Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli ni maajabuAlifariki 10 Julai na Soko limeungua 10 Julai
View attachment 1849684
Atawahoji kwa mfumo wa kubinya mapumbu ama kuwapaka vilainishiMajaliwa amesema ata-deal na wale viongozi wa soko waliosimamishwa kuona kama wamecheza faulo.
Kweli ni maajabu
KamaHa ha ha mkuu. Itabidi wakiri hata kama hawahusiki kwa hicho kibinyo
Ama kama vipi wachukue nafasi za wale masheikh wa uhamshoHa ha ha mkuu. Itabidi wakiri hata kama hawahusiki kwa hicho kibinyo
Hahah au na soko liliungua tarehe 3 harafu wanatuambia ni tarehe 10🤣🤣🤣Haya maajabu yamezidi yale ya kiongozi mmoja kufa tarehe 09 march na wadanganyika kutangaziwa tarehe 17 march