Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Kwa sasa hawezi kushtaki, nadhani mwezi wa pili sheria itapita then tutaanza kushtaki watu kama hao. Hadi washike adabuHao ma-MC hawajui kitu kinaitwa privacy? kuweka picha ya mtu au tukio la kifamilia mtandaoni bila idhini ya wahusika hiyo ni breach of privacy, na huyu jamaa yupo sahihi kusema anaweza kumshtaki.....
Sasa si umfate kwenye page yake umwambie Sisi huku tufanyejeHabari za Asubuhi wana-Jukwaa.
Kabla ya yote nawapongeza ma-Mc kwa juhudi zao wakipambania chakula kiende kinywani...
Nimesikitishwa sana baada ya kuonekana kwenye video fupi iliyopostiwa na MC fulani bila idhini yangu, tulikuwa tunacheza na watu wengine tuliokutana ukumbini... SIJAPENDEZWA!
Ma-MC ifike mahali wawe wanaomba idhini kwa wahusika, akiridhia sawa asiporidhia si sawasawa kuipandisha kwenye mitandao ya kijamii. Tuna wake, watoto na nafasi kidogo katika jamii.
Unakuta mdada kavaa nguo ya sherehe, anafurahia ndugu, rafiki kaoa/kaolewa bahati mbaya akatumia kilevi kikamkolea, akijiachia kucheza tuu...kesho yuko kwenye page ya MC fulani.
Jipromotini bila kudhalilisha wengine.
Huyu MC ntakula nae sahani moja!
Nahitaji anilipe Fidia ya bilioni moja kwa kadhia zote nilizozipata baada ya kupost video ile.
Ma MC's wa Siku hizi hawana tofauti na Manesi wa Wodi za Uzazi au wale Wanaopima VVU kwa kuwa Wambea hadi Kero.Habari za Asubuhi wana-Jukwaa.
Kabla ya yote nawapongeza ma-Mc kwa juhudi zao wakipambania chakula kiende kinywani....
Kwanini unipost hata kama ni tukio la kawaida?Wote tuna macho na ufahamu tukio la kawaida haliwezi kukutia hofu ya kupostiwa.
Nahitaji anilipe Fidia ya bilioni moja kwa kadhia zote nilizozipata baada ya kupost video ile.
Bilioni moja 😂😂😂😂😂 utaisikia kwenye bomba
Labda biriani sahani moja. 😁Mmmmmh ety bilion moja mzee unaijua iliposimama kwelii au unaletamasiharaa
HIki kituko unabonyeza namba ngapi kukipata? Kwa hiyo wabongo wajiandae kuwa mabilionea🤣🤣Sheria ya taarifa binafsi na faragha inakuja hivi karibuni, unaweza kujikuta unakula bilioni kadhaa kwa kukudhalilisha.
Kisingi sheria itahitaji idhini kwa kila taarifa binafsi ya mtu
Hhahaha...wee jamaa bhana...Ma MC's wa Siku hizi hawana tofauti na Manesi wa Wodi za Uzazi au wale Wanaopima VVU kwa kuwa Wambea hadi Kero///
Umeongea vizuri sana mkuu, toka ulimwengu huu wa kuposti kila MC niliacha kabisa kucheza kwenye harusi, ninacho kifanya huwa natikisa kichwa tu kwenye na kiti na jamaa zangu huniulizwa mbona siku hizi umepooza hivo nawambia umriiii hawana mbavuuHabari za Asubuhi wana-Jukwaa.
Kabla ya yote nawapongeza ma-Mc kwa juhudi zao wakipambania chakula kiende kinywani...
Nimesikitishwa sana baada ya kuonekana kwenye video fupi iliyopostiwa na MC fulani bila idhini yangu, tulikuwa tunacheza na watu wengine tuliokutana ukumbini... SIJAPENDEZWA!
