Maadmin wa magroup ya Whatsapp acheni kutuchangisha michango, maisha magumu

Zilikuwa hazina matumizi ndio maana ukatoa. Usilalamike.
 
si uondoke kwenye group??? Maana kila kitu kina lengo lake japo mnaweza kukubaliana lkn wengine km ww wakakubli kwa shingo upande basi mwisho wa siku wengi wape......ISIJE IKAWA KM pengo ANAKUBALIANA NA MAASKOFU WENZAKE LKN YY ANASIDE NA WUAJI
 
Duuh!! Hayo ni magroup ya whatsapp au VICOBA?
 
si uondoke kwenye group??? Maana kila kitu kina lengo lake japo mnaweza kukubaliana lkn wengine km ww wakakubli kwa shingo upande basi mwisho wa siku wengi wape......ISIJE IKAWA KM pengo ANAKUBALIANA NA MAASKOFU WENZAKE LKN YY ANASIDE NA WUAJI
we utakuwa mmoja wao
 
Halafu eti wanaweka na kiwango kabisa !
Mfano Kwenye rambirambi , kawaida Mtu anatakiwa kutoa alichonacho au Kwa kadri atakavyoguswa Moyoni mwake, sasa kwanini kulazimishana na kuwekeana viwango?!
Yani siku hizi imekuwa Kama fashion!
 
andika wewe
Mkuu jamaa Naona kama kakuelekeza tu.. Na hata mie naona kweli umechanganya kwenye L na R. Tuwe waungwana; tupokee criticism. Unarekebika kesho unaandika vema.

Tukitunze kiswahili. Ni Tunu ya Taifa.

Asante kwa mada.. Ni kero yangu pia. Undugu au umoja haupimwi kwa kiasi cha pesa unachotoa... Undugu kutembeleana.. Sio michango kushoto kulia na juu chini as if tunasubscribe huo urafiki/undugu
 
Halafu eti wanaweka na kiwango kabisa !
Mfano Kwenye rambirambi , kawaida Mtu anatakiwa kutoa alichonacho au Kwa kadri atakavyoguswa Moyoni mwake, sasa kwanini kulazimishana na kuwekeana viwango?!
Yani siku hizi imekuwa Kama fashion!
mfano valentina
 
Duuu
 
Watu wasiojulikana wamekuja kwa staili nyingine!
Wajinga ndiyo waliwao!
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…