Maabara (Mobile Lab.) ya Namanga Boda yawasili nchini Kenya kutoka Ujerumani

Maabara (Mobile Lab.) ya Namanga Boda yawasili nchini Kenya kutoka Ujerumani

Shughuli ya kupima 'Wageni' bado inaendelea hadi dakika hii na hakubaliwi mtu yeyote kuingia nchini Kenya kama hajapimwa au akipatikana +ve baada ya kupimwa.
Wewe unawaza ligi za kucheza kidalipo na virusi vya Corona wakati GOK inajibu vilio vya wakazi wa Kipase, Meto, Loitoktok na Namanga ndani ya gatuzi jirani na Longido, Kajiado. Ambao wanaitaka serikali yao iongeze ulinzi sehemu zote mipakani ili kuzuia majirani zao kuingia nchini Kenya. Kajiado residents concerned about illegal entry at border – Kenya News Agency
Kenyatta amemaliza kupima kirusi watu wa Eastleigh? Ama lazima atie pua magufuli land..
Hamfahamu huyu Mzee wa chato, Mtamuelewa tu..Kabudi bado amekomalia pale pale..Wiki Moja amalize shughuli za Sisiemu
 
Safi sana, kila anayefika mpakani anapanua mdomo na kutumbukizwa kifaa, hamna nini wala nini, hutaki geuza rudi kwenu mkaambukizane huko....ndio mwendo huu yaani hadi raha.
kwa mara ya kwanza nimeanza kuhisi salama, maana hawa jamaa walikua wanalialia wakitaka wawe wanaingia mamia kwa siku bila kupimwa ukizingatia kwao hamna tahadhari yoyote, wapo wapo wamejichokea kisa umaskini.
Tanzania tumeshinda kolona kwa maombi! Karibu kolona bash jumapili hii jiji la Makonda. Mwendo ni kuambukizana bila shuruti.
 
Kenyatta amemaliza kupima kirusi watu wa Eastleigh? Ama lazima atie pua magufuli land..
Hamfahamu huyu Mzee wa chato, Mtamuelewa tu..Kabudi bado amekomalia pale pale..Wiki Moja amalize shughuli za Sisiemu
Kwahivyo unataka wageni waruhusiwe kuingia watakavyo pale Namanga, ili waendeleze maambukizi nchini Kenya? Wakati Border Point yenyewe ndio imetoa +ve cases nyingi zaidi ya hata Eastleigh(ambayo ipo kwenye lockdown) au sehemu yeyote nyingine nchini Kenya? Kabudi na sisiemu zinatuhusu vipi sisi wakenya? Umerogwa, unadhani COVID-19 ni kama kaswende?
 
Kwahivyo unataka wageni waruhusiwe kuingia watakavyo pale Namanga, ili waendeleze maambukizi nchini Kenya? Wakati Border Point yenyewe ndio imetoa +ve cases nyingi zaidi ya hata Eastleigh(ambayo ipo kwenye lockdown) au sehemu yeyote nyingine nchini Kenya? Kabudi na sisiemu zinatuhusu vipi sisi wakenya? Umerogwa, unadhani COVID-19 ni kama kaswende?
Kwanini unajichanganya? Mkenya kuingia Tanzania ni marufuku hadi Kabudi amalize shughuli za Thithiemu aje askize kelele zenu. Mtanzania anayehitaji kutembelea nchi ya njaa na ukabila aende tu kwa utaratibu wa Wanjohi wala hakuna wa kumzuia Ila tu akirudi nchi ya maziwa na asali na korona zake apigwe karantini siku 14 kwa garama yake binafsi.
Hivi Kuelewa ni shida pia?
 
Kwanini unajichanganya? Mkenya kuingia Tanzania ni marufuku hadi Kabudi amalize shughuli za Thithiemu aje askize kelele zenu. Mtanzania anayehitaji kutembelea nchi ya njaa na ukabila aende tu kwa utaratibu wa Wanjohi wala hakuna wa kumzuia Ila tu akirudi nchi ya maziwa na asali na korona zake apigwe karantini siku 14 kwa garama yake binafsi.
Hivi Kuelewa ni shida pia?
wanajua vyema hakuna mtu anajishughulisha na linchi lao,ni kama bahari ya chumvi.ndio maana wakakomaa na madereva wa malori.
 
Kwanini unajichanganya? Mkenya kuingia Tanzania ni marufuku hadi Kabudi amalize shughuli za Thithiemu aje askize kelele zenu. Mtanzania anayehitaji kutembelea nchi ya njaa na ukabila aende tu kwa utaratibu wa Wanjohi wala hakuna wa kumzuia Ila tu akirudi nchi ya maziwa na asali na korona zake apigwe karantini siku 14 kwa garama yake binafsi.
Hivi Kuelewa ni shida pia?
Anayejichanganya ni nani kama sio wewe? Marufuku ya wakenya kuingia Tz ilianza kutimizwa rais Uhuru alipofunga boda ya Kenya na kando na madereva wa Kenya hakuna mkenya ambaye yupo tayari kujitoa mhanga kuingia huko 'kwa Corona'. Alafu hakuna mtz ambaye anaingia Kenya isipokuwa madereva ambao lazima wapimwe kwanza na wakipatikana wana Corona hawakubaliwi kuingia Kenya. Kupimwa ni lazima ili uingie Kenya, jana wamerudishwa watz 182 ambao walikuwa +ve, kumaniisha kwamba na ubabe wenu wote bado wanang'ang'ania tu kuingia nchini Kenya.
 
