Maafa ya kariakoo Rais hapaswi kulaumiwa

Maafa ya kariakoo Rais hapaswi kulaumiwa

Big dady 11

Senior Member
Joined
May 21, 2023
Posts
109
Reaction score
128
Mambo vp wakuu..

Nimekuwa nikifatilia nyuzi nyingi humu pia hata mitandao mingine.
Watu wengi wamekuwa wakimlaumu sana Raisi wa nchi..

Lawama nyingi zikiwa ni kwanini Raisi asafiri wakati Kuna maafa nchini kwake??

Kariakoo waziri mkuu alienda na kutoa maagizo .. sasa Raisi afate Nini??
Je ikulu Kuna kitengo Cha uokoaji aje nacho?

majukumu yote ya kusimamia uokoaji na usalama wa Mali eneo la tukio lipo chini ya ofisi ya waziri mkuu akiwa anapokea maagizo kutoka kwa boss wake(Raisi).

Naimani kama Raisi asinge pata mualiko huko Brazil kwenye mkutano wa G20. Naamini angekuwa wa kwanza kufika kariakoo lakini kwa bahati mbaya Mambo yameingiliana, tarehe yake ya kusafiri ndio likatokea janga..
Kwakua Raisi anawasaidizi basi wakagawana majukumu, na ndio kama tulivyoona mawaziri wakaweka kambi kariakoo na raisi akaenda Brazil kuwakilisha nchi.

Sasa vichwa panzi wengi( kwa utafiti wangu ni wanachama wa vyama pinzani) wamekuwa wakilitumia hili kama fimbo eti kwanini Raisi asafiri wakati nchi inamajanga ??

Narudia ukiona mtu anatoa lawama kama iyo jua anamatatizo ya afya ya akili..
Serikali aiendeshwi kama familia.

Pia wapo wanaolaumu kuwa waokoaji wapo slow na hawana vifaa, na kumtupia lawama Raisi wa nchi..

Kama utakuwa umepata bahati ya kufika kariakoo kwenye Lile jengo au hata kuliona tu kwenye mitandao au TV.. utaona kuwa Lile jengo halijadongoka asilimia zote 100.. ni kama limeshuka upande kuegemea ghorofa jirani ndomana Kuna nguzo bado azijadondo zimelalia upande tu,

Sasa waokoaji awawez tu kuchukua magreda na kuvuta vuta tu nguzo au kuchotachota tu vifusi hovyo..

Chini Kuna watu wapo hai na ndomana iliitajika umakini na taaluma ya uokozi na sio nguvu.

Simu zilizopigwa na wahanga wakiwa chini walikuwa wanaongea vizuri na kusema wapo kumi kwa sehemu moja, hii maana yake awajabanwa sana huko chini hivyo shida inayo wakumba ni hewa na maji.

Ndio maana waokoaji wakaanza kutoboa matundu kupitisha oxygen kwanza Kisha wakiwa wanaendelea kufukua kwa uangalifu ili vifusi vya juu visije kuwaangukia wahanga na kupoteza maisha..

Hivyo basi kwa mantiki hiyo matumizi ya kutumia nguvu au kufukua kwa pupa yahakuitajika.

Tungoje taarifa ya chanzo Cha ajali hapo ndio tutajua nani wakulaumiwa kwenye janga hili..

Soma Pia:

Huu ni mtazamo wangu kama raia, Binafsi sio mwanasiasa sijihisishi na siasa Wala siijui siasa

ACHENI KULETA SIASA KWENYE MAAFA
 
UMESEMA KWELI HASWA, NA HATA MIMI SIO MWANASIASA, LAKINI NACHUKIA IKIWA WATU WAPO KWENYE KULAUMU TUU BASI, AKILI HAIWEZI KUKUA IKIWA SIKU ZOTE UPO OPPOSITE TUU, MAENDELEA HAYAWEZEKANI KUPATIKANA KWA KUWA NA NEGATIVE NEGATIVE TUU, TUWE WENYE KUSHUKURU KWA KILE KIDOGO MTU ANACHOPATA, TUSIWE WENYE KULAUMU LAUMU TUU. IKIWA SIO MJA WA KUSHUKURU MTU BASI HATA KUMSHUKURU MUNGU UTAKUWA MGUMU TUU WEWE
 
Mambo vp wakuu..

Nimekuwa nikifatilia nyuzi nyingi humu pia hata mitandao mingine.
Watu wengi wamekuwa wakimlaumu sana Raisi wa nchi..

Lawama nyingi zikiwa ni kwanini Raisi asafiri wakati Kuna maafa nchini kwake??

