Maabara (Mobile Lab.) ya Namanga Boda yawasili nchini Kenya kutoka Ujerumani

Maabara (Mobile Lab.) ya Namanga Boda yawasili nchini Kenya kutoka Ujerumani

pingli-nywee

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2015
Posts
11,923
Reaction score
13,350
Maabara mawili (mobile) ya kupima virusi vya COVID-19 yamewasili nchini Kenya leo hii kutoka Ujerumani. Maabara hayo yalikuwa yanangonjewa sana ili kurahisisha shughuli za kupima 'wageni' pale OSBP Namanga bila kupoteza muda mwingi. Huku ya pili ikiwa imepangiwa kupelekwa Naivasha.

Haya yote ni baada ya boda ya Namanga kuorodheshwa kama 'hotspot' ya COVID-19. GOK-MOH wameendelea kusisitiza kwamba shughuli ya kupima wageni kwenye mipaka ya Kenya haitasitishwa hivi karibuni, hadi pale ambapo hatari ya maambukizi itapungua hadi kiasi cha kudhibitiwa.

Mnakaribishwa sana nchini Kenya[emoji1139] wadau(madereva). Ila mjitayarishe kwanza kisaikolojia maanake kupimwa kwanza ni lazima.

 
Safi sana, kila anayefika mpakani anapanua mdomo na kutumbukizwa kifaa, hamna nini wala nini, hutaki geuza rudi kwenu mkaambukizane huko....ndio mwendo huu yaani hadi raha.
kwa mara ya kwanza nimeanza kuhisi salama, maana hawa jamaa walikua wanalialia wakitaka wawe wanaingia mamia kwa siku bila kupimwa ukizingatia kwao hamna tahadhari yoyote, wapo wapo wamejichokea kisa umaskini.
 
You should rsther report, the German government has donated mobile labs to EAC members....

Look at the kit, there is an EAC sticker on it

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeitizama hiyo video? Shukran zimeshawafikia wajerumani kwa kutujali sisi wenyeji wa Afrika Mashariki. Ila GOK-MOH wameamua kwamba inahitajika sana pale Namanga Boda, na Naivasha. Shughuli ya kupima 'wageni' imepigwa boost, hakuna kulegeza.
 
Kila mtu atapimwa kwake mpakani itakua kazi ya kuonesha cheti tu ,Kama hamtataka utaratubu huo tuna waminya tena kwa kutumia wakuu wetu wa mikoa wale wanne mtanyooka tu mwaka huu
Safi sana, kila anayefika mpakani anapanua mdomo na kutumbukizwa kifaa, hamna nini wala nini, hutaki geuza rudi kwenu mkaambukizane huko....ndio mwendo huu yaani hadi raha.
kwa mara ya kwanza nimeanza kuhisi salama, maana hawa jamaa walikua wanalialia wakitaka wawe wanaingia mamia kwa siku bila kupimwa ukizingatia kwao hamna tahadhari yoyote, wapo wapo wamejichokea kisa umaskini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivyo vifaa mutawapimia raia wenu sio Watanzania wetu watapimwa kwetu huko watakuja na cheti tu kila mtu apimwe kwake Kama mukileta ubushi vikwazo vya kotouziwa chakula vinawahusu
Umeitizama hiyo video? Shukran zimeshawafikia wajerumani kwa kutujali sisi wenyeji wa Afrika Mashariki. Ila GOK-MOH wameamua kwamba inahitajika sana pale Namanga Boda, na Naivasha. Shughuli ya kupima 'wageni' imepigwa boost, hakuna kulegeza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila mtu atapimwa kwake mpakani itakua kazi ya kuonesha cheti tu ,Kama hamtataka utaratubu huo tuna waminya tena kwa kutumia wakuu wetu wa mikoa wale wanne mtanyooka tu mwaka huu
Sent using Jamii Forums mobile app
Jana jioni watanzania 182 wamerejeshwa kwao baada ya kupatikana na virusi vya COVID-19. Kenya sends back 182 foreigners with virus to Tanzania Habari ndio hiyo, malizeni kupima mapapai na mbuzi kwanza. Naona mlivo mavichwa boga bado hamkuelewa chochote hata baada ya balozi kazungu kuwaambia live kwamba adui ya Kenya ni Corona sio Tz.
 
Wewe ujitambui c mushaomba poo ngoja wakae mezani na hao wakuu wa mikoa wa mpakani harafu utaona Kama mutakua na mamlaka ya kumpima Mtanzaia ,itakuwa mwendo wa cheti tu kila mtu atapimwa kwake tuna power tunaiendesha kenye tunavyotaka .
Jana jioni watanzania 182 wamerejeshwa kwao baada ya kupatikana na virusi vya COVID-19. Kenya sends back 182 foreigners with virus to Tanzania Habari ndio hiyo, malizeni kupima mapapai na mbuzi kwanza. Naona mlivo mavichwa boga bado hamkuelewa chochote hata baada ya balozi kazungu kuwaambia live kwamba adui ya Kenya ni Corona sio Tz.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivyo vifaa mutawapimia raia wenu sio Watanzania wetu watapimwa kwetu huko watakuja na cheti tu kila mtu apimwe kwake Kama mukileta ubushi vikwazo vya kotouziwa chakula vinawahusu
Sent using Jamii Forums mobile app
Shughuli ya kupima 'Wageni' bado inaendelea hadi dakika hii na hakubaliwi mtu yeyote kuingia nchini Kenya kama hajapimwa au akipatikana +ve baada ya kupimwa.
Ni fahari yake kujibaraguza na kupewa maabara akitaka kumaanisha Kenya imependelewa zaidi!
Wewe unawaza ligi za kucheza kidalipo na virusi vya Corona wakati GOK inajibu vilio vya wakazi wa Kipase, Meto, Loitoktok na Namanga ndani ya gatuzi jirani na Longido, Kajiado. Ambao wanaitaka serikali yao iongeze ulinzi sehemu zote mipakani ili kuzuia majirani zao kuingia nchini Kenya. Kajiado residents concerned about illegal entry at border – Kenya News Agency
 
Jana jioni watanzania 182 wamerejeshwa kwao baada ya kupatikana na virusi vya COVID-19. Kenya sends back 182 foreigners with virus to Tanzania Habari ndio hiyo, malizeni kupima mapapai na mbuzi kwanza. Naona mlivo mavichwa boga bado hamkuelewa chochote hata baada ya balozi kazungu kuwaambia live kwamba adui ya Kenya ni Corona sio Tz.

Balaa sana hii, hao wote 182 wangeingia na kila mmoja angeambukiza Wakenya takriban watano hivi, hapo tungekua na maambukizi 910 Wakenya halafu kila Mkenya aaambukize watano wake, mtandao uzagae, yaani hawa tusicheke nao.
 
Back
Top Bottom