Maajabu: Aliyetakiwa kumdhamini kada wa Chadema azuiwa kuingia mahakamani kwa kuambiwa kuwa ana Corona baada ya joto lake kusoma nyuzi 37.1

Maajabu: Aliyetakiwa kumdhamini kada wa Chadema azuiwa kuingia mahakamani kwa kuambiwa kuwa ana Corona baada ya joto lake kusoma nyuzi 37.1

Haya nayo ni maajabu mengine yametokea huko Tarime hapo jana baada ya ndugu Chacha Heche aliyetakiwa kumdhamini kada wa Chadema mahakamani kupimwa joto la mwili likasoma nyuzi joto 37.1 kisha akaambiwa kuwa ana Corona na kuzuiwa kuingia ndani ya viunga vya mahakama.

Kada huyo alilazimika kurudishwa mahabusu kutokana na hali hiyo.

Wao kwao ukisema unaonekana wakali wa beberu ila kwa wengine ni sawa. Serikali ya CCM isipoacha usanii huu acha tuendelee tu kuungana na wanaoichapa nchi huko kwa wenzetu. Hakuna haja kuungana na serikali ya aina hii.
Hapa ndo namkumbuka mwalimu wangu was primary aliponambia nisisome ili nipate Ajira Bali nijielewa (self awareness) na kufuta ujinga . usikute alosema kwa joto hilo 37.1 aliepimwa ana kirona ni dicta eti.
 
Kuna siku nlikesha kwenye mtungi asubuhi Nkaenda kwenye mishe moja nkaingia kwenye godwn moja hko tazara kunipima mashine ikasoma 40 baada ya muda kupima tena ikasoma 35

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Hivyo si ndiyo vipima joto vilivyokuja kwenye mzigo mmoja na kina Jabil oil, Mariam papai na wenzake.
 
Back
Top Bottom