Kariakoo waziri mkuu alienda na kutoa maagizo .. sasa Raisi afate Nini??
Je ikulu Kuna kitengo Cha uokoaji aje nacho?

majukumu yote ya kusimamia uokoaji na usalama wa Mali eneo la tukio lipo chini ya ofisi ya waziri mkuu akiwa anapokea maagizo kutoka kwa boss wake(Raisi).

Naimani kama Raisi asinge pata mualiko huko Brazil kwenye mkutano wa G20. Naamini angekuwa wa kwanza kufika kariakoo lakini kwa bahati mbaya Mambo yameingiliana, tarehe yake ya kusafiri ndio likatokea janga..
Kwakua Raisi anawasaidizi basi wakagawana majukumu, na ndio kama tulivyoona mawaziri wakaweka kambi kariakoo na raisi akaenda Brazil kuwakilisha nchi.

Sasa vichwa panzi wengi( kwa utafiti wangu ni wanachama wa vyama pinzani) wamekuwa wakilitumia hili kama fimbo eti kwanini Raisi asafiri wakati nchi inamajanga ??

Narudia ukiona mtu anatoa lawama kama iyo jua anamatatizo ya afya ya akili..
Serikali aiendeshwi kama familia.

Pia wapo wanaolaumu kuwa waokoaji wapo slow na hawana vifaa, na kumtupia lawama Raisi wa nchi..

Kama utakuwa umepata bahati ya kufika kariakoo kwenye Lile jengo au hata kuliona tu kwenye mitandao au TV.. utaona kuwa Lile jengo halijadongoka asilimia zote 100.. ni kama limeshuka upande kuegemea ghorofa jirani ndomana Kuna nguzo bado azijadondo zimelalia upande tu,

Sasa waokoaji awawez tu kuchukua magreda na kuvuta vuta tu nguzo au kuchotachota tu vifusi hovyo..

Chini Kuna watu wapo hai na ndomana iliitajika umakini na taaluma ya uokozi na sio nguvu.

Simu zilizopigwa na wahanga wakiwa chini walikuwa wanaongea vizuri na kusema wapo kumi kwa sehemu moja, hii maana yake awajabanwa sana huko chini hivyo shida inayo wakumba ni hewa na maji.

Ndio maana waokoaji wakaanza kutoboa matundu kupitisha oxygen kwanza Kisha wakiwa wanaendelea kufukua kwa uangalifu ili vifusi vya juu visije kuwaangukia wahanga na kupoteza maisha..

Hivyo basi kwa mantiki hiyo matumizi ya kutumia nguvu au kufukua kwa pupa yahakuitajika.

Tungoje taarifa ya chanzo Cha ajali hapo ndio tutajua nani wakulaumiwa kwenye janga hili..

Soma Pia:

Huu ni mtazamo wangu kama raia, Binafsi sio mwanasiasa sijihisishi na siasa Wala siijui siasa

ACHENI KULETA SIASA KWENYE MAAFA
Siyo kwamba wewe ndiye ambaye hauna akili timamu sawa sawa???
 
Mambo vp wakuu..

Nimekuwa nikifatilia nyuzi nyingi humu pia hata mitandao mingine.
Watu wengi wamekuwa wakimlaumu sana Raisi wa nchi..

Lawama nyingi zikiwa ni kwanini Raisi asafiri wakati Kuna maafa nchini kwake??

Kariakoo waziri mkuu alienda na kutoa maagizo .. sasa Raisi afate Nini??
Je ikulu Kuna kitengo Cha uokoaji aje nacho?

majukumu yote ya kusimamia uokoaji na usalama wa Mali eneo la tukio lipo chini ya ofisi ya waziri mkuu akiwa anapokea maagizo kutoka kwa boss wake(Raisi).

Naimani kama Raisi asinge pata mualiko huko Brazil kwenye mkutano wa G20. Naamini angekuwa wa kwanza kufika kariakoo lakini kwa bahati mbaya Mambo yameingiliana, tarehe yake ya kusafiri ndio likatokea janga..
Kwakua Raisi anawasaidizi basi wakagawana majukumu, na ndio kama tulivyoona mawaziri wakaweka kambi kariakoo na raisi akaenda Brazil kuwakilisha nchi.

Sasa vichwa panzi wengi( kwa utafiti wangu ni wanachama wa vyama pinzani) wamekuwa wakilitumia hili kama fimbo eti kwanini Raisi asafiri wakati nchi inamajanga ??

Narudia ukiona mtu anatoa lawama kama iyo jua anamatatizo ya afya ya akili..
Serikali aiendeshwi kama familia.

Pia wapo wanaolaumu kuwa waokoaji wapo slow na hawana vifaa, na kumtupia lawama Raisi wa nchi..

