Ma-TO walipofunikwa na Sylivester Mwageni (True mathematician)

mm na ww tunaeza kujuana mm mwenyewe namba nilikua napiga kwa mtata na nimemaliza form four huo huo mwaka
nilichokua napapendea kule watu sio weng so hata uki concentrate inakua rahisi kuelewa
alafu mtata alikua anapenda kuelezea kabla ya kusolve tofauti na aideni yy anaandika topic anashusha example anasolve then anafunika
 
Kwa hiyo achievement ya TO bongo ni kununua gari na kujenga?
nop nimekuambia kipind bado anasoma alikua anafundsha tuit alikua stable ana miliki gar inawezekana na nyumba pia alijenga
achievements zake saa hv ndo mda wa kuzi measure amemaliza anajua mwenyewe anachokifanya coz amemaliza huu mwaka so ni mapema kuanza kumjudge
 
Zawadi Mdoe alikua kichwa sana. Nahisi anasoma masters sasa hivi maana kamaliza degree ya kwanza udsm akisomea chemical and industrial engineering akipata GPA ya 4.9. Deadboy endelea kutupa hizi stori za best students Kama unazo
hii course ya chemical and industrial engineering haipo,, acha uongo mkuu
 
hao ma T.O unaosema hawakuwa wasomaji kivile, labda wakati wanasoma ww haupo, au walikudanganya kuwa hawasomi ili uwaone ma-genius, necta bila kusoma sana huwezi pata div 1 ya single digit asilani Complex
yupo mmoja nimeishi nae nyumba moja hawa jamaa ni special yan kuna kitu tyr wametuzid
wanauwezo wa kuelewa vitu kwa mara ya kwanza katika hali ya juu hata usomaji wake haumpi shda kama sie wengne baadae utaanza kuzunguka kuuliza pale mwalim alisema nn?? akat mlikua wote darasan

mf huyo Zawadi aliepata gpa ya 4.9 ni mshika dini na anaenda kukesha kwenye mamisa za usiku alikua anawaacha watu rum wanatoboa mpaka siku za ue

kitu kimoja hawa jamaa wanajua kutumia muda wao
 
Jana nimesoma habari amateurs mathematicians ambao hawajaongoza mtihani wowote wamegundua the biggest prime number yet.

It has 23 million digits.

Ma TO wetu sijui hata kama wanajua hili, wanafuatilia GIMPS, wanajua GIMPS ni nini, wanaelewa umuhimu wa large prime numbers kwenye encryption.

Au wanajua ku solve maswali ya mitihani tu?

Largest prime number discovered – with more than 23m digits
 
SYLVESTER now yupo MWENGE pale anafundisha number asee
 
Huyo BABU namjua wakati niko form 1 Azania bila shaka yeye form 4 katika maisha yote niliomuona sikuwahi kumuona na Begi pale shule alikuwa sijui mwanga kichwani na mvi zake ila kiufupi Azania kipindi kile ilikua inatisha sio sasa Baada ya Babu akaibuka Ndege ulaya ila huyu alikua atishi sana ila 2011 na 2012 ndo akaja kijana anaitwa PETER SEREKWA alipiga 1.8 akaingia kumi bora Necta 2012
 
Da Kumbe Haya Mambo Bado yapo? Mtaaani huku Points na GPA unaziacha Ubungo Maji Getini,mtaani ni janjajanja jazz band,usipokaza hautoki hata kama ulipiga G.P.A ya 5.0.
Kilichoniacha mdomo wazi ni kuona namba kubwa ya watu tunaojadiliana na pengine kubishana kwenye issue genuine majukwaa mengine; hapa wanaongelea O'level 2010, mara 2012.

Nimepita mchikichini, mkali wa hisabati eneo lile alijiita Hidden Agenda, Mbuga akipiga Biology na Chemistry, Physics akikaba jamaa mmoja aliyekuwa akisoma UDSM akifundishia pale pembeni ya Uwanja wa jangawani(Yanga)

Daaaaah.....2012??? Nahesabu miaka kwenye ndoa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…