Maajabu 8 ya mkoa wa Mara

hivi baraka the prince ni mjaluo?
 
Mkuranga kuna "kanda maalum pia"
 
Kuchambana kunawapa kichwa, huku unaleta umbea unafatwa unachezea kichapo alaf maisha yanaendelea.

Mwenzako kamaanisha kuchamba yaan kujisafisha/kuosha sehem za siri baada ya kujisaidia haja ndogo/kubwa na sio kuchambana kwa maneno.
 
Umesema Mara kuna makabila mengi lakini ukatoa taarifa za tohara ya Wakurya!
 
Umesema Mara kuna makabila mengi lakini ukatoa taarifa za tohara ya Wakurya!

Kwa taarifa yako tohara ipo kwa makabila mengi ya Mkoa wa Mara na ni kama utamaduni wao isipokuw Waluo tu.
 
Mnapoongea haya mjue tu ngorongoro, Manyara, tarangire, Arusha na serengeti zipo ndani ya mkoa wa Arusha, usutegemee kulinganisha nao wakati wewe unamiliki kipande tu cha mbuga ambayo nao wanaweza sema ni mali yao sababu na jina lenyewe ni la kwao.
 
Washashi ni watu gani?
Waanchori na waanchoki wanagombea Nini?
Wanaitwa Warenchoka na Wanchari

Hawa wanapatikana upande wa Kaskazin ukiwa unaelekea Sirari. Kipindi naishi huko, niliwahi kuuliza chanzo cha ugomvi wao, nilistaajabu majibu.
Niliambiwa huwa wanagombea Mifugo(wizi wa mifugo) na kuibiana Bangi mashambani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…