Anayejichanganya ni nani kama sio wewe? Marufuku ya wakenya kuingia Tz ilianza kutimizwa rais Uhuru alipofunga boda ya Kenya na kando na madereva wa Kenya hakuna mkenya ambaye yupo tayari kujitoa mhanga kuingia huko 'kwa Corona'. Alafu hakuna mtz ambaye anaingia Kenya isipokuwa madereva ambao lazima wapimwe kwanza na wakipatikana wana Corona hawakubaliwi kuingia Kenya. Kupimwa ni lazima ili uingie Kenya, jana wamerudishwa watz 182 ambao walikuwa +ve, kumaniisha kwamba na ubabe wenu wote bado wanang'ang'ania tu kuingia nchini Kenya.
Sasa kama kuna uelewano huu mbona kila siku mnamu bipu Magufuli? Mnataka awapigie? Mkenya kuingia TZ marufuku hata awe amepimwa hadi mikojo na vinyesi
 
Anayejichanganya ni nani kama sio wewe? Marufuku ya wakenya kuingia Tz ilianza kutimizwa rais Uhuru alipofunga boda ya Kenya na kando na madereva wa Kenya hakuna mkenya ambaye yupo tayari kujitoa mhanga kuingia huko 'kwa Corona'. Alafu hakuna mtz ambaye anaingia Kenya isipokuwa madereva ambao lazima wapimwe kwanza na wakipatikana wana Corona hawakubaliwi kuingia Kenya. Kupimwa ni lazima ili uingie Kenya, jana wamerudishwa watz 182 ambao walikuwa +ve, kumaniisha kwamba na ubabe wenu wote bado wanang'ang'ania tu kuingia nchini Kenya.
Hivi kwanini hamtaki kufunga huu mpaka na Tanzania kama tunavyotaka sisi badala yake mnalazimisha kupima?. Sisi tumeshasema ni marufuku kwa Malori ya Kenya kuingia Tanzania, iwe mumepia au hamkupima, ninyi bado mnataka kuja Tanzania kwa kutaka kupima. Hatuwataki wakenya mje Tanzania, kwanini mnalazimisha?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi kwanini hamtaki kufunga huu mpaka na Tanzania kama tunavyotaka sisi badala yake mnalazimisha kupima?. Sisi tumeshasema ni marufuku kwa Malori ya Kenya kuingia Tanzania, iwe mumepia au hamkupima, ninyi bado mnataka kuja Tanzania kwa kutaka kupima. Hatuwataki wakenya mje Tanzania, kwanini mnalazimisha?

Sent using Jamii Forums mobile app
Jombaa, una memory fupi kama ya ngiri. Corona: Tanzania kuzuia chakula na bidhaa zingine kupelekwa Kenya - JamiiForums Mbona msiwazuie madereva wenu kuja Kenya, kama ulivotuaminisha hivi majuzi kabla Kenya haijafunga mpaka? [emoji1]
 
Jombaa, una memory fupi kama ya ngiri. Corona: Tanzania kuzuia chakula na bidhaa zingine kupelekwa Kenya - JamiiForums Mbona msiwazuie madereva wenu kuja Kenya, kama ulivotuaminisha hivi majuzi kabla Kenya haijafunga mpaka? [emoji1]
Sasa sisi tumesema kwasababu ninyi mumefunga mipaka na Tanzania isipokua kwa "Cargo vehicles", sisi tumemalizia kwa kusema hata hizo " Cargo vehicles" pia zisipite, kwanini mnalalamika kwa kutaka "Cargo vehicles' ziruhusiwe?.

Tufunge mipaka " Completely not selectively ". Kwasababu " Cargo vehicles" ni kwa manufaa yenu ndio mnataka ziruhusiwe sio?.

Sisi tunataka kila mtu abaki kwao tuone nani ni kidume. Hatutaki habari za kupima madereva, kwanini hata hayo magari ya "passengers" msiwarihusu na mkawapima?.

Wakenya kaeni kwenu na sisi tibaki kwetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kama kuna uelewano huu mbona kila siku mnamu bipu Magufuli? Mnataka awapigie? Mkenya kuingia TZ marufuku hata awe amepimwa hadi mikojo na vinyesi
Hapo awali kabla Kenya haijafunga mpaka na hamjajibu kwa kuwazuia madereva wa Kenya kuingia mlikuwa mmewapima wangapi kwenye boda? Wakenya au hata watanzania waliokuwa wanarudi kutoka Kenya, sufuri. Hata watanzania tu ambao wanapatikana +ve na kukatazwa kuingia Kenya hamuwapeleki quarantine wala isolation. Alafu baadaye utasikia Tz ni mfano wa kuigwa kwenye kupambana na maambukizi ya Corona. 😀 Kisha mkiitwa kichwa cha mwendawazimu mnaanza kucatch mafeelings. [emoji1] Bure kabisa!
 
Safi sana, kila anayefika mpakani anapanua mdomo na kutumbukizwa kifaa, hamna nini wala nini, hutaki geuza rudi kwenu mkaambukizane huko....ndio mwendo huu yaani hadi raha.
kwa mara ya kwanza nimeanza kuhisi salama, maana hawa jamaa walikua wanalialia wakitaka wawe wanaingia mamia kwa siku bila kupimwa ukizingatia kwao hamna tahadhari yoyote, wapo wapo wamejichokea kisa umaskini.

Mpuuzi kweli ww, kwani nyie matajiri? Nyani anamcheka tumbili 🤪🤪
 
Back
Top Bottom