Maagizo ya machinga na Corona kupuuzwa nini chanzo? Ni kivuli cha Magufuli?

Maagizo ya machinga na Corona kupuuzwa nini chanzo? Ni kivuli cha Magufuli?

Serkali haijakuzuia kuvaa Barakoa, wala kufanya social distance ukiona mtu anapunguza distance sogea zaidi,.

Yaani swala la kuvaa barakoa nalo zitumike hela za kodi kuja kukuvalisha au kupiga na kuwekwa ndani.ACHA UJINGA

Chanjo ni hiari. Nenda uchanjwe hujazuiwa acha kutafuta mob ili iunge mkono kile sayansi imekuaminisha fanya.

Matamko ya Kiki si kipindi chake, unafukuza Chinga bila kuweka mazingira ambayo akafanyie wee KIONGOZI hazipo kichwani.
Wale waliodhani Mama ni mtu wa kiki WATULIE atakutumbua KWELI hatanii unamuona Mpole halafu umuna mu understimate, DED utapigaje raia hiyo ni sheria gani angewaeleka mahakamani, tunahubiri utawala wa Haki na Sheria halafu unakuwa na double standard kivipi?

Kuhusu kupima ni Dola 100 kapime COVID hujazuiwa.
Kama unataka Mass Testing kwa Serkali lipia gharama uone kama hatutapima.

Jikinge na Covid 19, fuata maelekezo, acha mbwembwe na siasa.
Swala la Takwimu ni dai la IMF ili itoe hela, kama unaona ni busara basi wapike data tule MKOPO ila utaulipa baadae.
Ogopa matumizi yasiyo lazima
 
Kuna haja serikali kutumia nguvu kidogo ili kufanya wananchi waelewe umuhimu wa kutii maagizo na kujikinga dhidi ya maambukizo ya Corona.
Hakuna kivuli cha Mwendazake wala nini; ni ujinga tu!
Nguvu tena badala ya kuonesha huo umuhimu wa kujikinga, huyo Rais mwenyewe kaanza juzi juzi tu kuvaa barakoa na wote walikuwa wanasema hakuna corona halafu leo badala ya kutoa elimu unawaza kutumika nguvu.
 
Tulishuhudia mkuu wa mkoa wa Dar Bw. Amos Makala alipoapishwa tu alitoka mbio mbio kwenda kutangaza oparation ya kuondoa machinga na ombaomba wote ili jiji lirudi kwenye hadhi yake ya usafi, lakini mpaka leo agizo hilo halijatekelezwa.

Makala alifanya mpaka kikao na wakuu wa wilaya, madiwani na wenyeviti wa mitaa kuwapa maagizo ili kuwezesha kuwatoa wamachinga, mpaka magari yalianza kupita mitaani yakitangaza wamachinga wote waondoke lakini mpaka leo kimya shughuli zinaendelea kama kawaida.

Haikupita muda kamati ya Corona iliyoundwa na rais Samia ikaja na mapendekezo ya kuwataka wanachi wote kuvaa barakoa na kufanya social distance, pia walimtaka waziri wa afya atangaze idadi ya wagonjwa wa corona wanaopatikana kila siku ,pia wiki mbili baadae chama cha madaktari Tanzania kikatoa tamko la kuwataka watanzania kuepuka mikusanyiko, kunawa mikono na kuvaa barakoa muda wote.

Freeman Mbowe na Chadema pia mapema kabisa alitangaza kuwa yeye amechanjwa na kuwataka watanzania kuvaa barakoa na kujiandaa kupokea chanjo, maagizo yote hayo yamepuuzwa na wananchi mpaka sasa.

Pita sabasaba, kwenye mwendokasi, Kariakoo wananchi wanaendelea na maisha yao kama kawaida kana kwamba kamati ya Corona na chama cha madaktari hawajatoa tamko lolote!

Chanzo cha maagizo haya kupuuzwa nini? Je, ni Kauli za Magufuli bado zinaendelea kuishi kwenye ubongo wa watu?

Baadhi ya wananchi wamehojiwa kuhusu maagizo hayo wamesema maagizo hayo hayana tija yoyote zaidi ya kutafuta namna ya kuwatia hofu watu.
Inabidi tuwekeze kwenye damage control na elimu maana misinformation ya CIBID19 na vaccines aliyoiacha Mwendazake na akina Askofu Gwajima imeturudisha kwenye stone age.

Watanzania watakufa kwa ukosefu wa elimu. Yaani chanjo za polio, ndui, surua, homa ya ini tunazitumia miaka zaidi ya 50 na zinatoka viwanda hivyo hivyo. Kwa nini wasituue siku zote waje wasubiri kwenye COVID 19.

