Maafisa wa kutuliza ghasia waanza kuwashughulikia wanafunzi wanaoandamana kuwatetea Hamas, vyuo navyo vyaanza kuwatimua

Maafisa wa kutuliza ghasia waanza kuwashughulikia wanafunzi wanaoandamana kuwatetea Hamas, vyuo navyo vyaanza kuwatimua

Vipi Mito ya Pombe Peponi kulewa tu na Beautful eyed Houries mabikira weupe hadi Marrow bones unaziona wapo kama unapotizama negative ya film, bila kusahau ushoga maana kila anayetamani kitu anapewa Bakhesa lazima akugeuze shoga wake, Mudy na Allah wamewadanganya sana alafu Punda chotara (Mule) ndio watawapaisha kwenye Jenah Firdaus
🤣
 
Wiki hii tumejionea baadhi ya wanavyuo wakijaribu kukusanyika kuwaatetea Hamas (ni wanafunzi hao hao wengi walikuwa na furaha siku ya October 7 Hamas walipoivamia Israel).

Maafisa wa polisi wakiwa na vifaa vya kutuliza ghasia (virungu, tasers, bakora) wanaendelea kusafisha kambi zilizowekwa vyuoni kutetea Hamas.

View attachment 2976113


View attachment 2976114


View attachment 2976115

huyu ni Profesaa nahisi alidhani labda sheria hazimuhusu, kakutwa kwenye maandamano, maafisa wametekeleza wajibu wao kiukamilifu.

View attachment 2976110
Wee Kafir acha uzushi, hao.wanatetea haki
 

Attachments

  • IMG_7240.jpeg
    IMG_7240.jpeg
    220.5 KB · Views: 3
  • IMG_7239.jpeg
    IMG_7239.jpeg
    116.9 KB · Views: 3
  • IMG_7238.jpeg
    IMG_7238.jpeg
    139 KB · Views: 3
  • IMG_6886.jpeg
    IMG_6886.jpeg
    229.1 KB · Views: 3
Usipotoshe ukweli. Hawaandamani kuiunga mkono Hamas bali wanaandamani kupinga mauaji ya raia wasiokuwa na hatia wa Palestina.
 
Kama wanasupport ugaidi wa wapalestina wadhibitiwe mapema kabisa. Wanaleta vurugu vyuoni badala wasome
Maandamano hayafai katika hali yoyote. Ila tunaangalia na kushangazwa na undumilakuwili wa wanaojiita baba wa demokrasia. Nyinyi si ndio mnawatumia kama kiigizo katika demokrasia?

Hawa watu hawatakiwi kutulecture chochote kuhusu demokrasia na haki za binadamu. Na sijui huwa mnadanganywa nao na kipi!

Mauaji ya kimbari ya Gaza yanawafungua macho baadhi ya watu juu ya unafiki na udanganyifu wa demokrasia na kile kinachoitwa haki za binadamu.
 
Nimecheka sawa hawa walokole wa Kigamboni uwa wanaamini Israel watawapeleka mbinguni kanisani kwa wameweka bendera za Israel😀 kama huyu mlokole yupo Cheka Kigambomi hataki raia wa Marekani waandamane kumpinga bwana wao aendelee kufanya mauaji ya watoto,
[/QUOTE

Ile mahakama ulikuwa unasema South Africa inawahukumu Israel iliishia wapi? Naona leo mwarabu wa Vingunguti unamcheka Mlokole wa Kigamboni kweli dunia inazunguka..... 🤣 @chizi maarifa njoo umwone ndugu yako huku.
 
Nimecheka sawa hawa walokole wa Kigamboni uwa wanaamini Israel watawapeleka mbinguni kanisani kwa wameweka bendera za Israel😀 kama huyu mlokole yupo Cheka Kigambomi hataki raia wa Marekani waandamane kumpinga bwana wao aendelee kufanya mauaji ya watoto,

Ile mahakama ulikuwa unasema South Africa inawahukumu Israel iliishia wapi? Naona leo mwarabu wa Vingunguti unamcheka Mlokole wa Kigamboni kweli dunia inazunguka..... 🤣 Chizi Maarifa njoo umwone ndugu yako huku.
 
wanaoandamana Israel hawafikii hata asilimia 0.1 ya waisrael, ni kundi dogo sana, Hata vita ya Uganda kuna watanzania wapo wenye akili kama zako waliipinga
Huna hata unachokijua endelea kwenda kukanyaga mafuta kwa mwamposa uwe tajiri
 