Kama utakuwa umepata bahati ya kufika kariakoo kwenye Lile jengo au hata kuliona tu kwenye mitandao au TV.. utaona kuwa Lile jengo halijadongoka asilimia zote 100.. ni kama limeshuka upande kuegemea ghorofa jirani ndomana Kuna nguzo bado azijadondo zimelalia upande tu,

Sasa waokoaji awawez tu kuchukua magreda na kuvuta vuta tu nguzo au kuchotachota tu vifusi hovyo..

Chini Kuna watu wapo hai na ndomana iliitajika umakini na taaluma ya uokozi na sio nguvu.

Simu zilizopigwa na wahanga wakiwa chini walikuwa wanaongea vizuri na kusema wapo kumi kwa sehemu moja, hii maana yake awajabanwa sana huko chini hivyo shida inayo wakumba ni hewa na maji.

Ndio maana waokoaji wakaanza kutoboa matundu kupitisha oxygen kwanza Kisha wakiwa wanaendelea kufukua kwa uangalifu ili vifusi vya juu visije kuwaangukia wahanga na kupoteza maisha..

Hivyo basi kwa mantiki hiyo matumizi ya kutumia nguvu au kufukua kwa pupa yahakuitajika.

Tungoje taarifa ya chanzo Cha ajali hapo ndio tutajua nani wakulaumiwa kwenye janga hili..

Soma Pia:

Huu ni mtazamo wangu kama raia, Binafsi sio mwanasiasa sijihisishi na siasa Wala siijui siasa

ACHENI KULETA SIASA KWENYE MAAFA
Una umri gani?! Una malezi ya pande MBILI?!

Unajua maana ya UJITUKABEJA?! jion / usiku wa Leo umekula mlo gani/chakula gani?!

Nijibu ,ili tupate pa kuanzia ndipo tuanze kukusaidia kukuelewesha.
 
UMESEMA KWELI HASWA, NA HATA MIMI SIO MWANASIASA, LAKINI NACHUKIA IKIWA WATU WAPO KWENYE KULAUMU TUU BASI, AKILI HAIWEZI KUKUA IKIWA SIKU ZOTE UPO OPPOSITE TUU, MAENDELEA HAYAWEZEKANI KUPATIKANA KWA KUWA NA NEGATIVE NEGATIVE TUU, TUWE WENYE KUSHUKURU KWA KILE KIDOGO MTU ANACHOPATA, TUSIWE WENYE KULAUMU LAUMU TUU. IKIWA SIO MJA WA KUSHUKURU MTU BASI HATA KUMSHUKURU MUNGU UTAKUWA MGUMU TUU WEWE
Samahani mkuu, unatoa hii comment ukiwa mkoa gani?!

Nauliza kwa Nia njema TU.
 
Mambo vp wakuu..

Nimekuwa nikifatilia nyuzi nyingi humu pia hata mitandao mingine.
Watu wengi wamekuwa wakimlaumu sana Raisi wa nchi..

Lawama nyingi zikiwa ni kwanini Raisi asafiri wakati Kuna maafa nchini kwake??

Kariakoo waziri mkuu alienda na kutoa maagizo .. sasa Raisi afate Nini??
Je ikulu Kuna kitengo Cha uokoaji aje nacho?

majukumu yote ya kusimamia uokoaji na usalama wa Mali eneo la tukio lipo chini ya ofisi ya waziri mkuu akiwa anapokea maagizo kutoka kwa boss wake(Raisi).

Naimani kama Raisi asinge pata mualiko huko Brazil kwenye mkutano wa G20. Naamini angekuwa wa kwanza kufika kariakoo lakini kwa bahati mbaya Mambo yameingiliana, tarehe yake ya kusafiri ndio likatokea janga..
Kwakua Raisi anawasaidizi basi wakagawana majukumu, na ndio kama tulivyoona mawaziri wakaweka kambi kariakoo na raisi akaenda Brazil kuwakilisha nchi.

Sasa vichwa panzi wengi( kwa utafiti wangu ni wanachama wa vyama pinzani) wamekuwa wakilitumia hili kama fimbo eti kwanini Raisi asafiri wakati nchi inamajanga ??

Narudia ukiona mtu anatoa lawama kama iyo jua anamatatizo ya afya ya akili..
Serikali aiendeshwi kama familia.

Pia wapo wanaolaumu kuwa waokoaji wapo slow na hawana vifaa, na kumtupia lawama Raisi wa nchi..

Kama utakuwa umepata bahati ya kufika kariakoo kwenye Lile jengo au hata kuliona tu kwenye mitandao au TV.. utaona kuwa Lile jengo halijadongoka asilimia zote 100.. ni kama limeshuka upande kuegemea ghorofa jirani ndomana Kuna nguzo bado azijadondo zimelalia upande tu,

Sasa waokoaji awawez tu kuchukua magreda na kuvuta vuta tu nguzo au kuchotachota tu vifusi hovyo..

