Maajabu 7 yanayopatikana mkoani kwako

Mkoa wa Lindi

1. Tendaguru formation, hapa ndipo yalipogunduliwa mabaki ya mjusi mkubwa ambayo yalichukuliwa na wajerumani (Dinosaurs).



2. Magofu ya kilwa na Historia yake, Dola ya mrima, kilwa ilikuwa na fedha yake.


3. Selous game reserve, ni pori kubwa mno na wanyamwa wengi wapo hapa.


4. Fukwe za bahari ya Lindi, ni zenye kuvutia kwelikweli


5. Cradle of majimaji, mnara wa nandete kilwa ndio mahali ambapo Vita vikubwa kabisa vya majimaji vilianza

6. Mazao Kama korosho, ufuta, miogo, mtama na vyakula vya bahari kama pweza, ngisi, uduvi n.k. vinapatikana kwa wingi mkoani Lindi.


7. Visiwa vizuri vyenye maajabu na Historia nzuri, mkoa wa Lindi una visiwa vingi vinavyopatikana katika bahari ya Hindi, Sanja ya Kati, songo mnara, fanjove private island, kilwa kisiwani ni baadhi tu ya visiwa vilivyopo mkoani Lindi.


8. Uwepo wa gesi chini ya bahari, gesi ya Lindi inatajwa kuwa ndio nyingi zaidi kuliko ile ya mtwara.


Very beautiful place to be, karibu Lindi.
 
Mkuu kwa mapicha hayo, yaani ukiangalia kupitia mapichapicha kama hayo mtu anaweza kusema anakuja Lindi na billions kadhaa ili awekeze.

Ohoo, ngoja afike field kwenye reality sasa!.
 
Ajabu la Kwanza marehemu kufa na kushangiliwa na mamia kwa maelf


La pili ripot za cag ambzao hazitekelezeki

Ajabu la tatu watu viongozi kusisisizwa kula kwa urefu wa kamba zao Tena na mkuu wa nnchi

Ajabu la nne wazir kuzunguka na helkopta kwenda kuamazisha anuani za makazi
Ajabu la tano wanaichi kukubali kuchangia ujenz wa ofc za serekali want serekali yote ipo nnje wakila mabilioni


Maajabu Ni mengi San katk nnchi hii
 
Lindi pazuri sana kumbe!!
 
Mkuu kwa mapicha hayo, yaani ukiangalia kupitia mapichapicha kama hayo mtu anaweza kusema anakuja Lindi na billions kashaa aje kuwekeza.

Ohoo, ngoja afike field kwenye reality sasa!.
Sema kwa utalii pamekaa poa sana.
 
Kwa nini wawekezaji 98% wa sector ya utalii wanakimbilia kuwekeza Unguja, Dar na Arusha na si Lindi?.
Kuna sababu nyingi, Kwanza watu wengi hawajui hivo vivutio vya utalii, kusini hasa Lindi kumesahaulika Sana.
Pili nature ya watu wwnywe wa kusini, hakuna wasomi wengi.
 
Kuna sababu nyingi, Kwanza watu wengi hawajui hivo vivutio vya utalii, kusini hasa Lindi kumesahaulika Sana.
Pili nature ya watu wwnywe wa kusini, hakuna wasomi wengi.
Ahahaaaa HAPANA usisingizie elimu mkuu, kama unasingzia ngorongoro kwa wamasai kuna elimu gani mpaka kujengwe mahoteli makubwa kiasi kile?.

Issue ni mazingira rafiki ya kitalii Lindi hakuna hicho kitu, mfano ile hotel pale Nyerere National Pack ambayo Late JPM aliizodoa unadhani 'owner' kwa nini aliamua kujenga pale?.

Wawekezaji wanapokuja kwenye kituo cha uwekezaji upande wa utalii wanaanbiwa na kuonyeshwa maeneo yote hapa nchini, wkt huo hata wao wameshafanya research kwa eneo analotaka, huwa awakurupuki.

Lindi is still nothing asee, wasomi wangapi wametoka huko na bado wanashindwa kuboost mkoa wanakimbilia mikoa mingine?.
 
18.Magamba Natural forest
19.Amani forest reserve
20.Shule ya sekondari ya kwanza baada ya uhuru (Tanga Taechnical)
 
18.Magamba Natural forest
19.Amani forest reserve
20.Shule ya sekondari ya kwanza baada ya uhuru (Tanga Taechnical)
je ile ya Muheza sijui inaitwa magila bado mahakama ya kwanza kule pia
 
Sema lindi mjini kumenyata sana...panaharibu sifa ya mkoa kama ulivyozitaja.

#MaendeleoHayanaChama
 
Sasa we unadhani Nini sababu za maendeleo duni karibu Kila sector mkoa wa lindi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…