Waziri Ummy kasema amekufa mtu moja na over 30 wamejeruhiwa.
Unategemea kweli wakifa watu wengi aseme ukweli?
Jawabu ni independent verification ambaypo haifungamani na serikali.
All in all, after all for politicians haina athali kufa watu kwenye mipira as long as their political positions are not shaken! . Walikufa wangapi wakati wa msiba wa Magufuli na maisha yakaendelea as if nothng has happened. Business as usual?
Unategemea kweli wakifa watu wengi aseme ukweli?
Jawabu ni independent verification ambaypo haifungamani na serikali.
All in all, after all for politicians haina athali kufa watu kwenye mipira as long as their political positions are not shaken! . Walikufa wangapi wakati wa msiba wa Magufuli na maisha yakaendelea as if nothng has happened. Business as usual?