoroga, Mchungaji.
Mbona unaanza mbali weye.

SWALI la muhimu hapa ni hili. Nitajie Baba yake Yesu.
Hivi Yesu mwenye baba na Isssa aisye na Baba wanafuata ni mtu yule yule?
Hivi kwanini Allah hana Mwana.

UDHAIFU WA ALLAH NA SABABU ZINAZO MFANYA ALLAH KUTO KUWA AKBAR.
Ndugu Wasomaji,
Katika somo letu la leo, ningependa tusoma mambo kadhaa ambayo Allah wa Uislam hana uwezo na mamlaka juu yake.
Waislam wanatuambia kuwa Uislam ni dini ya Allah ambaye hana uwezo wa kufanya yafuatayo:
Allah hana uwezo wa kuishi ndani ya binadamu.
Allah hana uwezo wa kuzungumza na kusikia lugha yeyote ile zaidi ya Kiarabu.
Allah hasikii na hajibu maombi ambayo hayakuombwa Kiarabu.

Allah hawezi kusikia maombi ambayo yanaombwa bila ya kuangalia Makkah.
Allah hana uwezo wa kumzuia Shetani kuishi ndani ya Pua yako wakati umelala.
Allah hana uwezo wa kumkataza Shetani asikojoe kwenye masikio yako unapo pitiwa na usingizi.
Allah hana uwezo wa kutetea vitabu vyake, ingawa alidai anaweza.
Allah hawezi kusikia maombi yako kama kuna Mwanamke au Mbwa au Punda karibu na sehemu unayo fanyia maombi.
Allah hawezi kutetea dini yake ya Kiislam na anahitaji msaada wa Waislam kuua na kutesa wale wote ambao wanaukataa Uislam. Allah sio Akbar kama anavyo dai.
Allah hapendi watu isipokuwa wale ambao ni Watumwa wake.
Allah hana uwezo wa kutetea Mitume wake kutoka kwa Wanawake Wajane wa Kiyahudi.
Allah hana uwezo wa kuwatetea na kuwalinda Waislam kutoka kwa Mtume mwenye Nguvu kama Paulo ambaye Waislam wanadai kuwa, Ndie Mwanzilishi wa Imani ya Kikristo ambayo ni kubwa kuliko Uislamu.
Allah hana uwezo wa kuwaokoa wanawake kutoka Jehannam, kwasababu eti wao ni viumbe dhaifu.
Allah hana uwezo wa kufanya miujiza kupitia waonyaji kama Muhammad ambaye alidai katumwa na Mwenyezi Mungu, jambo ambalo lingesaidia kutupa uhakikisho kuwa Muhammad alitumwa na Allah, kwasababu ya maovu mengi aliyo fanya ambayo ni kinyume na mambo yaliyo fanywa na Mitume walio kuja kabla yake.
Ndugu zanguni, listi ya mambo ambayo Allah hana uwezo wa kufanya ni mengi sana kiasi cha kujaza karatasi nyingi, leo nimeona niweke haya machahe kuhusu huyu Allah wa Uislam.
Allah hana uwezo wa kuwa na Mwana bila ya kuwa na Mke.
Sasa ngoja niulize?
Kuna sababu gani hapa duniani Mtu amwamini huyu Allah aliyejaa mapungufu na udhaifu, na kuacha kumwamimi Yahaweh aliyejaa hekima na mamlaka yote?
Mimi nitamfuata Yesu, Mungu Mtukufu YHWH, kwasabau katika Yesu hakuna lisilo wezekana (Luka 1:37)
Katika huduma yake,
 
Back
Top Bottom