Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
36.5° mpaka 37.5° centigrade ni joto la kawaida la mtu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simbachawene alihama kiwalani?Nipo Maeneo ya Basihaya naelekea Bunju kwa Simbachawene mkuu. Huko hali si hali
Tushaambiwa magonjwa mengine kama malaria yapoSasa usanii uko wapi kama amepimwa joto na likaonekana kuwa juu huku indicator ya kupima corona ya kwanza ni joto?
Ninaamini angekuwa wa chama kingine ungeleta habari za furaha hapa kuwa kada akutwa na corona na ukafanya sherehe
Aliewaroga kafa eeehh?
Lini mtakuwa huru?
Wakikujibu ni shtueKWAHIYO KAMA ANA CORONA TUTEGEMEE LEO UMMY ATANGAZE ONGEZEKO LA MTU MWENYE CORONA?
AFU VIPIMO SI WALISEMA NI VIBOVU?
Si mgelileta mdhamini mwingine?Haya nayo ni maajabu mengine yametokea huko Tarime hapo jana baada ya ndugu Chacha Heche aliyetakiwa kumdhamini kada wa Chadema mahakamani kupimwa joto la mwili likasoma nyuzi joto 37.1 kisha akaambiwa kuwa ana Corona na kuzuiwa kuingia ndani ya viunga vya mahakama.
Kada huyo alilazimika kurudishwa mahabusu kutokana na hali hiyo.
Wao kwao ukisema unaonekana wakali wa beberu ila kwa wengine ni sawa. Serikali ya CCM isipoacha usanii huu acha tuendelee tu kuungana na wanaoichapa nchi huko kwa wenzetu. Hakuna haja kuungana na serikali ya aina hii.
Bora kuungana na shetani kuliko hawa watu!
Namshukuru Kigogo anavyowaanika kwa kuendelea kuanikia nyaraka zao zinazowavua nguo na kuwaacha uchi
Yaani ni ujinga afu miwatu inaaminiUsiwe mpuuzi joto wee!!! centigrade 37.1 ni joto la korona?!! Msitetee upumbavu unaopelekea kuonekana mazuzu nchi nzima.
mkuu nimeamini unatumika kama ndom...yaani kila thread lazima uwe wa mwanzo kuchangi!Chadema kwa kuvunja sheria hawajambo
Naona Corona imegeuka kuwa ngao nyingine ya maccm. Mkuu kwani polisi na mahakama haviwatoshi?
Mkuu huyo ni chizimkuu nimeamini unatumika kama ndom...yaani kila thread lazima uwe wa mwanzo kuchangi!
huna kazi nyingne za kufanya?!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha,, huyu jamaa Yuko vzr aisee [emoji2][emoji2],,mkuu nimeamini unatumika kama ndom...yaani kila thread lazima uwe wa mwanzo kuchangi!
huna kazi nyingne za kufanya?!
Sent using Jamii Forums mobile app
UmetusalitiCcm kama machizi
Ukipinga tu, tayari unarudi Kwa Magu kukubaliana naye kuwa vifaa vya kupima Corona vinatia ShakaUsiwe mpuuzi joto wee!!! centigrade 37.1 ni joto la korona?!! Msitetee upumbavu unaopelekea kuonekana mazuzu nchi nzima.
Majibu ya LumumbaNani alimtuma aende na hilo joto? Au kwa vile ni chadema basi aruhusiwe tu?
Chadema si.mpo wengi sasa mnakosaje mdhamini?
Ilitakiwa kama mnakubalika wadhamini wa ngekuwa wengi mmoja akishindwa mwingine anadhamini,
Na hapo utakuta ni mzazi au ndugu ndie anahangaika ila washabiki wa chama mmemtelekeza mtu wenu