Maadili ya Aziz Ki yanatia mashaka!

Maadili ya Aziz Ki yanatia mashaka!

mnakosa vitu vyakujadili hadi mnajadili upuuzi.
 
Nenda mahakamani basi
Mwambieni washabiki Waadilifu hawataki hiyo stairi yake ya uvaaji Bukta jezi.
Bernad Morrison aliachwa Simba baada ya kuonesha kichupi uwanjani baada ya ushindi.
Kwanini kila siku yeye ni kupandisha Bukta tu, kucheza vipaja nje.
 
Mwambieni washabiki Waadilifu hawataki hiyo stairi yake ya uvaaji Bukta jezi.
Bernad Morrison aliachwa Simba baada ya kuonesha kichupi uwanjani baada ya ushindi.
Kwanini kila siku yeye ni kupandisha Bukta tu, kucheza vipaja nje.
Peleka malalamiko yako TFF
 
Mwambieni washabiki Waadilifu hawataki hiyo stairi yake ya uvaaji Bukta jezi.
Bernad Morrison aliachwa Simba baada ya kuonesha kichupi uwanjani baada ya ushindi.
Kwanini kila siku yeye ni kupandisha Bukta tu, kucheza vipaja nje.
Biashara matangazo
 
Back
Top Bottom