Hebu tuweke conspiracy theories pembeni tuwasikie wataalamu wa tiba watuongoze
 
Wewe edwayne unataka wamachinga watolewe mjini ukiwa unamaanisha nini haswa?




Rais Samia Suluhu Hassan piga kazi mama na Mungu akutunze







Rais John Pombe Joseph Magufuli endelea kupumzika salama kipenzi chetu
Kwani hamna utaratibu wa kukaa masokoni.. Watu hatuwezi tembea..
 
TZ iko salama. Maisha ni kumtegemea Mungu na si Mzungu.
 
Rais SSH amewajengea hofu viongozi wa mikoa na wilaya baada ya kuwatumbua DC na mkurugenzi wake pale Morogoro mjini. Mama anajipendekeza kwa machinga na bodaboda ili 2025 wampigie debe.

Na kuhusu korona mzimu wa Magufuli juu ya kuhimiza watu watumie njia za kishirikina za kujifukiza bado upo. Na kwa kuwa watanzania wengi ni wajinga na ni washirikina itakuwa ngumu kuchukua tahadhari.

Labda mama atumie mbinu ya Durtete, mtu asiyetaka kuvaa barakoa na chanjo jela.
Usikute ww ndio mjinga ....
 
Tulishuhudia mkuu wa mkoa wa Dar Bw. Amos Makala alipoapishwa tu alitoka mbio mbio kwenda kutangaza oparation ya kuondoa machinga na ombaomba wote ili jiji lirudi kwenye hadhi yake ya usafi, lakini mpaka leo agizo hilo halijatekelezwa.

Makala alifanya mpaka kikao na wakuu wa wilaya, madiwani na wenyeviti wa mitaa kuwapa maagizo ili kuwezesha kuwatoa wamachinga, mpaka magari yalianza kupita mitaani yakitangaza wamachinga wote waondoke lakini mpaka leo kimya shughuli zinaendelea kama kawaida.

Haikupita muda kamati ya Corona iliyoundwa na rais Samia ikaja na mapendekezo ya kuwataka wanachi wote kuvaa barakoa na kufanya social distance, pia walimtaka waziri wa afya atangaze idadi ya wagonjwa wa corona wanaopatikana kila siku ,pia wiki mbili baadae chama cha madaktari Tanzania kikatoa tamko la kuwataka watanzania kuepuka mikusanyiko, kunawa mikono na kuvaa barakoa muda wote.

Freeman Mbowe na Chadema pia mapema kabisa alitangaza kuwa yeye amechanjwa na kuwataka watanzania kuvaa barakoa na kujiandaa kupokea chanjo, maagizo yote hayo yamepuuzwa na wananchi mpaka sasa.

Pita sabasaba, kwenye mwendokasi, Kariakoo wananchi wanaendelea na maisha yao kama kawaida kana kwamba kamati ya Corona na chama cha madaktari hawajatoa tamko lolote!

Chanzo cha maagizo haya kupuuzwa nini? Je, ni Kauli za Magufuli bado zinaendelea kuishi kwenye ubongo wa watu?

Baadhi ya wananchi wamehojiwa kuhusu maagizo hayo wamesema maagizo hayo hayana tija yoyote zaidi ya kutafuta namna ya kuwatia hofu watu.
Ndo kaondoka harud tena tafuteni namna nyingine, shubaaamiiit!!
 
  • Thanks
Reactions: OTG
Wewe edwayne unataka wamachinga watolewe mjini ukiwa unamaanisha nini haswa?




Rais Samia Suluhu Hassan piga kazi mama na Mungu akutunze







Rais John Pombe Joseph Magufuli endelea kupumzika salama kipenzi chetu

Ndo kashaondoka kafutika kweny uso wa dunia kila mtu atafutika kweny uso wa dunia. So tudili na walio hai tu wafu hawana msaada wowote!!
 
Inabidi tuwekeze kwenye damage control na elimu maana misinformation ya CIBID19 na vaccines aliyoiacha Mwendazake na akina Askofu Gwajima imeturudisha kwenye stone age.

Watanzania watakufa kwa ukosefu wa elimu. Yaani chanjo za polio, ndui, surua, homa ya ini tunazitumia miaka zaidi ya 50 na zinatoka viwanda hivyo hivyo. Kwa nini wasituue siku zote waje wasubiri kwenye COVID 19.

Hebu tuweke conspiracy theories pembeni tuwasikie wataalamu wa tiba watuongoze
Tatizo hata hao wataalamu wetu wenyewe ni watu wa kukaririshwa tu, kuna siku nilikuwa namsikiliza Doctor wa muhimbili alikuwa anahojiwa yani yeye anaona kabisa kuwa hizi chanjo za corona ina shida mahali kuhusiana na huku kugandisha damu na anaona kuwa ni kitu ambacho inafaa tuelezwe ila ndio hivyo tena wenye jukumu hilo wao wanakomaa kusema chanjo hazina shida.
 
