Kwani wote tulikuwepo mkuu!!!Wanajamvi,
Nimeshangaa na Kushituka kusikia sauti ya Naibu waziri wizara ya Mifugo na uvuvi (MUV) Mbunge wa Jimbo la Mkuranga Abdallah Hamis Ulega akiongea mambo ya ajabu bila hata kuhofia vyombo vya dola
Nikajiuliza Maswali mengi. Je, Maadili ya Viongozi yameishia wapi?
Kama ameongea lolote ungenukuu alichoongea.Wanajamvi,
Nimeshangaa na Kushituka kusikia sauti ya Naibu waziri wizara ya Mifugo na uvuvi (MUV) Mbunge wa Jimbo la Mkuranga Abdallah Hamis Ulega akiongea mambo ya ajabu bila hata kuhofia vyombo vya dola
Nikajiuliza Maswali mengi. Je, Maadili ya Viongozi yameishia wapi?
View attachment 1882280View attachment 1882281
Je Siasa za Tanzania zimebadilika? Baadaye nikasikiliza hii audio ya Whatsapp
View attachment 1882286
Sijaelewa chochoteAmeongea nini?
Kuna tatizo kubwa sana ndani ya wanasiasa wa ccm.. Kwamba wakati wa uchaguzi kila siku alikuwa anatumia si chini ya milion 2 mpaka 5 kuhongaWanajamvi,
Nimeshangaa na Kushituka kusikia sauti ya Naibu waziri wizara ya Mifugo na uvuvi (MUV) Mbunge wa Jimbo la Mkuranga Abdallah Hamis Ulega akiongea mambo ya ajabu bila hata kuhofia vyombo vya dola
Nikajiuliza Maswali mengi. Je, Maadili ya Viongozi yameishia wapi?
View attachment 1882280View attachment 1882281
Je Siasa za Tanzania zimebadilika? Baadaye nikasikiliza hii audio ya Whatsapp
View attachment 1882286
Mh. Ulega ukimuona kama fala fulani hivi, kumbe mafia hatari...... watu wa mkuranga tunahali ngumu sana, tunapigwa na mhe ulega na kutengenezewa mazengwe kila kukicha...![emoji29][emoji29][emoji29]