Chini Kuna watu wapo hai na ndomana iliitajika umakini na taaluma ya uokozi na sio nguvu.

Simu zilizopigwa na wahanga wakiwa chini walikuwa wanaongea vizuri na kusema wapo kumi kwa sehemu moja, hii maana yake awajabanwa sana huko chini hivyo shida inayo wakumba ni hewa na maji.

Ndio maana waokoaji wakaanza kutoboa matundu kupitisha oxygen kwanza Kisha wakiwa wanaendelea kufukua kwa uangalifu ili vifusi vya juu visije kuwaangukia wahanga na kupoteza maisha..

Hivyo basi kwa mantiki hiyo matumizi ya kutumia nguvu au kufukua kwa pupa yahakuitajika.

Tungoje taarifa ya chanzo Cha ajali hapo ndio tutajua nani wakulaumiwa kwenye janga hili..

Soma Pia:

Huu ni mtazamo wangu kama raia, Binafsi sio mwanasiasa sijihisishi na siasa Wala siijui siasa

ACHENI KULETA SIASA KWENYE MAAFA
Ninaungana na wewe KABISA kifikra. Asante.
 
Nimeona sehemu kuna mtu anamshukuru Mhe raisi, watu wangapi sijui wameokolewa, je hiyo ni sawa ama si sawa!??

Kama ni sawa kumpongeza, basi wanaomlaumu nao wako sawa,

Nimekumbuka kisa cha Abunuwasi na sufuria iliyozaa na iliyokufa.
 
"Mpigieni Simu hata mama samia aje atuokoe" alisikika muhanga mmoja.
Rais ana watendaji 100 kidogo kabla hilo janga halijamfikia.
Kuhusu kusafiri siwezi kulaumu safari ilikuwepo maybe mwezi mzima uliopita anaondoka huku majanga mtamwambia ageuze ndege?
Au mnafikiri kapanda air msae?
Muwe na akili sometime
 
Nani anajua jeshi la uokoaji wanasomea uokoaji upi? Katika majanga yote, kuna dalili za kutoonyesha utayari. Na mara nyingine hawajui hata waanzie wapi kukabiliana na majanga.
Tunapenda kusingizia vitendea kazi. Hapana. Ni kama vile hawana sababu ya kufanya kazi yao. Kwenye hili la Kariakoo, naamini kama wangeamua na uongozi ukawa wa weledi, kazi kubwa ingekamilika jana.
 
Mambo vp wakuu..

Nimekuwa nikifatilia nyuzi nyingi humu pia hata mitandao mingine.
Watu wengi wamekuwa wakimlaumu sana Raisi wa nchi..

Lawama nyingi zikiwa ni kwanini Raisi asafiri wakati Kuna maafa nchini kwake??

Kariakoo waziri mkuu alienda na kutoa maagizo .. sasa Raisi afate Nini??
Je ikulu Kuna kitengo Cha uokoaji aje nacho?

majukumu yote ya kusimamia uokoaji na usalama wa Mali eneo la tukio lipo chini ya ofisi ya waziri mkuu akiwa anapokea maagizo kutoka kwa boss wake(Raisi).

Naimani kama Raisi asinge pata mualiko huko Brazil kwenye mkutano wa G20. Naamini angekuwa wa kwanza kufika kariakoo lakini kwa bahati mbaya Mambo yameingiliana, tarehe yake ya kusafiri ndio likatokea janga..
Kwakua Raisi anawasaidizi basi wakagawana majukumu, na ndio kama tulivyoona mawaziri wakaweka kambi kariakoo na raisi akaenda Brazil kuwakilisha nchi.

Sasa vichwa panzi wengi( kwa utafiti wangu ni wanachama wa vyama pinzani) wamekuwa wakilitumia hili kama fimbo eti kwanini Raisi asafiri wakati nchi inamajanga ??

Narudia ukiona mtu anatoa lawama kama iyo jua anamatatizo ya afya ya akili..
Serikali aiendeshwi kama familia.

Pia wapo wanaolaumu kuwa waokoaji wapo slow na hawana vifaa, na kumtupia lawama Raisi wa nchi..

Kama utakuwa umepata bahati ya kufika kariakoo kwenye Lile jengo au hata kuliona tu kwenye mitandao au TV.. utaona kuwa Lile jengo halijadongoka asilimia zote 100.. ni kama limeshuka upande kuegemea ghorofa jirani ndomana Kuna nguzo bado azijadondo zimelalia upande tu,

Sasa waokoaji awawez tu kuchukua magreda na kuvuta vuta tu nguzo au kuchotachota tu vifusi hovyo..

Chini Kuna watu wapo hai na ndomana iliitajika umakini na taaluma ya uokozi na sio nguvu.

