G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,795
- 36,704
Haya nayo ni maajabu mengine yametokea huko Tarime hapo jana baada ya ndugu Chacha Heche aliyetakiwa kumdhamini kada wa Chadema mahakamani kupimwa joto la mwili likasoma nyuzi joto 37.1 kisha akaambiwa kuwa ana Corona na kuzuiwa kuingia ndani ya viunga vya mahakama.
Kada huyo alilazimika kurudishwa mahabusu kutokana na hali hiyo.
Wao kwao ukisema unaonekana wakali wa beberu ila kwa wengine ni sawa. Serikali ya CCM isipoacha usanii huu acha tuendelee tu kuungana na wanaoichapa nchi huko kwa wenzetu. Hakuna haja kuungana na serikali ya aina hii.
Kada huyo alilazimika kurudishwa mahabusu kutokana na hali hiyo.
Wao kwao ukisema unaonekana wakali wa beberu ila kwa wengine ni sawa. Serikali ya CCM isipoacha usanii huu acha tuendelee tu kuungana na wanaoichapa nchi huko kwa wenzetu. Hakuna haja kuungana na serikali ya aina hii.