Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Uwinga Kariakoo una hela jamani. Narudia Tena kuwa winga kariakoo utanishkuruZiko wap hizo kazi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwinga Kariakoo una hela jamani. Narudia Tena kuwa winga kariakoo utanishkuruZiko wap hizo kazi.
Sawa mkuu hio nayo mpaka connection Mkuu.......😊😊😊😊Uwinga Kariakoo una hela wakuu asikudanganye mtu
Haaahaaa 🤣🤣😂😂😂😂😂😂Jobless ndio tunatoka kitandani tunahamia sebleni kulala kwenye kochi
Deiwaka mkuu..Huwa unapata wapi hela ya kula?
Mapenzi na UJobless wapi na wapi mkuu😂.ila wapo mademu wanatuelewa na UJobless wetu ingawa possibility ya kumwagwa muda wowote ni kubwa tunakaza fuvu tu😂[emoji1787][emoji1787]ivi majobless na nyie mna madem kweli?
Hongera mkuuDeiwaka mkuu..
Saidia fundi...
Mkuu uko pande zipi?Deiwaka mkuu..
Saidia fundi...
KONEKSHEN KIVIPI? WEWE NENDA KARIAKOO KAFAHAMU BEI HALISI ZA BIDHAA, OMBA WAKUAD KWENYE MAGRUP THEN NJOO HAPA FUNGUA UZI WAKO WEKA BEI ZAKO POST BIDHAA. UWE MUAMINIFU TUSawa mkuu hio nayo mpaka connection Mkuu.......😊😊😊😊
Kuongea ni neno Moja kutenda ni jambo lingine......KONEKSHEN KIVIPI? WEWE NENDA KARIAKOO KAFAHAMU BEI HALISI ZA BIDHAA, OMBA WAKUAD KWENYE MAGRUP THEN NJOO HAPA FUNGUA UZI WAKO WEKA BEI ZAKO POST BIDHAA. UWE MUAMINIFU TU
Basically kwenye nguo na decorations. Nitakuelekeza Kona zote. Ila ni ngumu kupiga winga kwenye hardware. Ila ni rahis kwenye nguo kama unataka nikuelekeze Kona Kona hapa useme tu. Mana mm hiyo kazi jmos napataga mpaka 40kKuongea ni neno Moja kutenda ni jambo lingine......
Sawa Mimi naweza nikuelewe wengine hawajakuelewa......
Hapo kariakoo Kuna industry nyingi Kuna hardware, garage, clothes, electric, plumbing, biashara za chakula, maji, cosmetics, mitumba, cars part, consumables materials kama pedi, pampas, utensils.....pharmaceutical, stationary..... Izo ni baadhi Kwa haraka haraka....
Samahani,
Kama una uzoefu na specific industry be specific to details Ili vijana waelewe.............
All in all unacho SEMA ni sahihi........Basically kwenye nguo na decorations. Nitakuelekeza Kona zote. Ila ni ngumu kupiga winga kwenye hardware. Ila ni rahis kwenye nguo kama unataka nikuelekeze Kona Kona hapa useme tu. Mana mm hiyo kazi jmos napataga mpaka 40k
Una hoja, kweli kabisa mabeki tatu ni wetu sie majobless maana hela ya kuhonga mademu wa insta hatuna na nyeto tulishapiga mpaka viganja vimeota sugumashemeji wabinafsi sana wanataka hadi ma beki tatu wetu
serikali unatakiwa iingilie kati hili beki 3 ni mali halali ya jobless
Mm nimemaliza Udsm mwaka jana mkuuu. Lkin nlikoma n mitaa man uwezekano wa kuajiriwa upo ila ndugu n marafiki wanafki sana. Mpka sasa Niko kazin Kam intern lkin Kwa jitihad zangu n msaada wa wat ambao sio ndugu Wala rafiki. Na nategemea kufunguliwa duka l kusimamia hapo kariakoo mana wateja ninao ambao napiga uwinga sasa. Life blunty unfair..... Mafanikio yko yapo kwenye mikono ya mungu wako. Muombe akukutanishe n watu sahhAll in all unacho SEMA ni sahihi........
💯💯💯💯💯💯💯
Ahahahha dahBora kulala, kuna majobless huwa nawashangaa hana inshu lakin anaamka mapema sana anaenda kijiweni anaanza kucheza draft sasa hapo ni kama kuutangazia ulimwengu mzima kuwa huna job
Kwel mkuuMm nimemaliza Udsm mwaka jana mkuuu. Lkin nlikoma n mitaa man uwezekano wa kuajiriwa upo ila ndugu n marafiki wanafki sana. Mpka sasa Niko kazin Kam intern lkin Kwa jitihad zangu n msaada wa wat ambao sio ndugu Wala rafiki. Na nategemea kufunguliwa duka l kusimamia hapo kariakoo mana wateja ninao ambao napiga uwinga sasa. Life blunty unfair..... Mafanikio yko yapo kwenye mikono ya mungu wako. Muombe akukutanishe n watu sahh
Bora niwe winga tuBasically kwenye nguo na decorations. Nitakuelekeza Kona zote. Ila ni ngumu kupiga winga kwenye hardware. Ila ni rahis kwenye nguo kama unataka nikuelekeze Kona Kona hapa useme tu. Mana mm hiyo kazi jmos napataga mpaka 40k
Kwa kuanza.. you can na ukawa na plan nyingine mana uchumi wa kukosa vocha au hela ya kula sio poaBora niwe winga tu
Jobless una hadi kochi kweli?..Jobless ndio tunatoka kitandani tunahamia sebleni kulala kwenye kochi