Simu zilizopigwa na wahanga wakiwa chini walikuwa wanaongea vizuri na kusema wapo kumi kwa sehemu moja, hii maana yake awajabanwa sana huko chini hivyo shida inayo wakumba ni hewa na maji.

Ndio maana waokoaji wakaanza kutoboa matundu kupitisha oxygen kwanza Kisha wakiwa wanaendelea kufukua kwa uangalifu ili vifusi vya juu visije kuwaangukia wahanga na kupoteza maisha..

Hivyo basi kwa mantiki hiyo matumizi ya kutumia nguvu au kufukua kwa pupa yahakuitajika.

Tungoje taarifa ya chanzo Cha ajali hapo ndio tutajua nani wakulaumiwa kwenye janga hili..

Soma Pia:

Huu ni mtazamo wangu kama raia, Binafsi sio mwanasiasa sijihisishi na siasa Wala siijui siasa

ACHENI KULETA SIASA KWENYE MAAFA
Pia, ukiona anayemtetea jua naye hana akili. Kinachowasumbua wengi hapa ni uchawa na ukosefu wa ubunifu wa kuweza kuishi kihalali isipokuwa kwa kujikomba na uchawachawa. Mmeharibu taifa chawa nyie.
 
Tatizo kubwa ni la watu kusifiasifia hovyo kila kitu hongera samia .
Ramadhani Brothers wameshunda tunzo huko Marekani , hongera mama samia kwa kuwawezesha ramadhani brothers kushinda
Taifa stars wakishinda Hongera kwa mama kwa kuwezesha taifa stars kushinda.
Wafadhili wakijenga choo cha msaada kwenye shule hongera kwa mama.
Yaani mambo hata hayahusiani na siasa watu wanaleta pongezi za kisiasa .
Hii ndio inasababisha watu wengine linapotokea jambo baya wanampa lawama huyo mama yenu.
Mbona akisifiwa kwa mambo ambayo hayamhusu hamjitokezi kupinga?
Tatizo mmezidi uchawa wa kijinga hivyo lazima myabebe na haya malawama msipende tu kusifiwasifiwa kipumbavu
 
Mambo vp wakuu..

Nimekuwa nikifatilia nyuzi nyingi humu pia hata mitandao mingine.
Watu wengi wamekuwa wakimlaumu sana Raisi wa nchi..

Lawama nyingi zikiwa ni kwanini Raisi asafiri wakati Kuna maafa nchini kwake??

Kariakoo waziri mkuu alienda na kutoa maagizo .. sasa Raisi afate Nini??
Je ikulu Kuna kitengo Cha uokoaji aje nacho?

majukumu yote ya kusimamia uokoaji na usalama wa Mali eneo la tukio lipo chini ya ofisi ya waziri mkuu akiwa anapokea maagizo kutoka kwa boss wake(Raisi).

Naimani kama Raisi asinge pata mualiko huko Brazil kwenye mkutano wa G20. Naamini angekuwa wa kwanza kufika kariakoo lakini kwa bahati mbaya Mambo yameingiliana, tarehe yake ya kusafiri ndio likatokea janga..
Kwakua Raisi anawasaidizi basi wakagawana majukumu, na ndio kama tulivyoona mawaziri wakaweka kambi kariakoo na raisi akaenda Brazil kuwakilisha nchi.

Sasa vichwa panzi wengi( kwa utafiti wangu ni wanachama wa vyama pinzani) wamekuwa wakilitumia hili kama fimbo eti kwanini Raisi asafiri wakati nchi inamajanga ??

Narudia ukiona mtu anatoa lawama kama iyo jua anamatatizo ya afya ya akili..
Serikali aiendeshwi kama familia.

Pia wapo wanaolaumu kuwa waokoaji wapo slow na hawana vifaa, na kumtupia lawama Raisi wa nchi..

Kama utakuwa umepata bahati ya kufika kariakoo kwenye Lile jengo au hata kuliona tu kwenye mitandao au TV.. utaona kuwa Lile jengo halijadongoka asilimia zote 100.. ni kama limeshuka upande kuegemea ghorofa jirani ndomana Kuna nguzo bado azijadondo zimelalia upande tu,

Sasa waokoaji awawez tu kuchukua magreda na kuvuta vuta tu nguzo au kuchotachota tu vifusi hovyo..

Chini Kuna watu wapo hai na ndomana iliitajika umakini na taaluma ya uokozi na sio nguvu.

Simu zilizopigwa na wahanga wakiwa chini walikuwa wanaongea vizuri na kusema wapo kumi kwa sehemu moja, hii maana yake awajabanwa sana huko chini hivyo shida inayo wakumba ni hewa na maji.

