BRN
JF-Expert Member
- Nov 18, 2013
- 5,188
- 6,633
Moja ya kazi ambazo zinatakiwa kufanywa kwa weledi na kuheshimu sheria,kanuni na miongozo ni uafisa utumishi.
Hapo ndio chanzo cha kuwaona wanajidai na miungu watu ila kimsingi ukifuatilia ni majungu na kutokuelewa kwa kanuni kwa watumishi walio wengi.
Hapo ndio chanzo cha kuwaona wanajidai na miungu watu ila kimsingi ukifuatilia ni majungu na kutokuelewa kwa kanuni kwa watumishi walio wengi.