Maabara Mkoani Mbeya

Maabara Mkoani Mbeya

ngerebe

Member
Joined
Nov 15, 2013
Posts
17
Reaction score
1
Heshima kwenu Mimi ni mjasiriamali Mkoani Mbeya nahitaji kufungua diagnostic center Kwaajili ya vipimo vya ultrasound EEG ECG X-ray na laboratory ya damu, sifikirii kua na matibabu labda kwa mbeleni, kwa sasaivi target yangu ni vipimo tu! Nahitaji kujua changamoto zake. Leseni Yake nitaipatia wapi? Wataalamu nitawapatia wapi? Mimi sio daktari, asanteni wanajamvii. CC ZeMarcopolo
 
Last edited by a moderator:
Vifaa hivyo tayari unavyo?

Utatakiwa kufika ofisini kwa mganga mkuu wa wilaya ambaye atakagua sehemu yako ya huduma, waajiriwa na vifaa.

Kama vifaa yatari unavyo, what type of ultrasound machine do you have?
 
Vifaa hivyo tayari unavyo?

Utatakiwa kufika ofisini kwa mganga mkuu wa wilaya ambaye atakagua sehemu yako ya huduma, waajiriwa na vifaa.

Kama vifaa yatari unavyo, what type of ultrasound machine do you have?

asante sana kwa kutembelea huu uzi ZeMarcopolo bado sina hata kifaa kimoja ili nipo katika mchakati wa kununua vifaa vyote pale lab equipment ipo keko mwanga dar es salaam! ultrasound nayofikiria kununua ni portable, kinacho nikwaza mpaka sasaivi sijajua wapi nitapata wataalamu wa hizo machines. mchango na mwongozo wako ni muhimu mkuu
 
Last edited by a moderator:
asante sana kwa kutembelea huu uzi ZeMarcopolo bado sina hata kifaa kimoja ili nipo katika mchakati wa kununua vifaa vyote pale lab equipment ipo keko mwanga dar es salaam! ultrasound nayofikiria kununua ni portable, kinacho nikwaza mpaka sasaivi sijajua wapi nitapata wataalamu wa hizo machines. mchango na mwongozo wako ni muhimu mkuu

Sawa,

Kitu cha kwanza tafadhali fika kwa DMO. Yeye atakuwa mshauri mzuri kwako.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom