Maajabu: Aliyejenga soko la Kariakoo alikufa 10 Julai

Kiukweli kabisa bila ya kupepesa macho uyu mchoraji wa pale kachora na mjenzi pia kajenga kwelikweli,lile soko ukiliangalia tu hata kwa mbali unaona kabisa wazee wetu walitumia akili zao vizuri
Kweli mkuu. Huyu mchoraji mzalendo alikuwa kichwa kweli kweli. Lile ni bonge ya soko kuanzia kule shimoni hadi juu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…