Ndio maana waokoaji wakaanza kutoboa matundu kupitisha oxygen kwanza Kisha wakiwa wanaendelea kufukua kwa uangalifu ili vifusi vya juu visije kuwaangukia wahanga na kupoteza maisha..

Hivyo basi kwa mantiki hiyo matumizi ya kutumia nguvu au kufukua kwa pupa yahakuitajika.

Tungoje taarifa ya chanzo Cha ajali hapo ndio tutajua nani wakulaumiwa kwenye janga hili..

Soma Pia:

Huu ni mtazamo wangu kama raia, Binafsi sio mwanasiasa sijihisishi na siasa Wala siijui siasa

ACHENI KULETA SIASA KWENYE MAAFA
Huu ni mtazamo wangu kama raia, Binafsi sio mwanasiasa sijihisishi na siasa Wala siijui siasa

ACHENI KULETA SIASA KWENYE MAAFA🥺🥺🥺
Kuna mahali umejichanganya unasema hujui siasa lakini hapo hapo unawaasa watu waache siasa
 
Mambo vp wakuu..

Nimekuwa nikifatilia nyuzi nyingi humu pia hata mitandao mingine.
Watu wengi wamekuwa wakimlaumu sana Raisi wa nchi..

Lawama nyingi zikiwa ni kwanini Raisi asafiri wakati Kuna maafa nchini kwake??

Kariakoo waziri mkuu alienda na kutoa maagizo .. sasa Raisi afate Nini??
Je ikulu Kuna kitengo Cha uokoaji aje nacho?

majukumu yote ya kusimamia uokoaji na usalama wa Mali eneo la tukio lipo chini ya ofisi ya waziri mkuu akiwa anapokea maagizo kutoka kwa boss wake(Raisi).

Naimani kama Raisi asinge pata mualiko huko Brazil kwenye mkutano wa G20. Naamini angekuwa wa kwanza kufika kariakoo lakini kwa bahati mbaya Mambo yameingiliana, tarehe yake ya kusafiri ndio likatokea janga..
Kwakua Raisi anawasaidizi basi wakagawana majukumu, na ndio kama tulivyoona mawaziri wakaweka kambi kariakoo na raisi akaenda Brazil kuwakilisha nchi.

Sasa vichwa panzi wengi( kwa utafiti wangu ni wanachama wa vyama pinzani) wamekuwa wakilitumia hili kama fimbo eti kwanini Raisi asafiri wakati nchi inamajanga ??

Narudia ukiona mtu anatoa lawama kama iyo jua anamatatizo ya afya ya akili..
Serikali aiendeshwi kama familia.

Pia wapo wanaolaumu kuwa waokoaji wapo slow na hawana vifaa, na kumtupia lawama Raisi wa nchi..

Kama utakuwa umepata bahati ya kufika kariakoo kwenye Lile jengo au hata kuliona tu kwenye mitandao au TV.. utaona kuwa Lile jengo halijadongoka asilimia zote 100.. ni kama limeshuka upande kuegemea ghorofa jirani ndomana Kuna nguzo bado azijadondo zimelalia upande tu,

Sasa waokoaji awawez tu kuchukua magreda na kuvuta vuta tu nguzo au kuchotachota tu vifusi hovyo..

Chini Kuna watu wapo hai na ndomana iliitajika umakini na taaluma ya uokozi na sio nguvu.

Simu zilizopigwa na wahanga wakiwa chini walikuwa wanaongea vizuri na kusema wapo kumi kwa sehemu moja, hii maana yake awajabanwa sana huko chini hivyo shida inayo wakumba ni hewa na maji.

Ndio maana waokoaji wakaanza kutoboa matundu kupitisha oxygen kwanza Kisha wakiwa wanaendelea kufukua kwa uangalifu ili vifusi vya juu visije kuwaangukia wahanga na kupoteza maisha..

Hivyo basi kwa mantiki hiyo matumizi ya kutumia nguvu au kufukua kwa pupa yahakuitajika.

Tungoje taarifa ya chanzo Cha ajali hapo ndio tutajua nani wakulaumiwa kwenye janga hili..

Soma Pia:

Huu ni mtazamo wangu kama raia, Binafsi sio mwanasiasa sijihisishi na siasa Wala siijui siasa

ACHENI KULETA SIASA KWENYE MAAFA
UKIONA MTU HAMLAUMU RAIS JUA HANA AKILI TIMAMU
 
Mambo vp wakuu..

Nimekuwa nikifatilia nyuzi nyingi humu pia hata mitandao mingine.
Watu wengi wamekuwa wakimlaumu sana Raisi wa nchi..

Lawama nyingi zikiwa ni kwanini Raisi asafiri wakati Kuna maafa nchini kwake??

