Maagizo ya machinga na Corona kupuuzwa nini chanzo? Ni kivuli cha Magufuli?

kama njia za kishirikina zimetufaa hatuna budi kuzitumia maana majirani wametumia njia za kisasa bt matoken yake corona imewaendesha na kila siku wanafunga mashule na madhara ni makubwa kuliko sisi.

ufike wakati tupunguze unafiki hata kama hatumkubali mtu basi tuthamini juhudi yake ilolivusha taifa katika kipindi kigumu zaidi.
 
ndicho kinajadiliwa hapa,tamko lilikuwa waondoke.

kwani unadhani hoja ni wao kuziba biashara au kuuza bila kulipa kodi,na kunyima wateja wenye frem rasmi!!!!
Baada ya Hilo Tamko mama Samia si alikuja Kariakoo ku clarify? Maagizo yake yalikua waondoke ama wa behave?
 
Wewe ambaye haupo kwenye stone age umeshachanjwa?
Begani kulia nina alama ya chanjo ambalo ni ya ndui. Nasubiri hizo za COVID 19, zikifika kama hazina urasimu nitachanja dakika SIFURI
 
Siyo kila Daktari anaweza kuongelea chanjo. Hili liongee na mabingwa wa virology and immunology wengine wanajuwa mambo yao tu. Kwa mfano Dr Mollel Naibu Waziri kwenye immunology Ni mbumbumbu kwa vile yeye ni dentist, ukitaka mjuzi hapa ongea na Dr Faistine Ndugulile ambaye kwa sasa ni Waziri wa vifurushi vya mitandao
 
Hata wafanyie biashara chooni poa tu, sisi furaha yetu ilianza March 17
 
Kwa nini usizifuate Dubai?
Kwenda Dubai hatuendi kwa Super Feo kama kwenda Songea.

Ukweli Mwendazake alipotosha sana na nadharia zake za kipumbavu. tunashukuru Mungu ametukomboa toka mikono ya Afriti Shetani
 
Na point yangu ilikuwa kwamba tunakaririshwa sana vitu, huyo Daktari alikuwa anaeleza kwa maoni yake binafsi tu ila tatizo hawafundishwi kuwa hivyo.
 
Mwendazake mwenyewe kafa COVID 19 angekuwa na uwezo kutia mimba angemzalisha Makonda
swala la kutokutia mimba ni la chumbani kwenu mkuu,sisi tunajua una mimba yake.
 
Lakini Ndege, Sgr, flyover hazijafutika na utazitumia sana huku nafsi ikikusuta mpaka kufa kwako
Kodi yang inanifanya nizitumie, ctumii bure ingekua alitoa pesa yake mfukoni sawa lkn ni pesa ya watanzania. So hilo sio la kujivunia juu yake bali ni watanzania. Halafu acha kupotosha.. Tanzania bado hatuna flyover tuna madaraja ya juu, tuliotembea tunajua what is flyover
 
Imani kubwa ya waafrika ni maisha baada ya kifo. Waliokufa wanaendelea kuwepo. Huu pia ni ujinga
 
Lakini Ndege, Sgr, flyover hazijafutika na utazitumia sana huku nafsi ikikusuta mpaka kufa kwako
Kuna barabara, reli, madaraja, miji, majengo n.k. yaliyoasisiwa na wakoloni, je tuendelee kuwasujudia hata leo na kesho? Ukiangalia kwa mfano miji na barabara tunazo karabati kwa magorofa mapya, lami na kokoto tunafuata mule mule walimopita wakoloni. Tukubali mabadiliko la sivyo tutakuta watu wakipungua mitaani bila kulazimishwa. Kwenye Biblia kuna habari ya Nuhu watu walimcheka na kumdhihaki, mwisho wa siku waliangamia.
 
Ningeshangaa msaliti kulipwa hela. Kwa kazi ipi aliyofanya? Kwa kuzunguka nchi za ulaya akiitukana Tanzania na watanzania?
Tutashitakiwa MIGA?

UJINGA MTUPU
Noah zetu ziko wapi, mzee? Hatujasahau ahadi. Tunaomba zisichelewe sana maana idadi ya watu inaongezeka kwa kasi kwa kuwa ni ruksa kufyatua bila kikomo!
 
Halaf maisha yanaendelea kama kawaida wala hakuna Vifo uzur wake
 
Very sure... Suala na corona kwa mfano,.... Tushazoea maisha yetu tukifurahia uhuru, leo wanakuja na masheria yao kwa ajili ya kufurahisha wazungu... Huku mtaani maisha ni yale yale ya siku zote... Wanapokuja kutaka kuturudisha kwenye hofu ni upuuzi mtupu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…