N J subi
JF-Expert Member
- Nov 24, 2017
- 392
- 347
Mkuu mtu aliyeacha history mzumbe ni gwamaka bada ya o.level kubeba gamba zote kumi na advance pia hakuacha kwenye comb chochote
Duh!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mtu aliyeacha history mzumbe ni gwamaka bada ya o.level kubeba gamba zote kumi na advance pia hakuacha kwenye comb chochote
B zilikuwepo ila madaraja yalikuwa makubwa ,Haya ni matokeo ya TO 2013 ILBORU anaitwa ERASMI ,,,,Hakuna mtu aliyethubutu kupata "B" PHYSICS
View attachment 657941
B zilikuwepo ila madaraja yalikuwa makubwa ,
Hiyo C automatically ni B.
A ilianzia 80-100
B=75-79
C=65-74
D=55-64
E=45-54
S=35-44
F=0-34
Sasa huyo T.O bila shaka alifikisha B sema grades walipandisha sana.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] thread zañgu ambazo huwa naweka mizaha pembeni huwa zinatembea sana.Kuna dogo mmoja anasoma UDOM mwaka wa 3 kaniletea ile thread yako ya Lucy TO wa Kike akawaananimsha kuwa hii ni kweli? Nikaangalia kaiona wapi akaniambia WhatsApp.Hii inaonyesha ile imesambaa sana na imehamishiwa WhatsApp saivi...
Me nikamwambia karibu sana JF uwe wa kwanza kuzipata hizi habari,hahahahahah nikaanza kujitamba kuwa mtunzi rafiki yanguuuuu sana aiseeee....
Big Up man
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] thread zañgu ambazo huwa naweka mizaha pembeni huwa zinatembea sana.
Nilishawahi kuandika thread kuhusu loan officer wa chuo kikuu ardhi ile thread ilitambaa balaa mpaka nikashangaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kuna mwana mmoja rafiki yangu Fb alikuwa napigiwa tu makofi kwa thread yangu fulani hivi,nami nikagonga like nikaamsha....
Sj tranta kitabu kina matango hatar ikoAboot ilikuwa noma sana ,adv math kuna TRANTA.
Napenda sana stori za MA-T.O zinakuwa insipired.Naandaa data za T.O 1993 Mzumbe anaitwa LUSEKELO...Nikipata naiman mzigo utakuwa HEWANI JF
Naona kila ukipost kuhusu T.O bado anapigiwa saluti MARTIN CHEGERE(kama sijakosea). Tuletee habari zake pia.OLEV 2009 iMMACULTE ALIKUWA WA KWANZA na FAITH akawa wa 7 .
ALEV FAITH akawa wa kwanza na IMMACULATE akawa wa 5
Aiseee naomba unidokeze vizuri kuhusu hii course ya chemical and industrial engineeringZawadi Mdoe alikua kichwa sana. Nahisi anasoma masters sasa hivi maana kamaliza degree ya kwanza udsm akisomea chemical and industrial engineering akipata GPA ya 4.9. Deadboy endelea kutupa hizi stori za best students Kama unazo
Aiseee naomba unidokeze vizuri kuhusu hii course ya chemical and industrial engineering
Yuko microsoft huyu dada.![]()
Huyu Binti ndio anaitwa IMMACULATE MOSHA aliyekuwa wa kwanza FORM 4 ,2009 akifuatiwa na GWAMAKA..Binti alipohojiwa TBC akasema kama GWAMAKA akinipita FORM 6 nitakubali anioe bure kabisa.Matokeo ya 6 yeye na GWAMAKA wote walipata one ya 4 na wote wakaingia TOP 10 ila IMMACULATE wa 5 na GWAMAKA wa 8🙂🙂🙂🙂🙂🙂