Kariakoo waziri mkuu alienda na kutoa maagizo .. sasa Raisi afate Nini??
Je ikulu Kuna kitengo Cha uokoaji aje nacho?

majukumu yote ya kusimamia uokoaji na usalama wa Mali eneo la tukio lipo chini ya ofisi ya waziri mkuu akiwa anapokea maagizo kutoka kwa boss wake(Raisi).

Naimani kama Raisi asinge pata mualiko huko Brazil kwenye mkutano wa G20. Naamini angekuwa wa kwanza kufika kariakoo lakini kwa bahati mbaya Mambo yameingiliana, tarehe yake ya kusafiri ndio likatokea janga..
Kwakua Raisi anawasaidizi basi wakagawana majukumu, na ndio kama tulivyoona mawaziri wakaweka kambi kariakoo na raisi akaenda Brazil kuwakilisha nchi.

Sasa vichwa panzi wengi( kwa utafiti wangu ni wanachama wa vyama pinzani) wamekuwa wakilitumia hili kama fimbo eti kwanini Raisi asafiri wakati nchi inamajanga ??

Narudia ukiona mtu anatoa lawama kama iyo jua anamatatizo ya afya ya akili..
Serikali aiendeshwi kama familia.

Pia wapo wanaolaumu kuwa waokoaji wapo slow na hawana vifaa, na kumtupia lawama Raisi wa nchi..

Kama utakuwa umepata bahati ya kufika kariakoo kwenye Lile jengo au hata kuliona tu kwenye mitandao au TV.. utaona kuwa Lile jengo halijadongoka asilimia zote 100.. ni kama limeshuka upande kuegemea ghorofa jirani ndomana Kuna nguzo bado azijadondo zimelalia upande tu,

Sasa waokoaji awawez tu kuchukua magreda na kuvuta vuta tu nguzo au kuchotachota tu vifusi hovyo..

Chini Kuna watu wapo hai na ndomana iliitajika umakini na taaluma ya uokozi na sio nguvu.

Simu zilizopigwa na wahanga wakiwa chini walikuwa wanaongea vizuri na kusema wapo kumi kwa sehemu moja, hii maana yake awajabanwa sana huko chini hivyo shida inayo wakumba ni hewa na maji.

Ndio maana waokoaji wakaanza kutoboa matundu kupitisha oxygen kwanza Kisha wakiwa wanaendelea kufukua kwa uangalifu ili vifusi vya juu visije kuwaangukia wahanga na kupoteza maisha..

Hivyo basi kwa mantiki hiyo matumizi ya kutumia nguvu au kufukua kwa pupa yahakuitajika.

Tungoje taarifa ya chanzo Cha ajali hapo ndio tutajua nani wakulaumiwa kwenye janga hili..

Soma Pia:

Huu ni mtazamo wangu kama raia, Binafsi sio mwanasiasa sijihisishi na siasa Wala siijui siasa

ACHENI KULETA SIASA KWENYE MAAFA
Umeandika vizuri sana tena sana ila umekosea sana kusema wanaotoa lawama ni vyama vya upinzani, kwani huko ccm huwa hakuna wenye fikra tofauti au wenye akiri mbovu, roho mbaya? mtindio wa ubongo nk. Watu wenye fikra tofauti wapo kila sehemu, kila kikundi nk. Na nyie ndio huaribu nchi hii kila anayekosoa eti ni mpinzani mtaendelea lini kwa kukaa na mawazo hayohayo na nyie mpinzani ni adui mkubwa hata akiwa na jambo zuri.
 
Lawama nyingi zikiwa ni kwanini Raisi asafiri wakati Kuna maafa nchini kwake??

Kariakoo waziri mkuu alienda na kutoa maagizo .. sasa Raisi afate Nini??
Je ikulu Kuna kitengo Cha uokoaji aje nacho?

majukumu yote ya kusimamia uokoaji na usalama wa Mali eneo la tukio lipo chini ya ofisi ya waziri mkuu akiwa anapokea maagizo kutoka kwa boss wake(Raisi).
Na Lucas Mwashambwa
 
Mambo vp wakuu..

Nimekuwa nikifatilia nyuzi nyingi humu pia hata mitandao mingine.
Watu wengi wamekuwa wakimlaumu sana Raisi wa nchi..

Lawama nyingi zikiwa ni kwanini Raisi asafiri wakati Kuna maafa nchini kwake??

Kariakoo waziri mkuu alienda na kutoa maagizo .. sasa Raisi afate Nini??
Je ikulu Kuna kitengo Cha uokoaji aje nacho?

majukumu yote ya kusimamia uokoaji na usalama wa Mali eneo la tukio lipo chini ya ofisi ya waziri mkuu akiwa anapokea maagizo kutoka kwa boss wake(Raisi).

