Maafisa wa Luhansk wamesema kuwa vikosi vya Urusi vimeingia katika eneo la viwanda la Sievierodonetsk baada ya kuanzisha mashambulizi makubwa

Maafisa wa Luhansk wamesema kuwa vikosi vya Urusi vimeingia katika eneo la viwanda la Sievierodonetsk baada ya kuanzisha mashambulizi makubwa

EINSTEIN112

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2018
Posts
21,711
Reaction score
35,644
Akizungumza Jumanne, Meya wa Mji wa Luhansk, Serhiy Haidai amesema mapigano yanaendelea katika eneo la mashariki wakati ambapo vikosi vya Urusi vinajipanga upya baada ya kuongeza shinikizo na kusonga mbele kwenye miji miwili. Haidai amesema kiwanda cha kemikali cha Azot ndiyo pekee katika eneo la Sievierodonetsk ambacho kinadhibitiwa na vikosi vya Ukraine.
MATANGAZO YA MOJA KWA MOJA YA TV
burger.svg

Mapigano makali yaendelea mashariki mwa Ukraine​

Na Grace Kabogo| saa (0) nyuma



Ukraine-Krieg | Erneute russische Offensive in Luhansk


Maafisa wa Luhansk wamesema kuwa vikosi vya Urusi vimeingia katika eneo la viwanda la Sievierodonetsk baada ya kuanzisha mashambulizi makubwa.

Akizungumza Jumanne, Meya wa Mji wa Luhansk, Serhiy Haidai amesema mapigano yanaendelea katika eneo la mashariki wakati ambapo vikosi vya Urusi vinajipanga upya baada ya kuongeza shinikizo na kusonga mbele kwenye miji miwili. Haidai amesema kiwanda cha kemikali cha Azot ndiyo pekee katika eneo la Sievierodonetsk ambacho kinadhibitiwa na vikosi vya Ukraine.

Raia 300 wamejihifadhi Azot
Naibu Waziri Mkuu wa Ukraine, Iryna Vereshchuk amesema kuna takribani raia 300 waliojihifadhi katika kiwanda hicho. Jana Ukraine ilikiri kwamba imepoteza udhibiti katika kitongoji cha Metiolkine kilicho katika eneo na Sievierodonetsk.

Ama kwa upande mwingine, Urusi imesema Wamarekani waliokamatwa nchini Ukraine walikuwa ni mamluki waliowapiga risasi askari wa Urusi na hawafungamani na mkataba wa Geneva.

Shirika la RIA limeripoti hayo Jumanne likimnukuu msemaji wa Ikulu ya Urusi, Dmitry Peskov akisema Wamarekani hao wanapaswa kuwajibishwa kutokana na uhalifu walioufanya. Peskov amesema pia mchezaji wa mpira wa kikapu Mmarekani Brittney Griner, aliyekamatwa nchini Urusi tangu mwezi Februari, anakabiliwa na mashtaka ya jinai.

  • A Kremlin spokesperson claimed the Geneva Conventions for the protection of prisoners of war do not apply to two Americans captured in Ukraine, accusing them of being "involved in illegal activities."
 
Akizungumza Jumanne, Meya wa Mji wa Luhansk, Serhiy Haidai amesema mapigano yanaendelea katika eneo la mashariki wakati ambapo vikosi vya Urusi vinajipanga upya baada ya kuongeza shinikizo na kusonga mbele kwenye miji miwili. Haidai amesema kiwanda cha kemikali cha Azot ndiyo pekee katika eneo la Sievierodonetsk ambacho kinadhibitiwa na vikosi vya Ukraine.
MATANGAZO YA MOJA KWA MOJA YA TV
burger.svg

Mapigano makali yaendelea mashariki mwa Ukraine​

Na Grace Kabogo| saa (0) nyuma



Ukraine-Krieg | Erneute russische Offensive in Luhansk

Maafisa wa Luhansk wamesema kuwa vikosi vya Urusi vimeingia katika eneo la viwanda la Sievierodonetsk baada ya kuanzisha mashambulizi makubwa.
Akizungumza Jumanne, Meya wa Mji wa Luhansk, Serhiy Haidai amesema mapigano yanaendelea katika eneo la mashariki wakati ambapo vikosi vya Urusi vinajipanga upya baada ya kuongeza shinikizo na kusonga mbele kwenye miji miwili. Haidai amesema kiwanda cha kemikali cha Azot ndiyo pekee katika eneo la Sievierodonetsk ambacho kinadhibitiwa na vikosi vya Ukraine.

Raia 300 wamejihifadhi Azot​

Naibu Waziri Mkuu wa Ukraine, Iryna Vereshchuk amesema kuna takribani raia 300 waliojihifadhi katika kiwanda hicho. Jana Ukraine ilikiri kwamba imepoteza udhibiti katika kitongoji cha Metiolkine kilicho katika eneo na Sievierodonetsk.
Ama kwa upande mwingine, Urusi imesema Wamarekani waliokamatwa nchini Ukraine walikuwa ni mamluki waliowapiga risasi askari wa Urusi na hawafungamani na mkataba wa Geneva.
Shirika la RIA limeripoti hayo Jumanne likimnukuu msemaji wa Ikulu ya Urusi, Dmitry Peskov akisema Wamarekani hao wanapaswa kuwajibishwa kutokana na uhalifu walioufanya. Peskov amesema pia mchezaji wa mpira wa kikapu Mmarekani Brittney Griner, aliyekamatwa nchini Urusi tangu mwezi Februari, anakabiliwa na mashtaka ya jinai.
Aibu sana mwez wa pili huu ndio anafanikiwa kuingia hako kamji ,urusi inakwama WAP?
 
Chakula cha Urusi na Mbolea vyaondolewa kwenye vikwazo - EU [emoji36][emoji36][emoji36].

"Yeyote anayetaka kununua chakula cha Kirusi na mbolea anaweza kufanya hivyo kwa uhuru na bila hofu ya vikwazo", Mkuu wa Sera ya Kigeni wa Umoja wa Ulaya, Josep Borrell.
 
Belarusi imekusanya karibu askari elfu 4 karibu na mipaka ya Ukraine, Urusi linaweza kuhamisha askari wake haraka huko na kuandaa mapigano mpya, - msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Ukraine Motuzyanik[emoji845]
 
Back
Top Bottom