Yaani ngoja na magu aje aanze kuondoka na vitu vyakeKaondoka na soko lake.
Huwezijua maana hii nchi ina maajabu mengi ukiondoa yale ya wema sepetu kila mwaka kufanya birthday part ya kutimiza miaka 24Hahah au na soko liliungua tarehe 3 harafu wanatuambia ni tarehe 10🤣🤣🤣
Dah kweli Tanzania ina maajabu sanaHuwezijua maana hii nchi ina maajabu mengi ukiondoa yale ya wema sepetu kila mwaka kufanya birthday part ya kutimiza miaka 24
Kweli mkuu. Huyu mchoraji mzalendo alikuwa kichwa kweli kweli. Lile ni bonge ya soko kuanzia kule shimoni hadi juu.Kiukweli kabisa bila ya kupepesa macho uyu mchoraji wa pale kachora na mjenzi pia kajenga kwelikweli,lile soko ukiliangalia tu hata kwa mbali unaona kabisa wazee wetu walitumia akili zao vizuri
IndeedAlikuwa architect sio mjenzi