Naimani kama Raisi asinge pata mualiko huko Brazil kwenye mkutano wa G20. Naamini angekuwa wa kwanza kufika kariakoo lakini kwa bahati mbaya Mambo yameingiliana, tarehe yake ya kusafiri ndio likatokea janga..
Kwakua Raisi anawasaidizi basi wakagawana majukumu, na ndio kama tulivyoona mawaziri wakaweka kambi kariakoo na raisi akaenda Brazil kuwakilisha nchi.

Sasa vichwa panzi wengi( kwa utafiti wangu ni wanachama wa vyama pinzani) wamekuwa wakilitumia hili kama fimbo eti kwanini Raisi asafiri wakati nchi inamajanga ??

Narudia ukiona mtu anatoa lawama kama iyo jua anamatatizo ya afya ya akili..
Serikali aiendeshwi kama familia.

Pia wapo wanaolaumu kuwa waokoaji wapo slow na hawana vifaa, na kumtupia lawama Raisi wa nchi..

Kama utakuwa umepata bahati ya kufika kariakoo kwenye Lile jengo au hata kuliona tu kwenye mitandao au TV.. utaona kuwa Lile jengo halijadongoka asilimia zote 100.. ni kama limeshuka upande kuegemea ghorofa jirani ndomana Kuna nguzo bado azijadondo zimelalia upande tu,

Sasa waokoaji awawez tu kuchukua magreda na kuvuta vuta tu nguzo au kuchotachota tu vifusi hovyo..

Chini Kuna watu wapo hai na ndomana iliitajika umakini na taaluma ya uokozi na sio nguvu.

Simu zilizopigwa na wahanga wakiwa chini walikuwa wanaongea vizuri na kusema wapo kumi kwa sehemu moja, hii maana yake awajabanwa sana huko chini hivyo shida inayo wakumba ni hewa na maji.

Ndio maana waokoaji wakaanza kutoboa matundu kupitisha oxygen kwanza Kisha wakiwa wanaendelea kufukua kwa uangalifu ili vifusi vya juu visije kuwaangukia wahanga na kupoteza maisha..

Hivyo basi kwa mantiki hiyo matumizi ya kutumia nguvu au kufukua kwa pupa yahakuitajika.

Tungoje taarifa ya chanzo Cha ajali hapo ndio tutajua nani wakulaumiwa kwenye janga hili..

Soma Pia:

Huu ni mtazamo wangu kama raia, Binafsi sio mwanasiasa sijihisishi na siasa Wala siijui siasa

ACHENI KULETA SIASA KWENYE MAAFA
Pamoja na mtazamo wako kama raia, ninaomba nikujulishe kuwa, Tanganyika hatuna Rais!
Miaka 6 ya JPM hakuwahi kwenda nje ya bara la Africa, akitupigania na kutukomboa na umaskini.
Huyu bi ni kiruka na mguu na njia!
CCM ni wasaniii, huyu bibi kaongea na watanganyika, akiwa mafichoni, baada ya mitandao kumuanika Kila Kona, mwisho anasema anaongea na wananchi?
Alikuwa anaongelea akiwa wapi?
Hata mume wake,ameshindwa kusikika akitoa pole au kutembelea wahanga hapo kariakoo?
Anamtuma waziri mkuu ambaye sio chaguo la wapiga kura?
Nchi imekuwa ngumu kama mawe?
 
Huko mnako kimbilia kwa kisingizio cha mkutano wenyewe wakipata matatizo kwenye inchi zao huwa hawasafiri kabisaa wanavunja safari zao lakini huku labda afe shemeji yake labda ........kuwa muungwana kunaendana na matendo...........ukisema huyu ni mtu wa watu inamaanisha mtu anayeguswa na kujari kihisia kwani kule kulikuwa na nini cha ajabu kuzidi raia wake ambao ni swala la muda tu mfupi atawarudia ili wampe kura na neno lake kubwa utasikia mama atosha.........je kweli unatoshea ?? Wakati mwingine unaweza kujiona unajua ila huna washauri wazuri.........kufa watu zaidi ya 13 hii inatosha kutangaza maombolezo kwa taifa maana aliyekufa ni mtu mzima tena mlipa kodi .........usipende kuongea ongea ujinga ukadhani ukiwa raisi uwezi kufanya chenga .........tafakari wale waliokufa sio wapiga winga wengine ni watu na familia zao wanaeshimu hadi hizo mamlaka zinazowachukulia poa
 
Bora wewe umeandikamo kaukweli, majitu ni kulaumu kila kitu. Wanataka raisi asifanye kazi nyingine yoyote iwe ni kariakoo kariakoo tu muda wote.

Ati hata kusafiri asisafiri kisa "kariakoo"
 
Back
Top Bottom