Ile mahakama ulikuwa unasema South Africa inawahukumu Israel iliishia wapi? Naona leo mwarabu wa Vingunguti unamcheka Mlokole wa Kigamboni kweli dunia inazunguka..... 🤣 Chizi Maarifa njoo umwone ndugu yako huku.
Yani wewe kweli hujui kinachoendelea dunisni hujui israel analalamika kuhusu dunia kumgeuka, marekani kujiosha anawawekea vikwazo baadhi ya maafisa wa israel na israel imepata taarifa kwamba icc inaandaa arrest warrant kwa netanyahu na viongozi waliohusika na vita
 
Uhuru una mipaka. Hakuna uhuru uso na mipaka
Sasa wewe upo Uyole huko familia nzima mnaumwa UTI sungu unapinga maandamano ya raia wa Marekani daaah😁 yaani wewe mlokole una uchungu kuzidi Waisrael ambayo nao wanaandamana Tel Aviv na miji mingine hii dunia ina maajabu sana😀
 
Ha ha ha.... Haya masikhara haya. 🤣🤣🤣 So now jamaa wameacha kuua huko Gaza? Wakati Hamas wameua wanafunzi na kuteka tulishangilia tuendelee kushangilia na wanapofanya hivyo Israel.wewe ulikuwa unaleta takwimu humu idadi ya waisrael waliouawa. Sasa idadi ya wapalestine imefikia ngapi? Wacha tu wauane....

Mimi sina porojo wewe mlokole unaleta ushabiki mandazi mabwana zako huko hali tete 😀

View: https://x.com/qudsnen/status/1784550716763173000?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Yani wewe kweli hujui kinachoendelea dunisni hujui israel analalamika kuhusu dunia kumgeuka, marekani kujiosha anawawekea vikwazo baadhi ya maafisa wa israel na israel imepata taarifa kwamba icc inaandaa arrest warrant kwa netanyahu na viongozi waliohusika na vita

Wewe hujui kinachotokea kiuhalisia. Hayo si mapya kwa Israel. Labda ni dogo wa 2000s. Israel Marekani et al wanafanya kila kitu calculated. Hivyo vikwazo n.k ni maigizo tu kwenye media. Hayajaanza leo. Na Israel si unaona ambacho imekifanya Huko Palestine? Si tulisema Russia wataingilia. Wameingilia? Iran tulisema wataingilia wameingilia? Yamebaki malalamiko na nyuzi zile ambazo tulikuwa tunaanzisha sasa zimepoa. Jamaa wanachapa tu huko. Kilio kimegeuka wanaua watoto. So huko Palestine watu wazima wote wamekufa? Kila siku tunabadilisha chorus kwenye wimbo ule ule....
 
wanaoandamana Israel hawafikii hata asilimia 0.1 ya waisrael, ni kundi dogo sana, Hata vita ya Uganda kuna watanzania wapo wenye akili kama zako waliipinga
Hao hawapo Israel ni Wapalestina wanaoitetea Hamas huko nje walikopewa hifadhi.
Hiyo lugha ni Norway au Denmark hapo.
 
Sasa wewe upo Uyole huko familia nzima mnaumwa UTI sungu unapinga maandamano ya raia wa Marekani daaah😁 yaani wewe mlokole una uchungu kuzidi Waisrael ambayo nao wanaandamana Tel Avi na miji mingine hii dunia ina maajabu sana😀
Uyole ni wapi? Nipo Buguruni kwa Mnyamani hapa karibu na msikiti wa Kundecha. Wewe upo Vingunguti familia nzima inaumwa ukoma na utapiamlo unasubiri tende za ramadhani unashabikia mauaji ya israel yakigeuzwa kwa waarabu unaumia ustaadhi na ndizi zako kwenye kanzu ukitafuta wapi kuna ubwabwa. Sheikh ubwaba. BADO HAMJASEMA. MPAKA MSEME.
 
Wewe hujui kinachotokea kiuhalisia. Hayo si mapya kwa Israel. Labda ni dogo wa 2000s. Israel Marekani et al wanafanya kila kitu calculated. Hivyo vikwazo n.k ni maigizo tu kwenye media. Hayajaanza leo. Na Israel si unaona ambacho imekifanya Huko Palestine? Si tulisema Russia wataingilia. Wameingilia? Iran tulisema wataingilia wameingilia? Yamebaki malalamiko na nyuzi zile ambazo tulikuwa tunaanzisha sasa zimepoa. Jamaa wanachapa tu huko. Kilio kimegeuka wanaua watoto. So huko Palestine watu wazima wote wamekufa? Kila siku tunabadilisha chorus kwenye wimbo ule ule....
Uharo mtu bora hata usingeandika😀
 
Back
Top Bottom