kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Hatujawahi kufungwa mara 4 na timu yoyote ile.Acheni kufungwa mara nne mfululizo ndio tuta amini mpo serious
Bahati mbaya huna akiliHatujawahi kufungwa mara 4 na timu yoyote ile.
Wameshabadilika ndio maana wapo robo fainal maadui wapo hatua gani?Nyie viherehere vyenu vya Kupenda Pesa ndio Maana mnaruhus kufungwa mara nne mfululizo na Timu Moya... Badilikeni kwa faida ya Mpira wetu
Hiyo mechi ya tarehe 19 mwezi wa 10 goli la yanga alifunga nani?Bahati mbaya huna akili
Miccm hioHawa ndio wenye kufifisha maendeleo ya soka Tanzania kakosekana GSM,hao sio watu wa mpira......kabisa hapa wanasaidiana kununua mechi na timu kama Ihefu sasa wana mradi wa kununuliana wachezaji na makocha.
Timu ikifika ngazi klabu bingwa kule hakuna Mwigulu wa GSM chali nyumbani na ugrnini!.....muwaone vizuri wapinga maendeleo ya soka kwa vitendo!
View attachment 3225560
RageHiyo mechi ya tarehe 19 mwezi wa 10 goli la yanga alifunga nani?
Hatujawahi kufungwa mara 4 na timu yoyote hapa TANZANIA.Rage
Hawafai!Miccm hio
Kweli kabisa dah uto hao!Akili za mbumbumbu bhana,wanazijua wao.
Tuanze na nyie kwanini mnafugwa kila sikuHii tuhuma sio ya kupuuza
Taja bei yako na ww ununuliwe mkuu,inaonekana una wivu mbumbumbu.kabisa hapa wanasaidiana kununua mechi na timu kama Ihefu sasa wana mradi wa kununuliana wachezaji na makocha
Hao ndiyo backbone ya ligi yetu kuwa ndani ya top 10 ligi bora afrika mkuuHawa ndio wenye kufifisha maendeleo ya soka Tanzania kakosekana GSM,hao sio watu wa mpira......kabisa hapa wanasaidiana kununua mechi na timu kama Ihefu sasa wana mradi wa kununuliana wachezaji na makocha.
Timu ikifika ngazi klabu bingwa kule hakuna Mwigulu wa GSM chali nyumbani na ugrnini!.....muwaone vizuri wapinga maendeleo ya soka kwa vitendo!
View attachment 3225560
Kucheza fainal champion ligi tusahau!Hao ndiyo backbone ya ligi yetu kuwa ndani ya top 10 ligi bora afrika mkuu