Maajabu: Aliyetakiwa kumdhamini kada wa Chadema azuiwa kuingia mahakamani kwa kuambiwa kuwa ana Corona baada ya joto lake kusoma nyuzi 37.1

Maajabu: Aliyetakiwa kumdhamini kada wa Chadema azuiwa kuingia mahakamani kwa kuambiwa kuwa ana Corona baada ya joto lake kusoma nyuzi 37.1

G Sam

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
11,795
Reaction score
36,704
Haya nayo ni maajabu mengine yametokea huko Tarime hapo jana baada ya ndugu Chacha Heche aliyetakiwa kumdhamini kada wa Chadema mahakamani kupimwa joto la mwili likasoma nyuzi joto 37.1 kisha akaambiwa kuwa ana Corona na kuzuiwa kuingia ndani ya viunga vya mahakama.

Kada huyo alilazimika kurudishwa mahabusu kutokana na hali hiyo.

Wao kwao ukisema unaonekana wakali wa beberu ila kwa wengine ni sawa. Serikali ya CCM isipoacha usanii huu acha tuendelee tu kuungana na wanaoichapa nchi huko kwa wenzetu. Hakuna haja kuungana na serikali ya aina hii.
 
Sasa usanii uko wapi kama amepimwa joto na likaonekana kuwa juu huku indicator ya kupima corona ya kwanza ni joto?

Ninaamini angekuwa wa chama kingine ungeleta habari za furaha hapa kuwa kada akutwa na corona na ukafanya sherehe
Aliewaroga kafa eeehh?
Lini mtakuwa huru?
 
Sasa usanii uko wapi kama amepimwa joto na likaonekana kuwa juu huku indicator ya kupima corona ya kwanza ni joto?
Ninaamini angekuwa wa chama kingine ungeleta habari za furaha hapa kuwa kada akutwa na corona na ukafanya sherehe
Aliewaroga kafa eeehh?
Lini mtakuwa huru?
Unaijua range ya joto la mwili wa binadamu wewe?
 
Sasa usanii uko wapi kama amepimwa joto na likaonekana kuwa juu huku indicator ya kupima corona ya kwanza ni joto?
Ninaamini angekuwa wa chama kingine ungeleta habari za furaha hapa kuwa kada akutwa na corona na ukafanya sherehe
Aliewaroga kafa eeehh?
Lini mtakuwa huru?
Usiwe mpuuzi joto wee!!! centigrade 37.1 ni joto la korona?!! Msitetee upumbavu unaopelekea kuonekana mazuzu nchi nzima.
 
Naona Corona imegeuka kuwa ngao nyingine ya maccm. Mkuu kwani polisi na mahakama haviwatoshi?
Mbowe Mugabe amekimbia bunge yeye na "WASIMBE" wake kwa sababu ya corona!
 
Joto la kawaida la mwili wa mtu ni kati ya nyuzi joto 36.5 mpaka 37.5 hivyo 37.1 ni joto la kawaida.
 
KWAHIYO KAMA ANA CORONA TUTEGEMEE LEO UMMY ATANGAZE ONGEZEKO LA MTU MWENYE CORONA?

AFU VIPIMO SI WALISEMA NI VIBOVU?
 
Usiwe mpuuzi joto wee!!! centigrade 37.1 ni joto la korona?!! Msitetee upumbavu unaopelekea kuonekana mazuzu nchi nzima.


Joto la corona ni ngapi?
Na aliekudanganya kuwa kila mwenye joto huu ni cprpna nani?
Itisheni maandamano mgomee indicator ya joto kwenye kupima corona
 
Ngao ya wanasiasa wote kwa nyakati tofauti,wote mnajaribu kutumia fursa






Naona Corona imegeuka kuwa ngao nyingine ya maccm. Mkuu kwani polisi na mahakama haviwatoshi?
ny
 
Back
Top Bottom