Maajabu: Aliyetakiwa kumdhamini kada wa Chadema azuiwa kuingia mahakamani kwa kuambiwa kuwa ana Corona baada ya joto lake kusoma nyuzi 37.1

Tushaambiwa magonjwa mengine kama malaria yapo
Sasa ukimpima mtu ukamkuta koto limepanda je hiyo sio dalili ya malaria au mnatetea hoja hamkumbuki viongozi tena wakuu Wanavyo tuambia.
Leo kenya wanawapima wa kwenu mnasema ni vita za kiuchumi
Huyu mtu joto kupanda ndo mseme Corona duuuuh
 
Si mgelileta mdhamini mwingine?
 
Bora kuungana na shetani kuliko hawa watu!

Namshukuru Kigogo anavyowaanika kwa kuendelea kuanikia nyaraka zao zinazowavua nguo na kuwaacha uchi

Endelea kukaa na shetani ili uendelee kuungua moto
 
Naona Corona imegeuka kuwa ngao nyingine ya maccm. Mkuu kwani polisi na mahakama haviwatoshi?

Nani alimtuma aende na hilo joto? Au kwa vile ni chadema basi aruhusiwe tu?
Chadema si.mpo wengi sasa mnakosaje mdhamini?

Ilitakiwa kama mnakubalika wadhamini wa ngekuwa wengi mmoja akishindwa mwingine anadhamini,

Na hapo utakuta ni mzazi au ndugu ndie anahangaika ila washabiki wa chama mmemtelekeza mtu wenu
 
Unategemea nini nchi inapoongozwa na mtu mmojaa aliyesema anapenda maamuzi ya "ukichaa kichaa"? Ni wazi kila mteule atakuwa na maamuzi ya kichaa .
 
Ni naona mmetoka kwenye mjadala wa nyuzijoto 37.1 kuwa si joto la mtu asiyeugua, ndiyo sababu huwa hamfikii muafaka zaidi ya porojo tu.
 
Usiwe mpuuzi joto wee!!! centigrade 37.1 ni joto la korona?!! Msitetee upumbavu unaopelekea kuonekana mazuzu nchi nzima.
Ukipinga tu, tayari unarudi Kwa Magu kukubaliana naye kuwa vifaa vya kupima Corona vinatia Shaka

Sasa hapo ni kuamua, ukubali ili vifaa viwe havina tabu, ukatae uungane na mkulu kuwa vifaa hivi ni feki
 
Kuwa na joto haimanishi una corona
Unaweza kupima mashine ikasoma 39
Ukapumzika kidogo na ukapima tena mashine ikasoma 35

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Majibu ya Lumumba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…