Maajabu 8 ya mkoa wa Mara

Mpakani?
Kwa nini mnufaika mkubwa wa mbuga hiyo ni mkoa wa Arusha na Mara inabaki mtazamaji tu?
Ni ujinga mkubwa uliofanywa na serikali zilizopita. Wachaga na watu wa kaskazini wameuhujumu sana mkoa wa Mara.

Kwa takwimu za Tanapa, zaidi ya 80% ya watalii wanaokuja nchi hii wanakuja kwa sababu ya mbuga ya serengeti, ukiona shilingi 100 ya utalii basi shilingi 80 inatokana na mbuga ya serengeti.

Serengeti ndio utalii wa nchi hii, bila serengeti hakuna utalii. Lakini cha ajabu serengeti hakuna miundombinu yoyote, hata chuo cha utalii au maliasili, yote haya yalifanyika makusudi kuhujumu mkoa wa Mara. Kuna kipindi hata makao makuu ya serengeti national park yalikua Arusha.

Kuna kipindi ilikua ujengwe uwanja wa ndege serengeti, wachaga wakasema ukijengwa uwanja wa ndege utau KIA, hivyo hiyo ikapigwa chini, Magufuli ndie kakomaa sasa wanajenga ila miaka yote huo uwanja ulikua unapingwa na kupigwa vita eti utadhoofisha KIA.

Juzi aliongea Msiba, kwenye magroup ya mkoa wa Mara hasa ya waliokua viongozi na ambao bado wapo walimshambulia sana ila alisema ukweli. Tumekua na wasomi na watu wenye madaraka wengi lakini hakuna walichosaidia mkoa wa Mara.
 
Hii pia...ndio mkoa ambao makabila yake ni mahasimu.inamaana kuwa wangoreme na wakurya haziivi wanagombana kila uchwao.chanzo kikubwa cha ugomvi ni wizi wa ng'ombe ambapo jamii ya kikurya inaamini kijana lazima atafute ng'ombe kwa kunyang'anya wenzake....wakati tunakuwa tulifundishwa namna ya kutumia upinde na mishale ili kujihami.
 
Washashi ni watu gani?
Waanchori na waanchoki wanagombea Nini?
Washashi ndio wanaitwa Wasizaki.. Wasukuma ndio huwaita washashi.. Lakini pia Waikizu, Wazanaki na Wasizaki huwaita wasukuma 'Abhakiriti'
 
Nikisoma kuhusu hii [emoji115]huwa sielewi kuhusu Serengeti na uwiano wake kwa Mkoa wa Mara na Arusha.
Kimsingi hii mbuga ilikuwa moja na Ngorongoro!.. Kilichofanyika mbuga hii iligawanywa kutokana na mikoa ilimo. Kipande cha Mbuga upande wa Arusha ndio inaitwa Ngorongoro na kipande cha mbuga upande wa mkoa wa Mara na Simiyu ndio inaitwa Serengeti.. Kimsingi ngorongoro na serengeti ni mbuga moja na ndiyo mbuga kubwa kuliko zote hapa Tz. Lakini walipoweka mipaka ndii zikapungua ukubwa
 
Mpakani?
Kwa nini mnufaika mkubwa wa mbuga hiyo ni mkoa wa Arusha na Mara inabaki mtazamaji tu?
Huko sipendi kufika kwa sababu sina uhakika, labda kama yupo mwenye uelewa zaidi.
 
Mkoa wa Mara hauko Kaskazini Mashariki ya Tanzania bali uko Kaskazini Magharibi ya Tanzania, nadhani hapo mtoa post ulijichanganya
Watu wa Jiografia watakuja kuthibitisha
 
Sema 4,wakati mwingine inaweza kuwa ni tafsiri hafifu ya waliyonayo wasomi ambapo Sasahivi inaonekana ukiwa Prof au Masters holder gombea then shavu nje nje.

Au wakati mwingine labda tatizo la Ajira ni kubwa kiasi kwamba ma Prof kutoka Mara wamesanuka deal ni kuomba Ajira husika.
 
Kuna Kijiji kinaitwa Rung'abure daah nilikaa pale Kuna wababe serikali imeshindwa kujenga hata kituo Cha polisi pale.​
Huwa hawachelewi kukatana mapanga pale. maduka mengi yamejaa mapanga wanauza sana​
Napafahamu sana hapa,ukienda mosongo,nyamatoke,monuna,kemgesi huko kukuta mtu kakatwa kichwa ni jambo la kawaida
 
Hili LA tohara hata Pemba ila siku hizi imebadilika, linafanywa hospitali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…