Rais SSH amewajengea hofu viongozi wa mikoa na wilaya baada ya kuwatumbua DC na mkurugenzi wake pale Morogoro mjini. Mama anajipendekeza kwa machinga na bodaboda ili 2025 wampigie debe.

Na kuhusu korona mzimu wa Magufuli juu ya kuhimiza watu watumie njia za kishirikina za kujifukiza bado upo. Na kwa kuwa watanzania wengi ni wajinga na ni washirikina itakuwa ngumu kuchukua tahadhari.

Labda mama atumie mbinu ya Durtete, mtu asiyetaka kuvaa barakoa na chanjo jela.

Serkali haijakuzuia kuvaa Barakoa, wala kufanya social distance ukiona mtu anapunguza distance sogea zaidi,.

Yaani swala la kuvaa barakoa nalo zitumike hela za kodi kuja kukuvalisha au kupiga na kuwekwa ndani.ACHA UJINGA

Chanjo ni hiari. Nenda uchanjwe hujazuiwa acha kutafuta mob ili iunge mkono kile sayansi imekuaminisha fanya.

Matamko ya Kiki si kipindi chake, unafukuza Chinga bila kuweka mazingira ambayo akafanyie wee KIONGOZI hazipo kichwani.
Wale waliodhani Mama ni mtu wa kiki WATULIE atakutumbua KWELI hatanii unamuona Mpole halafu umuna mu understimate, DED utapigaje raia hiyo ni sheria gani angewaeleka mahakamani, tunahubiri utawala wa Haki na Sheria halafu unakuwa na double standard kivipi?

Kuhusu kupima ni Dola 100 kapime COVID hujazuiwa.
Kama unataka Mass Testing kwa Serkali lipia gharama uone kama hatutapima.

Jikinge na Covid 19, fuata maelekezo, acha mbwembwe na siasa.
Swala la Takwimu ni dai la IMF ili itoe hela, kama unaona ni busara basi wapike data tule MKOPO ila utaulipa baadae.
Ogopa matumizi yasiyo lazima
Waliodhani mama atakimbizwa mbio na presha za mabeberu kutuvalisha barakoa na kutupima pima pima pima na kututishia kwa takwimu zitokanazo na vipimo batili vya corona watakuwa wamekosea sana!! Waliodhani mama atawageuka wamachinga na kuwafanya kama raia wa daraja la chini watakuwa wamekoseà sana!! Mahesabu ya mama ni makali!! Kuhusu corona tunaendelea na tahadhari kwa mujibu wa maelekezo ya wataalamu bila shinikizo la nje!! Kwanza tuko vizuri kwa kuwa tulimtanguliza Mungu! Watanzania wako salama! Vinginevyo wanaokesha wakiitafuta corona hata kwa tochi wangeshapiga makelele sana Hilo wimbi la tatu liishie huko huko walikoiendekeza corona! Mipaka ya Tanzania yote angani, ardhini na majini inalindwa kwa damu ya Yesu kutokana na maombi ya watanzania!! Wanaoitakia mabaya nchi yetu watasubiri sana!! Waliotabiri miili kuokotwa barabarani saa hii wako kimyaa utafikiri hawakuwahi kusema hayo.
Kama watanzania tusipoweza kumshukuru Mungu kila siku kwa alivyotuponya na kutukinga na corona tutakuwa watu wa ajabu sana!!!
 
Waliodhani mama atakimbizwa mbio na presha za mabeberu kutuvalisha barakoa na kutupima pima pima pima na kututishia kwa takwimu zitokanazo na vipimo batili vya corona watakuwa wamekosea sana!! Waliodhani mama atawageuka wamachinga na kuwafanya kama raia wa daraja la chini watakuwa wamekoseà sana!! Mahesabu ya mama ni makali!! Kuhusu corona tunaendelea na tahadhari kwa mujibu wa maelekezo ya wataalamu bila shinikizo la nje!! Kwanza tuko vizuri kwa kuwa tulimtanguliza Mungu! Watanzania wako salama! Vinginevyo wanaokesha wakiitafuta corona hata kwa tochi wangeshapiga makelele sana Hilo wimbi la tatu liishie huko huko walikoiendekeza corona! Mipaka ya Tanzania yote angani, ardhini na majini inalindwa kwa damu ya Yesu kutokana na maombi ya watanzania!! Wanaoitakia mabaya nchi yetu watasubiri sana!! Waliotabiri miili kuokotwa barabarani saa hii wako kimyaa utafikiri hawakuwahi kusema hayo.
Kama watanzania tusipoweza kumshukuru Mungu kila siku kwa alivyotuponya na kutukinga na corona tutakuwa watu wa ajabu sana!!!
Hata aliyeyuombea miili kukotwa barabarani.
Ame DIVORCE kwa mmewe Bill Gate. Tusimpangie Mungu
 
Rais SSH amewajengea hofu viongozi wa mikoa na wilaya baada ya kuwatumbua DC na mkurugenzi wake pale Morogoro mjini. Mama anajipendekeza kwa machinga na bodaboda ili 2025 wampigie debe.

