Maafisa Utumishi wagoma kuruhusu Mabenki kutoa mikopo ya watumishi. Yawezekana ni hujuma?

Maafisa Utumishi wagoma kuruhusu Mabenki kutoa mikopo ya watumishi. Yawezekana ni hujuma?

Sasa mkuu utajuaje mtumishi anadaiwa au laa pasipo ku access mfumo wa HESLB?
Ina maana siku hizi salary slips hazitolewi?! Ina maana siku hizi benki hazitumii salary slips ku-evaluate kiasi cha mkopo ambacho mtumishi anastahili?! Au hizo salary slips hazitaji kiwango cha mkopo wa HELSB?

Kama ndivyo, basi TZ watu mmeendelea kweli kweli manake kila kitu, ni mambo ya digijitali!!
 
Sasa hivi malipo mengi ya online yanasumbua, hadi malipo ya maji!!!!
Possible Serikali inahujumu wachukue hatua mapema.Haiwezekeni nchi nzima Mabenki yote.Walalamike kuhusu mfumo wa Lwason kushindwa kuwahudumia Wateja wao.Hapo Kuna upigaji au kunajambo wanataka kuficha/Upigaji.
 
Ina maana siku hizi salary slips hazitolewi?! Ina maana siku hizi benki hazitumii salary slips ku-evaluate kiasi cha mkopo ambacho mtumishi anastahili?! Au hizo salary slips hazitaji kiwango cha mkopo wa HELSB?

Kama ndivyo, basi TZ watu mmeendelea kweli kweli manake kila kitu, ni mambo ya digijitali!!
 
Vumilieni. Sasa hivi Mfumo wa Lawson unatumika ku upload OPRAS za watumishi wanaopanda madaraja. Zoezi hilo linatakiwa kukamilika kabla ya tarehe 12/6/2021. Baada ya hapo mambo yatakuwa mswano!!inaweza kuwa
Vumilieni. Sasa hivi Mfumo wa Lawson unatumika ku upload OPRAS za watumishi wanaopanda madaraja. Zoezi hilo linatakiwa kukamilika kabla ya tarehe 12/6/2021. Baada ya hapo mambo yatakuwa mswano!!
I
Inawezekana kukawa na ukweli ila cha muhimu ni taarifa toka kwenye chanzo sahihi na kwa wakati sahihi. Watu wako stranded
 
Makato ya watumishi HESLB yanarekebishwa! Sasa kama hujui kama kuna muingiliano hapo na hela mtu anayotaka kukopa sina cha kukusaidia.
Vipi kwa wale wasio na mikopo ya HESLB,mbona na wao wamekwamishwa?
 
Wewe ndio nimekuelewa.
Swali:
Madaraja mapya yataanza kusomeka end of june?
There is that possibility. Lakini kiukweli Serikali haipandishagi madaraja watumishi wote mwezi mmoja. Hivyo basi, kuna uwezekano wakaanza kupanda June wakaenda hadi Oktoba hivi. Ila ujue Mimi sio "Msemaji" ingawa nami nategemea kupanda!!!!
 
There is that possibility. Lakini kiukweli Serikali haipandishagi madaraja watumishi wote mwezi mmoja. Hivyo basi, kuna uwezekano wakaanza kupanda June wakaenda hadi Oktoba hivi. Ila ujue Mimi sio "Msemaji" ingawa nami nategemea kupanda!!!!
Hahahah umejimwambafy kisaikolojia mkuu
 
Mafisadi utumishi wangeandika tangazo kuhusu issue hiyo na kueleza sababu ili watumishi wasitishe kwa muda kuomba hiyo mikopo na kubandika kazini( km. H/w )
 
Vumilieni. Sasa hivi Mfumo wa Lawson unatumika ku upload OPRAS za watumishi wanaopanda madaraja. Zoezi hilo linatakiwa kukamilika kabla ya tarehe 12/6/2021. Baada ya hapo mambo yatakuwa mswano!!
Kwamba mfumo wa Lawson hauna uwezo wa kupokea multi task? basi tuna kazi kubwa sana kama taifa,tumevamia mambo ya kizungu bila uwezo
 
Kwamba mfumo wa Lawson hauna uwezo wa kupokea multi task? basi tuna kazi kubwa sana kama taifa,tumevamia mambo ya kizungu bila uwezo
Na mimi nimeshangaa.

Hafu izo Opras si wanazipandisha ma HR au? Maana HR wa hapa mzigoni na yeye yupo gizani kama mimi tu.
 
Watumishi wengi wanadaiwa na HESLB. Kwasasa HESLB wamesitisha mfumo wao wa kucheck statement. Na hicho ndo kikwazo.
Heslb wanadai hawajapata muongozo wa kutoa statements inaonekana retention fee ilikua ni upigaji wamechukia balaa
 
Back
Top Bottom