Uchaguzi 2020 Maadili ya Uchaguzi: Ni marufuku kubandika picha ya mgombea juu ya picha ya mgombea mwingine

Uchaguzi 2020 Maadili ya Uchaguzi: Ni marufuku kubandika picha ya mgombea juu ya picha ya mgombea mwingine

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Maadili ya Uchaguzi ya mwaka 2020 inaeleza matukio ya ukiukwaji wa maadili ya Uchaguzi kuwa pamoja na kutoa Lugha ya matusi na kashfa pia kutoa kauli zisizoweza kuthibitika.

Pia ni kosa kimaadili kubandika picha ya mgombea juu ya picha ya mgombea mwingine, vurugu dhidi ya wagombea, wafuasi wa vyama na wagombea kuingilia mikotano ya wagombea wa vyama vingine.

Aidha kuongeza muda wa kampeni, kukiuka ratiba ya kampeni, wafuasi wa vyama kuharibu mabango ya wagombea. Pia kufanya maandamano yasiyokuwa na kibali kabla ya saa ya kampeni.

Mgombea au Chama kikiona maadili ya uchaguzi yamekiukwa atatakiwa kuwasilisha malalamiko kwa mwenyekiti wa Kamati ya Maadili ya Uchaguzi ndani ya saa 72 tangu kutokea kwa tukio linalolalamikiwa.

1600409534443.png

1600409558873.png

1600409572633.png

1600409615601.png

1600409631701.png

1600409649083.png


==
1600409676490.png

1600409690819.png

1600417792795.png


1600409718599.png

1600409738029.png

1600409761171.png
 
Tume wenyewe haiyazingatii maadili kuwaengua wagombea wa Chadema na ACTwazalendo wa Bara na Visiwani.

Wakati huo huo hakuna hata Mgombea moja wa CCM aliyeenguliwa
 
Back
Top Bottom