Majaliwa ameleta mabadiliko kidogo Ruangwa imebadilika sana.Ipo siku tutaikamata hii nchi nasi tutafanya kama Magufuli.Hayat B. W Mkapa alitokea Mtwara, mkoa jiran kabisa na Lindi, hadi tamadun zinafanana hajafanya jambo.
Mh JK Kikwete ametoka Pwani, pia ametawala miaka kumi[emoji28][emoji28] bado malalamiko mengi.
First lady miaka 10, mama Salma Kikwete mzaliwa wa Lindi na pia bado mbunge wa Mchinga
Mzee baba mwenyewe, PM, mtu wa kazi Kassim Majaliwa mtu wa wa Lindi
Unataka nn mkuu?.
Haya wa ruvuma mnisaidie..
Umeshafeli..umeambiwa mkoa.Ajabu la Kwanza marehemu kufa na kushangiliwa na mamia kwa maelf
La pili ripot za cag ambzao hazitekelezeki
Ajabu la tatu watu viongozi kusisisizwa kula kwa urefu wa kamba zao Tena na mkuu wa nnchi
Ajabu la nne wazir kuzunguka na helkopta kwenda kuamazisha anuani za makazi
Ajabu la tano wanaichi kukubali kuchangia ujenz wa ofc za serekali want serekali yote ipo nnje wakila mabilioni
Maajabu Ni mengi San katk nnchi hii
Ushanitamanisha😋😋Soseji za Peramiho
Atleast wewe umepanga vitu kwa weledi... Panavutia ila nasilkia umwinyi ni mwingi saaana..... Mji upo kiiiiiiiiimya dadek.Mkoa wa Lindi
1. Tendaguru formation, hapa ndipo yalipogunduliwa mabaki ya mjusi mkubwa ambayo yalichukuliwa na wajerumani (Dinosaurs).
View attachment 2198111
View attachment 2198119
2. Magofu ya kilwa na Historia yake, Dola ya mrima, kilwa ilikuwa na fedha yake.
View attachment 2198121
View attachment 2198122
3. Selous game reserve, ni pori kubwa mno na wanyamwa wengi wapo hapa.
View attachment 2198130
View attachment 2198674
4. Fukwe za bahari ya Lindi, ni zenye kuvutia kwelikweli
View attachment 2198139
View attachment 2198683
5. Cradle of majimaji, mnara wa nandete kilwa ndio mahali ambapo Vita vikubwa kabisa vya majimaji vilianza
View attachment 2198165
6. Mazao Kama korosho, ufuta, miogo, mtama na vyakula vya bahari kama pweza, ngisi, uduvi n.k. vinapatikana kwa wingi mkoani Lindi.
View attachment 2198132
View attachment 2198709
7. Visiwa vizuri vyenye maajabu na Historia nzuri, mkoa wa Lindi una visiwa vingi vinavyopatikana katika bahari ya Hindi, Sanja ya Kati, songo mnara, fanjove private island, kilwa kisiwani ni baadhi tu ya visiwa vilivyopo mkoani Lindi.
View attachment 2198157
View attachment 2198681
8. Uwepo wa gesi chini ya bahari, gesi ya Lindi inatajwa kuwa ndio nyingi zaidi kuliko ile ya mtwara.
View attachment 2198134
Very beautiful place to be, karibu Lindi.
Connection, shule,ubinafsi na juhud za serikali.Kwa nini wawekezaji 98% wa sector ya utalii wanakimbilia kuwekeza Unguja, Dar na Arusha na si Lindi?.
Mkapa si alitoka upande huo.... Mna akina membe, majaliwa, watu kibao tu akina kinjikitile....Lindi haijapewa ujiko kutoka serikalini kama serikali inavyofanya katika mikoa mingine kila jambo zuri linaapelekwa katika mikoa mingine sasa hapo unategemea nini.Msisitizo wa serikali ndio huwa chanzo cha maendeleo katika mkoa x.Nchi imetususa sana, tutapiga hatua mpaka pale Rais wa nchi atokee LINDI au Pwani.
Njoo uchukue sosej og hapaUshanitamanisha[emoji39][emoji39]
Usemayo ni kweli, tupo katika umasikini pia lakin tuna resources za kutosha sanaAtleast wewe umepanga vitu kwa weledi... Panavutia ila nasilkia umwinyi ni mwingi saaana..... Mji upo kiiiiiiiiimya dadek.
Sehemu zoote hzo hakuna wageni ni wazawa tu no utaliii.
Ntafika lakini
Arusha yetu ina maajabu mengi1. Ngorongoro Crater
2. Olduvai gorge
3. Mount Oldonyo Lengai
4. Serengeti Park japo sehemu nyingine ipo Mara
5. Mount Meru
6. Lake Natron- flamingo
7. Mchanga unaohama Engaruka
8. Lake Eyasi
9. Maasai people
10. Mbuga ya Arusha
11. Snake Park
12. Ziwa Duluti
Ni barabara yenye kona hatarishi kama ilivyo bumbuli na lushotoMkuu ikoje hasa hii Tarakea Road?
Mfano uashi..na nyingine ni mashati..kwa kwel ni kona hatarish sanaa...ila hata mkandarasi aliechukua tena kwa kwel kaitendea hakiKutoka Mwika kwenda huko kuna kona nyingi hakuna mfano.
Habari ya sasa ni utalii. Tuchangamke.
Kuna 7 wonders za dunia, Africa na sijui kama ya Tanzania ipo. Sasa tunatakiwa kuwa na list ya 7 wonders ya kila mkoa.
Ni maajabu gani saba yanapatikana mkoani kwako au mkoa uliowahi kuishi? Mbeya.
1.Lake Ngozi
2. Ufukwe wa ziwa Nyasa
3. Kitulo plateau
4. Chunya Road
5. Kiwira river
6. Usangu basin&wetland
7….......
Yah ni kwel, Membe ilibaki kidogo. Sema kuna mikoa ming haijawa pata hata kiongo wa juu lkn iko mbal sana.Majaliwa ameleta mabadiliko kidogo Ruangwa imebadilika sana.Ipo siku tutaikamata hii nchi nasi tutafanya kama Magufuli.