Maajabu: Aliyejenga soko la Kariakoo alikufa 10 Julai

Maajabu: Aliyejenga soko la Kariakoo alikufa 10 Julai

Baraka21

JF-Expert Member
Joined
Mar 15, 2021
Posts
1,262
Reaction score
3,184
Alifariki 10 Julai na Soko limeungua 10 Julai
IMG_20210711_162034_680.JPG
 
Kiukweli kabisa bila ya kupepesa macho uyu mchoraji wa pale kachora na mjenzi pia kajenga kwelikweli,lile soko ukiliangalia tu hata kwa mbali unaona kabisa wazee wetu walitumia akili zao vizuri
 
Haya maajabu yamezidi yale ya kiongozi mmoja kufa tarehe 09 march na wadanganyika kutangaziwa tarehe 17 march
Hahah au na soko liliungua tarehe 3 harafu wanatuambia ni tarehe 10🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom