Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Serikali imetoa tamko baada ya watu binafsi kuanza kuchangishaSerikali msalaba n wenu huo hamna budi kuubebaaa...
Ga pesa kwa ajili ya mara pesa zinaenda wapi? Shit holeSerikali kupitia Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu, Dkt Jim James Yonazi ametoa akaunti maalum ya Serikali ambayo Watanzania wataitumia ili kutuma fedha kwa ajili ya kuwachangia waliopata maafa Kariakoo.
Jina la Akaunti
National Relief Fund
Namba ya Akaunti
9921159801
Pia, Soma: Live Updates Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Watu 7 wengine waokolewa
Halafu serikali walivyo na KICHAA wanadhani kuna mwananchi yeyote atatuma senti ya aina yoyote kwenye account ya serikali?Serikali kupitia Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu, Dkt Jim James Yonazi ametoa akaunti maalum ya Serikali ambayo Watanzania wataitumia ili kutuma fedha kwa ajili ya kuwachangia waliopata maafa Kariakoo.
Jina la Akaunti
National Relief Fund
Namba ya Akaunti
9921159801
Pia, Soma: Live Updates Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Watu 7 wengine waokolewa
Watapewa vitenge, tisheti na elfu kumi watulie muda wao
Ili iweje, hizi hela zi bora serikali ianzishe tamash jingine.Watanzania tunapigwa sana matukio,yaani serikali kuu inakosaje kuchukua gharama zote za ajali?