Maajabu 8 ya mkoa wa Mara

Serikali imeufanya mkoa wa Arusha Kama Kitovu Cha Utalii ( Makao Makuu ).

Ndio maana hata Manyara hainufaiki na vivutio vyake, mpaka Tanzanite mishe mishe zote Arusha wakati iko Manyara.
Unapofanya kitovu kuwa sehemu as arusha kuna umuhimu wa kugawa mapato kwa mikoa inayochangia mapato kutoka kwenye hiyo sector, mfano mapato yote ya serengeti yanaingia hazina je, hazina wanafanya direct divide ya revenue kwa mikoa hiyo?.
 
Sikujua Serengeti iko mkoa wa Mara, najua wazanaki , wajita na wakurya tuu hao wengine sijawahi kuwasikia, mna serengeti na wasomi kibao lakini maskini wakubwa hamna hata maendeleo na mna nyumba za tope kuliko za bati, mna shida kuliko chawa
 
Sikujua Serengeti iko mkoa wa Mara, najua wazanaki , wajita na wakurya tuu hao wengine sijawahi kuwasikia, mna serengeti na wasomi kibao lakini maskini wakubwa hamna hata maendeleo na mna nyumba za tope kuliko za bati, mna shida kuliko chawa
Sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…