Maafisa utumishi walio wengi CAPACITY NDOGOProf. Musa Assad alikuwa yuko sahihi kwa 100% kwenye ile kauli yake ya hivi karibuni, ingawa kuna baadhi ya wakurupukaji walimpinga.
Huku kwetu tumetakiwa kuzisalimisha opras za kuanzia 2015! Hii Nchi ina maajabu mpaka basi. Hata hatuelewi zile nyingine tulizojaza kuanzia mwaka huo wamezipeleka kwa Mabeberu, au walizichoma moto!
Hakika mkuuProf. Musa Assad alikuwa yuko sahihi kwa 100% kwenye ile kauli yake ya hivi karibuni, ingawa kuna baadhi ya wakurupukaji walimpinga.
Huku kwetu tumetakiwa kuzisalimisha opras za kuanzia 2015! Hii Nchi ina maajabu mpaka basi. Hata hatuelewi zile nyingine tulizojaza kuanzia mwaka huo wamezipeleka kwa Mabeberu, au walizichoma moto!
Duh shida sana hii nchiSINGIDA DC pia mkuu watendaji kata na watendaji wa vijiji hawajapandishwa madaraja na Afisa utumishi anajibu nyodo ANASEMA ye hadili na watendaji wa vijiji na wa kata kwani muundo wao wa utumishi Ni tofauti na watumishi wengine nchini
Anatakiwa ayasimamie maagizo yake kikamilifu hiyo ndiyo sifa ya kiongoziMCHENGERWA HAJAONYESHA MAKUCHA BADO MPAKA MTU ATOLEWE MFANO
Maafisa utumishi walio wengi wanataka kuabudiwa SanaAnatakiwa ayasimamie maagizo yake kikamilifu hiyo ndiyo sifa ya kiongozi
Unataka source ipi mkuu? Maafisa utumishi walio wengi wazembe sanaaaa au wabinafsi sanaaaSource ya hilo bandiko lako?maana Usije ukatugombanisha na maafisa utumishi wetu!
Mkuu nitumie PM hizo attachment zingine hazifungukiAnatakiwa ayasimamie maagizo yake kikamilifu hiyo ndiyo sifa ya kiongozi
Inaghafirisha sana...Prof. Musa Assad alikuwa yuko sahihi kwa 100% kwenye ile kauli yake ya hivi karibuni, ingawa kuna baadhi ya wakurupukaji walimpinga.
Huku kwetu tumetakiwa kuzisalimisha opras za kuanzia 2015! Hii Nchi ina maajabu mpaka basi. Hata hatuelewi zile nyingine tulizojaza kuanzia mwaka huo wamezipeleka kwa Mabeberu, au walizichoma moto!
Au ndo wale wale products za Yohana University, ambao wengi wao ni' wapandisha mabega' bila tija...... kazi iendelee.Unataka source ipi mkuu? Maafisa utumishi walio wengi wazembe sanaaaa au wabinafsi sanaaa
Hivi kwa nini waziri asilifanyie kazi hili la maafisa utumishi, maana malalamiko dhidi yao yamekuwa mengi sana......yaani watumishi sasa wategemee hisani ya maafisa utumishi kuweza ku-survive kwenye utumishi wao, hii haiwezi kuwa sawa....tutakuja kutengeneza migogoro mikubwa sana.Maafisa utumishi wengi ni watu wa ajabu sana basi tu.