bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Mmoja waziri mwingine mkulima tu hawawezi kuwa sawa mbele ya Sheria.
Waziri ni boss wa DPP
Waziri ni boss wa DPP
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ampe uwaziri wake kesi imeenda hioAlimwondoa kupaisha uchunguzi? Hayo ni yako, taarifa iliyopo kafukuzwa kazi.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Huyu chizi achana akili zake muda siasa tu .hata mambo ya ukweli siasaYaani Manyara wote wawe wajinga ila akili uwe nayo wewe wa geita !
Aliyeshtaki nani? Aliyeifuta nani!! Afrika Kusini nyakati za makaburu pia kulikuwa na mahakama na kulikuwa na bunge. Kulikuwa pia na sheria zilizotungwa na Bunge. Walishtakiwa weupe, walishtakiwa weusi na wote walihukumiwa. Kwa mujibu wa upuuzi ule, machawa waliamini haki ilikua ikitendeka - nao ndo walikua watawala. Muda ni mwalimu mzr na watawala huja na kuondoka. Iko sikuKesi ya huyo mchungaji ilikuwa ni kuhubiri injili? Unaweza onyesha sehemu DPP alipovunja sheria?
Kuuliko wewe..chi mamyHuyo mchungaji anayeitwa Mbwa-rikiwa ni takataka kabisa, takataka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani Manyara wote wawe wajinga ila akili uwe nayo wewe wa geita !
Acha kunililia mtandaoni mimi sio babako.Aliyeshtaki nani? Aliyeifuta nani!! Afrika Kusini nyakati za makaburu pia kulikuwa na mahakama na kulikuwa na bunge. Kulikuwa pia na sheria zilizotungwa na Bunge. Walishtakiwa weupe, walishtakiwa weusi na wote walihukumiwa. Kwa mujibu wa upuuzi ule, machawa waliamini haki ilikua ikitendeka - nao ndo walikua watawala. Muda ni mwalimu mzr na watawala huja na kuondoka. Iko siku
Piga simu kwa jaji na wewe shida iko wapi?Mbumbumbu kama wewe unataka tubaki kwenye Hali hii ambapo mahakama na bunge zimewekwa mfukoni, simu zinapigwa tu kwa Jaji "amua hivi", na inakuwa, fikiria mshitakiwa Gekul hakufika mahakamani kwa sababu tayari alishajulishwa hukumu ilivyo kabla, Sasa mbumbumbu kama wewe unataka tubaki hivi miaka yote.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ni wapi uliambiwa hukimu ili isomwe lazima mtuhumiwa awepo?Mshitakiwa Gekul alithibitisha wapi? Mahakamani kwenyewe wakati hukumu inasomwa alikuwa anakula Bata, kadharau mahakama halafu wewe unamsema utawala wa sheria!
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kufukuzwa kwake kazi kumekuongezea nini? Afukuzwe kazi kwani alikuwa muajiliwa?Alimwondoa kupaisha uchunguzi? Hayo ni yako, taarifa iliyopo kafukuzwa kazi.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app