Maajabu 7 yanayopatikana mkoani kwako

Maajabu 7 yanayopatikana mkoani kwako

Sema lindi mjini kumenyata sana...panaharibu sifa ya mkoa kama ulivyozitaja.

#MaendeleoHayanaChama
Ilo ni kweli kabisa mji wa Lindi uko nyuma Sana, hasa pale mjini, watu ni wachache, hamna fursa za kiuchumi, hamna vyuo au taasisi kubwa za elimu.

Lakini huu mkoa una rasilimali nyingi sana, hizo nilizozitaja hapo ni baadhi tu. Sijui kwann Lindi iko nyuma Sana, Sina sababu ya Moja kwa moja lakin nadhan Historia inatuhukumu.
 
Ilo ni kweli kabisa mji wa Lindi uko nyuma Sana, hasa pale mjini, watu ni wachache, hamna fursa za kiuchumi, hamna vyuo au taasisi kubwa za elimu.

Lakini huu mkoa una rasilimali nyingi sana, hizo nilizozitaja hapo ni baadhi tu. Sijui kwann Lindi iko nyuma Sana, Sina sababu ya Moja kwa moja lakin nadhan Historia inatuhukumu.
Ni huu mfumo wetu centralized ndiyo shida kubwa. Mikoa ingepewa mamlaka na bajeti ya kupanga maendeleo yake. Leo mikoa mingi inayodharaulika ingekuwa mbali sana. Sasa mapato yote ya korosho au gesi yanaenda kujenga Dar na mikoa mingine yenye kelele.
 
Ni huu mfumo wetu centralized ndiyo shida kubwa. Mikoa ingepewa mamlaka na bajeti ya kupanga maendeleo yake. Leo mikoa mingi inayodharaulika ingekuwa mbali sana. Sasa mapato yote ya korosho au gesi yanaenda kujenga Dar na mikoa mingine yenye kelele.
Sahihi kabisa, labda huo mfumo ungetusaidia
 
1. Ndugai anapatikana hapa
2. Bunge la ccm linapatikana hapa
3. Omba omba kibao wapo


Acha niishie hapa
Malizia tu.
4.Macho ya wengi huharibikia hapo.
5.Vumbi,Jua,Mvua ikinyesha leo,kesho ukiamka upige jembe kwenye ardhi linadunda na kutoa mlio kama umegonga kwenye jiwe.
 
1. Amboni caves
2.saadani national park
3.mkomazi national park
4.irente view lushoto
5.waterfall lushoto
6.Tanga urithi
7.usambara mountain
8.Raskazone beach
9.vyakula vya asili na burudani kibao ngoma kama baikoko
10.magoroto forest
11.Mangapwani Coral Cave
12.Fukuchani Ruins & Cave
13.Kendwa public beach
14.Nungwi Mnarani Aquarium
15.Mkuzi water falls
16.kigombe beach
17.Ushongo Beach Cottage

zipo nyingi hata 30 zinafika tuishie hapo
Tanga Tanga
 
Mkoa wa Lindi

1. Tendaguru formation, hapa ndipo yalipogunduliwa mabaki ya mjusi mkubwa ambayo yalichukuliwa na wajerumani (Dinosaurs).

View attachment 2198111
View attachment 2198119
2. Magofu ya kilwa na Historia yake, Dola ya mrima, kilwa ilikuwa na fedha yake.
View attachment 2198121
View attachment 2198122
3. Selous game reserve, ni pori kubwa mno na wanyamwa wengi wapo hapa.
View attachment 2198130
View attachment 2198674
4. Fukwe za bahari ya Lindi, ni zenye kuvutia kwelikweli
View attachment 2198139
View attachment 2198683
5. Cradle of majimaji, mnara wa nandete kilwa ndio mahali ambapo Vita vikubwa kabisa vya majimaji vilianza
View attachment 2198165
6. Mazao Kama korosho, ufuta, miogo, mtama na vyakula vya bahari kama pweza, ngisi, uduvi n.k. vinapatikana kwa wingi mkoani Lindi.
View attachment 2198132
View attachment 2198709
7. Visiwa vizuri vyenye maajabu na Historia nzuri, mkoa wa Lindi una visiwa vingi vinavyopatikana katika bahari ya Hindi, Sanja ya Kati, songo mnara, fanjove private island, kilwa kisiwani ni baadhi tu ya visiwa vilivyopo mkoani Lindi.
View attachment 2198157
View attachment 2198681
8. Uwepo wa gesi chini ya bahari, gesi ya Lindi inatajwa kuwa ndio nyingi zaidi kuliko ile ya mtwara.
View attachment 2198134

Very beautiful place to be, karibu Lindi.
Serikali ikiweka msisitizo,Lindi itakuwa juu sana.im so proud of..[emoji111]
 
Ilo ni kweli kabisa mji wa Lindi uko nyuma Sana, hasa pale mjini, watu ni wachache, hamna fursa za kiuchumi, hamna vyuo au taasisi kubwa za elimu.

