Maafisa Utumishi wanaleta utani juu ya Watumishi kupanda madaraja, angalia kinachoendelea baadhi ya Halmashauri

Maafisa Utumishi wanaleta utani juu ya Watumishi kupanda madaraja, angalia kinachoendelea baadhi ya Halmashauri

Mnyerede

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2016
Posts
211
Reaction score
231
Wanabodi, salaam sana kama ni kweli kuwa hii ndio idadi ya watumishi ambao wameshaingizwa kwenye mfumo mpaka sasa hivi, basi nchi hii tunahitaji maombezi makubwa, pia inaonyesha kuwa baadhi ya halmashauri hawajatuma kabisa hata idadi ya watumishi wanaostahili kupanda. Yaani pamoja na mikwala yote ile ya Waziri wa utumishi Mohamed Mchengelwa bado kuna watu wanambipu.

My take, tusubiri vilio vikubwa toka kwa watumishi waliotegemea kuona mabadiliko kwenye mishahara yao mwezi huu wa sita toka halmashauri mbalimbali nchini.

Screenshot_20210611-220907.jpg
 
Prof. Musa Assad alikuwa yuko sahihi kwa 100% kwenye ile kauli yake ya hivi karibuni, ingawa kuna baadhi ya wakurupukaji walimpinga.

Huku kwetu tumetakiwa kuzisalimisha opras za kuanzia 2015! Hii Nchi ina maajabu mpaka basi. Hata hatuelewi zile nyingine tulizojaza kuanzia mwaka huo wamezipeleka kwa Mabeberu, au walizichoma moto!
 
SINGIDA DC pia mkuu watendaji kata na watendaji wa vijiji hawajapandishwa madaraja na Afisa utumishi anajibu nyodo ANASEMA ye hadili na watendaji wa vijiji na wa kata kwani muundo wao wa utumishi Ni tofauti na watumishi wengine nchini
 
Prof. Musa Assad alikuwa yuko sahihi kwa 100% kwenye ile kauli yake ya hivi karibuni, ingawa kuna baadhi ya wakurupukaji walimpinga.

Huku kwetu tumetakiwa kuzisalimisha opras za kuanzia 2015! Hii Nchi ina maajabu mpaka basi. Hata hatuelewi zile nyingine tulizojaza kuanzia mwaka huo wamezipeleka kwa Mabeberu, au walizichoma moto!
Maafisa utumishi walio wengi CAPACITY NDOGO
 
Prof. Musa Assad alikuwa yuko sahihi kwa 100% kwenye ile kauli yake ya hivi karibuni, ingawa kuna baadhi ya wakurupukaji walimpinga.

Huku kwetu tumetakiwa kuzisalimisha opras za kuanzia 2015! Hii Nchi ina maajabu mpaka basi. Hata hatuelewi zile nyingine tulizojaza kuanzia mwaka huo wamezipeleka kwa Mabeberu, au walizichoma moto!
Hakika mkuu
 
SINGIDA DC pia mkuu watendaji kata na watendaji wa vijiji hawajapandishwa madaraja na Afisa utumishi anajibu nyodo ANASEMA ye hadili na watendaji wa vijiji na wa kata kwani muundo wao wa utumishi Ni tofauti na watumishi wengine nchini
Duh shida sana hii nchi
 
Prof. Musa Assad alikuwa yuko sahihi kwa 100% kwenye ile kauli yake ya hivi karibuni, ingawa kuna baadhi ya wakurupukaji walimpinga.

Huku kwetu tumetakiwa kuzisalimisha opras za kuanzia 2015! Hii Nchi ina maajabu mpaka basi. Hata hatuelewi zile nyingine tulizojaza kuanzia mwaka huo wamezipeleka kwa Mabeberu, au walizichoma moto!
Inaghafirisha sana...
This time hatuwaachi.. Ama zao ama zetu. Hatabaki mtu ofisini.
 
Maafisa utumishi wengi ni watu wa ajabu sana basi tu.
Hivi kwa nini waziri asilifanyie kazi hili la maafisa utumishi, maana malalamiko dhidi yao yamekuwa mengi sana......yaani watumishi sasa wategemee hisani ya maafisa utumishi kuweza ku-survive kwenye utumishi wao, hii haiwezi kuwa sawa....tutakuja kutengeneza migogoro mikubwa sana.
 
Kuna wakat haya mambo yanaenda kwa matamko tu ndo maana yaweka baadh ya watendaji dilema
 
Tarehe ya leo ilikuwa tarehe ya mwisho kuingizwa kwenye mfumo.
Baada ya muda kufika,wale Maafisa Utumishi watakaoshindwa kukamilisha kuwaingiza watumishi wa Halmashauri zao,ifikapo Jumatatu tarehe 14/6 wawe wamesimamishwa kazi na Wakurugenzi wao.
 
Back
Top Bottom