Maadui wakubwa wa soka la bongo katika picha!

Maadui wakubwa wa soka la bongo katika picha!

kipara kipya

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2016
Posts
18,833
Reaction score
23,276
Hawa ndio wenye kufifisha maendeleo ya soka Tanzania kakosekana GSM,hao sio watu wa mpira......kabisa hapa wanasaidiana kununua mechi na timu kama Ihefu sasa wana mradi wa kununuliana wachezaji na makocha.

Timu ikifika ngazi klabu bingwa kule hakuna Mwigulu wa GSM chali nyumbani na ugrnini!.....muwaone vizuri wapinga maendeleo ya soka kwa vitendo!
20241229_070802.jpg
 
Nyie viherehere vyenu vya Kupenda Pesa ndio Maana mnaruhus kufungwa mara nne mfululizo na Timu Moya... Badilikeni kwa faida ya Mpira wetu
Wameshabadilika ndio maana wapo robo fainal maadui wapo hatua gani?
 
Hawa ndio wenye kufifisha maendeleo ya soka Tanzania kakosekana GSM,hao sio watu wa mpira......kabisa hapa wanasaidiana kununua mechi na timu kama Ihefu sasa wana mradi wa kununuliana wachezaji na makocha.

Timu ikifika ngazi klabu bingwa kule hakuna Mwigulu wa GSM chali nyumbani na ugrnini!.....muwaone vizuri wapinga maendeleo ya soka kwa vitendo!
View attachment 3225560
Miccm hio
 
Mahali popote akitia mguu Mwigulu lazima paharibike. Ana Pepo la uharibifu😔😔
 
Hawa ndio wenye kufifisha maendeleo ya soka Tanzania kakosekana GSM,hao sio watu wa mpira......kabisa hapa wanasaidiana kununua mechi na timu kama Ihefu sasa wana mradi wa kununuliana wachezaji na makocha.

Timu ikifika ngazi klabu bingwa kule hakuna Mwigulu wa GSM chali nyumbani na ugrnini!.....muwaone vizuri wapinga maendeleo ya soka kwa vitendo!
View attachment 3225560
Hao ndiyo backbone ya ligi yetu kuwa ndani ya top 10 ligi bora afrika mkuu
 
Back
Top Bottom