Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wafiche waliokufa ili iweje!?..watu mpo negative to na serikaliWaziri Ummy kasema amekufa mtu moja na over 30 wamejeruhiwa.
Unategemea kweli wakifa watu wengi aseme ukweli?
Jawabu ni independent verification ambaypo haifungamani na serikali.
All in all, after all for politicians haina athali kufa watu kwenye mipira as long as their political positions are not shaken! . Walikufa wangapi wakati wa msiba wa Magufuli na maisha yakaendelea as if nothng has happened. Business as usual?
Iamini tu serikali. Mbona mambo mengi tu wanatueleza ukweli?
1. Kwenye corona si walitupa takwimu za kweli?
2. Mv bukoba ilipozama si walitupa takwimu za kweli?
3. Treni ilipoanguka Dodoma si walitupa takwimu za kweli?
4. Matokeo uchaguzi s/mitaa na mkuu si walitupa takwimu za kweli?
5. Viwanda vilivyojengwa Tz kati ya 2016 na 2021 si walitupa takwimu za kweli?
6. .....
7. .....
That was a widely circulated event, kama hukuona, then you are not worthy!Jifunze kuandika kwa kitoa taarifa kwa kina ili kila mtu aelewe nini kilitokea alafu ndio unatoa mawazo yako.Umeanfika kama vile kika mtu anajua au alikuwa eneo la tukio.Hujaeleweka una toa mawazo juu ya kitu gani.
IgnoreYaani hauiamini Serikali halafu unadai utawaamini watu huru!? Kwani hao watu huru wataletwa na nani?
IgnoreKwanza ungeandika kwa lugha moja uzi wako. Kiswanglish waachie ma-slay queens. Wakifa wengi wewe itakusaidia nini? Kuna faida gani utapata wakitangazwa wamekufa wengi? Waziri wa afya ndiye mwenye dhamana ya kutangaza jambo kama hilo. Kama hutaki hamia kwingine ambapo hufanya hicho unachoita Independent Verification. Nyie ndo wale ajali inatokea badala ya kusaidia kuokoa unachukua video kwanza ili upost.
Ndio umejua leo yohana mbatizaji?....Ummy ni Waziri wa nini?
Masauni yuko wapi?
Pindi yuko wapi?
Chalamila yuko wapi?
Nchi Ngumu Sana hii
Waziri Ummy kasema amekufa mtu moja na over 30 wamejeruhiwa.
Unategemea kweli wakifa watu wengi aseme ukweli?
Jawabu ni independent verification ambaypo haifungamani na serikali.
All in all, after all for politicians haina athali kufa watu kwenye mipira as long as their political positions are not shaken! . Walikufa wangapi wakati wa msiba wa Magufuli na maisha yakaendelea as if nothng has happened. Business as usual?
Na hata ikisemwa idadi kamili sijui itasaidia niniHawawezi Kisema Idadi Kamili
Maisha ni yako unapaswa kuyalinda kwa namna yoyote ile, ukisubiri serikali ikulindie maisha yako utasubiri sana, Serikali itakuchangia tu gharama za mazishiHii nchi hata wangekufa 100 HAKUNA AMBAE ANGEFANYWA KITU.. yani maisha ya watu yanachuliwa poa sana tuna safari ndefu mno.
[emoji1787][emoji1787]Yaani hauiamini Serikali halafu unadai utawaamini watu huru!? Kwani hao watu huru wataletwa na nani?
Waziri Ummy kasema amekufa mtu moja na over 30 wamejeruhiwa.
Unategemea kweli wakifa watu wengi aseme ukweli?
Jawabu ni independent verification ambaypo haifungamani na serikali.
All in all, after all for politicians haina athali kufa watu kwenye mipira as long as their political positions are not shaken! . Walikufa wangapi wakati wa msiba wa Magufuli na maisha yakaendelea as if nothng has happened. Business as usual?
Treni ilipoanguka Dodoma takwimu labda hazikuwa kweli. Mimi nilikwenda Dodoma nikawaona watu wanahaha kutafuta ndugu zao.Iamini tu serikali. Mbona mambo mengi tu wanatueleza ukweli?
1. Kwenye corona si walitupa takwimu za kweli?
2. Mv bukoba ilipozama si walitupa takwimu za kweli?
3. Treni ilipoanguka Dodoma si walitupa takwimu za kweli?
4. Matokeo uchaguzi s/mitaa na mkuu si walitupa takwimu za kweli?
5. Viwanda vilivyojengwa Tz kati ya 2016 na 2021 si walitupa takwimu za kweli?
6. .....
7. .....
Na FA alikuepo uwanjani.Ummy ni Waziri wa nini?
Masauni yuko wapi?
Pindi yuko wapi?
Chalamila yuko wapi?
Nchi Ngumu Sana hii
Afya, Mambo ya Ndani, Sanaa na Michezo, RC Dar es Salaam mtawaliwa. Wa kwanza hili halimihusu sana. Hao wengine wanawajibika moja kwa moja na hayo yaliyojitokeza.Ummy ni Waziri wa nini?
Masauni yuko wapi?
Pindi yuko wapi?
Chalamila yuko wapi?
Nchi Ngumu Sana hii