Lakini huu mkoa una rasilimali nyingi sana, hizo nilizozitaja hapo ni baadhi tu. Sijui kwann Lindi iko nyuma Sana, Sina sababu ya Moja kwa moja lakin nadhan Historia inatuhukumu.
Lindi haijapewa ujiko kutoka serikalini kama serikali inavyofanya katika mikoa mingine kila jambo zuri linaapelekwa katika mikoa mingine sasa hapo unategemea nini.Msisitizo wa serikali ndio huwa chanzo cha maendeleo katika mkoa x.Nchi imetususa sana, tutapiga hatua mpaka pale Rais wa nchi atokee LINDI au Pwani.
 
kumbuka saadani ndo mbuga pekee duniani iko kando ya bahari bado kuna miti ukiikata inatoa maji yaani maji yana stream kweny mizizi unakunywa kabisa ipo wilaya ya lushoto
Sadani Ipo pwani mkuu, lushoto hakuna bahar
 
Lindi haijapewa ujiko kutoka serikalini kama serikali inavyofanya katika mikoa mingine kila jambo zuri linaapelekwa katika mikoa mingine sasa hapo unategemea nini.Msisitizo wa serikali ndio huwa chanzo cha maendeleo katika mkoa x.Nchi imetususa sana, tutapiga hatua mpaka pale Rais wa nchi atokee LINDI au Pwani.
Sahihi kabisa
 
Sema lindi mjini kumenyata sana...panaharibu sifa ya mkoa kama ulivyozitaja.

#MaendeleoHayanaChama
😁😁😁naona we mdau wa lindi, tatizo ndio hilo kumenyata/ hakuvutii na hakuna changamoto kwa hyo ni ngumu kufanya uwekezaj mkubwa kwan unaweza poteza pesa zako tu.
Labda huo mrad wa ges Lindi Natural Gashyo( LNG) uje kufanya mabadiliko.
 
Ilo ni kweli kabisa mji wa Lindi uko nyuma Sana, hasa pale mjini, watu ni wachache, hamna fursa za kiuchumi, hamna vyuo au taasisi kubwa za elimu.

Lakini huu mkoa una rasilimali nyingi sana, hizo nilizozitaja hapo ni baadhi tu. Sijui kwann Lindi iko nyuma Sana, Sina sababu ya Moja kwa moja lakin nadhan Historia inatuhukumu.
Hakuna exposure, wageni ni wachache sana, afu figisu kwa mgen kufanya biashara ni kubwa na ndio maana kila bidhaa ipo juu. Siku amin mara ya kwanza kununua Condoms packet ya dume 1000 ktk phamacy.
 
Ni huu mfumo wetu centralized ndiyo shida kubwa. Mikoa ingepewa mamlaka na bajeti ya kupanga maendeleo yake. Leo mikoa mingi inayodharaulika ingekuwa mbali sana. Sasa mapato yote ya korosho au gesi yanaenda kujenga Dar na mikoa mingine yenye kelele.
Kwa upande wa koroaho, mapato yanakusanywa na Halmashauri husika, na matumiz wahusika wenyewe chini ya ofisi ya Mkurugenzi ndio wana panga matumiz kulingana na priorities/ viaumbele vyao. Makusanyo ya mtindo huu hayaend Serikal kuu
 
tutapiga hatua mpaka pale Rais wa nchi atokee LINDI au Pwani
Hayat B. W Mkapa alitokea Mtwara, mkoa jiran kabisa na Lindi, hadi tamadun zinafanana hajafanya jambo.

Mh JK Kikwete ametoka Pwani, pia ametawala miaka kumi😅😅 bado malalamiko mengi.

First lady miaka 10, mama Salma Kikwete mzaliwa wa Lindi na pia bado mbunge wa Mchinga

Mzee baba mwenyewe, PM, mtu wa kazi Kassim Majaliwa mtu wa wa Lindi

Unataka nn mkuu?.
 
Bagamoyo.
Jina lenyewe linajieleza
Bagamoyo pako vizuri sana kwa utalii. Wafuga mamba badi wapo? Beaches zake kama unaelekea Kaole zinavutia sana. Ni basi tu nguvu kubwa haujawekeza kupatangaza.
 
Back
Top Bottom