Ma-MC ifike mahali wawe wanaomba idhini kwa wahusika, akiridhia sawa asiporidhia si sawasawa kuipandisha kwenye mitandao ya kijamii. Tuna wake, watoto na nafasi kidogo katika jamii.
Unakuta mdada kavaa nguo ya sherehe, anafurahia ndugu, rafiki kaoa/kaolewa bahati mbaya akatumia kilevi kikamkolea, akijiachia kucheza tuu...kesho yuko kwenye page ya MC fulani.
Jipromotini bila kudhalilisha wengine.
Huyu MC ntakula nae sahani moja!
Nahitaji anilipe Fidia ya bilioni moja kwa kadhia zote nilizozipata baada ya kupost video ile.
Wabongo hawana hata mia mbovu ya kulipa faini, itakuwa fidia ya bilioni moja.........utapiga mnada ukoo mzima hupati hata milioni 10.HIki kituko unabonyeza namba ngapi kukipata? Kwa hiyo wabongo wajiandae kuwa mabilionea🤣🤣
Fatma keshalipwa na mwanaharakati huru?Wabongo hawana hata mia mbovu ya kulipa faini, itakuwa fidia ya bilioni moja.........utapiga mnada ukoo mzima hupati hata milioni 10.
Bado hujajitambua.Habari za Asubuhi wana-Jukwaa.
Kabla ya yote nawapongeza ma-Mc kwa juhudi zao wakipambania chakula kiende kinywani...
Nimesikitishwa sana baada ya kuonekana kwenye video fupi iliyopostiwa na MC fulani bila idhini yangu, tulikuwa tunacheza na watu wengine tuliokutana ukumbini... SIJAPENDEZWA!
Ma-MC ifike mahali wawe wanaomba idhini kwa wahusika, akiridhia sawa asiporidhia si sawasawa kuipandisha kwenye mitandao ya kijamii. Tuna wake, watoto na nafasi kidogo katika jamii.
Unakuta mdada kavaa nguo ya sherehe, anafurahia ndugu, rafiki kaoa/kaolewa bahati mbaya akatumia kilevi kikamkolea, akijiachia kucheza tuu...kesho yuko kwenye page ya MC fulani.
Jipromotini bila kudhalilisha wengine.
Huyu MC ntakula nae sahani moja!
Nahitaji anilipe Fidia ya bilioni moja kwa kadhia zote nilizozipata baada ya kupost video ile.
Kaambulia manyoya.Fatma keshalipwa na mwanaharakati huru?
Dawa ya Moto siku zote huwa ni Moto.Hhahaha...wee jamaa bhana...
Ukiwa public jiheshimu, ukifanya kituko kutrend ni dakika moja tu
Endeleeni kujifungia kifamilia, mkija public mjiheshimu mkifanya kituko mtajikuta whatsapp grps Tz nzima
Unapoteza muda wako mkuu, ungepaswa ujiheshimu kwanza.Habari za Asubuhi wana-Jukwaa.
Kabla ya yote nawapongeza ma-Mc kwa juhudi zao wakipambania chakula kiende kinywani...
Nimesikitishwa sana baada ya kuonekana kwenye video fupi iliyopostiwa na MC fulani bila idhini yangu, tulikuwa tunacheza na watu wengine tuliokutana ukumbini... SIJAPENDEZWA!
Ma-MC ifike mahali wawe wanaomba idhini kwa wahusika, akiridhia sawa asiporidhia si sawasawa kuipandisha kwenye mitandao ya kijamii. Tuna wake, watoto na nafasi kidogo katika jamii.
Unakuta mdada kavaa nguo ya sherehe, anafurahia ndugu, rafiki kaoa/kaolewa bahati mbaya akatumia kilevi kikamkolea, akijiachia kucheza tuu...kesho yuko kwenye page ya MC fulani.
Jipromotini bila kudhalilisha wengine.
Huyu MC ntakula nae sahani moja!
Nahitaji anilipe Fidia ya bilioni moja kwa kadhia zote nilizozipata baada ya kupost video ile.