Na kuhusu korona mzimu wa Magufuli juu ya kuhimiza watu watumie njia za kishirikina za kujifukiza bado upo. Na kwa kuwa watanzania wengi ni wajinga na ni washirikina itakuwa ngumu kuchukua tahadhari.

Labda mama atumie mbinu ya Durtete, mtu asiyetaka kuvaa barakoa na chanjo jela.
Mkiwa hapa JF mnajiona nyie sio wa Tz na ni werevu sana!!

Lakini ukweli wewe mwenyewe unaujua kuwa si lolote ni ujuaji tu.
Kwamba Watanzania ni wajinga na wanapenda ushirikina!!

Magufuri aliliona hili kuhusu corona, kwa hali ya Watanzania na mazingira yetu, kupambana nao kwa mbinu walizoshauri WHO ni ngumu sana.

Mbinu za Magufuri zitakubalika na kutambulika kimataifa ni swala la muda tu.
 
Tulishuhudia mkuu wa mkoa wa Dar Bw. Amos Makala alipoapishwa tu alitoka mbio mbio kwenda kutangaza oparation ya kuondoa machinga na ombaomba wote ili jiji lirudi kwenye hadhi yake ya usafi, lakini mpaka leo agizo hilo halijatekelezwa.

Makala alifanya mpaka kikao na wakuu wa wilaya, madiwani na wenyeviti wa mitaa kuwapa maagizo ili kuwezesha kuwatoa wamachinga, mpaka magari yalianza kupita mitaani yakitangaza wamachinga wote waondoke lakini mpaka leo kimya shughuli zinaendelea kama kawaida.

Haikupita muda kamati ya Corona iliyoundwa na rais Samia ikaja na mapendekezo ya kuwataka wanachi wote kuvaa barakoa na kufanya social distance, pia walimtaka waziri wa afya atangaze idadi ya wagonjwa wa corona wanaopatikana kila siku ,pia wiki mbili baadae chama cha madaktari Tanzania kikatoa tamko la kuwataka watanzania kuepuka mikusanyiko, kunawa mikono na kuvaa barakoa muda wote.

Freeman Mbowe na Chadema pia mapema kabisa alitangaza kuwa yeye amechanjwa na kuwataka watanzania kuvaa barakoa na kujiandaa kupokea chanjo, maagizo yote hayo yamepuuzwa na wananchi mpaka sasa.

Pita sabasaba, kwenye mwendokasi, Kariakoo wananchi wanaendelea na maisha yao kama kawaida kana kwamba kamati ya Corona na chama cha madaktari hawajatoa tamko lolote!

Chanzo cha maagizo haya kupuuzwa nini? Je, ni Kauli za Magufuli bado zinaendelea kuishi kwenye ubongo wa watu?

Baadhi ya wananchi wamehojiwa kuhusu maagizo hayo wamesema maagizo hayo hayana tija yoyote zaidi ya kutafuta namna ya kuwatia hofu watu.
Watanzania tunamwamini sana JPM.
 
Tuendelee kujifukiza, social distancing,vaa barakoa, sanitizer na kupima mara kwa mara

au nasema uongo ndugu zangu?
 
Rais SSH amewajengea hofu viongozi wa mikoa na wilaya baada ya kuwatumbua DC na mkurugenzi wake pale Morogoro mjini. Mama anajipendekeza kwa machinga na bodaboda ili 2025 wampigie debe.

Na kuhusu korona mzimu wa Magufuli juu ya kuhimiza watu watumie njia za kishirikina za kujifukiza bado upo. Na kwa kuwa watanzania wengi ni wajinga na ni washirikina itakuwa ngumu kuchukua tahadhari.

Labda mama atumie mbinu ya Durtete, mtu asiyetaka kuvaa barakoa na chanjo jela.
Hizo njia za kishirikina ndo zinzkufanya unazurura mpaka sasa hivi na kuzungusha sebene lako bila hofu,
Ungeanza na hizo za kisasa huenda ungekuwa ushakufa kama wahindi na wa huko maghalibi
 
Back
Top Bottom