Unapofanya kitovu kuwa sehemu as arusha kuna umuhimu wa kugawa mapato kwa mikoa inayochangia mapato kutoka kwenye hiyo sector, mfano mapato yote ya serengeti yanaingia hazina je, hazina wanafanya direct divide ya revenue kwa mikoa hiyo?.
Sikujua Serengeti iko mkoa wa Mara, najua wazanaki , wajita na wakurya tuu hao wengine sijawahi kuwasikia, mna serengeti na wasomi kibao lakini maskini wakubwa hamna hata maendeleo na mna nyumba za tope kuliko za bati, mna shida kuliko chawa
Sikujua Serengeti iko mkoa wa Mara, najua wazanaki , wajita na wakurya tuu hao wengine sijawahi kuwasikia, mna serengeti na wasomi kibao lakini maskini wakubwa hamna hata maendeleo na mna nyumba za tope kuliko za bati, mna shida kuliko chawa