Maajabu: Diamond ausifia na kuupost wimbo wa Alikiba

Maajabu: Diamond ausifia na kuupost wimbo wa Alikiba

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
Salaam Wakuu,

Leo katika pitapita zangu mtandaoni nimekutana kwenye Insta Story ya Diamond amepost wimbo wa Alikiba.

Je, uhasama wao umeisha au?

Screenshot_20230305-153911_1.jpg
 
Ujinga tu. Hamna maturity kupost post mtu hakusaidii. This is life.
Jayz ampost future to hell uite maturity.
Hapo swali liloulizwa uhasama umeisha.
Msifanye maendeleo ya mziki ni kupostiana.
 
Ujinga tu. Hamna maturity kupost post mtu hakusaidii. This is life.
Jayz ampost future to hell uite maturity.
Hapo swali liloulizwa uhasama umeisha.
Msifanye maendeleo ya mziki ni kupostiana.
Unatakiwa kuwaza kwa mapana kabla hujaandika.

Unasema hamsaidii kivipi?
Unataka apewe pesa?.

Kumbuka kupost huo wimbo umetufanya na sisi tujue kuwa Kiba ametoa wimbo tuutafute.
Huu ni msaada mkubwa mno.
Diamond ana wafuasi wengi ndani na nje ya nchi zaidi ya watu 10m wanamfuatilia.

Hivyo amemtangazia kazi yake kwa watu zaidi ya 10m.
Katika hao wakidownload watu hata 300 hapo hajamsaidia?
 
Unatakiwa kuwaza kwa mapana kabla hujaandika.

Unasema hamsaidii kivipi?
Unataka apewe pesa?.

Kumbuka kupost huo wimbo umetufanya na sisi tujue kuwa Kiba ametoa wimbo tuutafute.
Huu ni msaada mkubwa mno.
Diamond ana wafuasi wengi ndani na nje ya nchi zaidi ya watu 10m wanamfuatilia.

Hivyo amemtangazia kazi yake kwa watu zaidi ya 10m.
Katika hao wakidownload watu hata 300 hapo hajamsaidia?
Msaada wa Alikiba uko wapi unaoonekana. Au upo WCB. Maana hapo kwa macho yangu nje Alikiba ataona diamond kashoboka tu. Ndio maana yangu. Sasa uwe unasoma vizuri text sio unaropoka tu. Sawa glenn.
 
Hivi ndivyo inavyotakiwa tatizo Tz roho za chukI zimetawalq.Wenzenu Nigeria wameendelea kimziki kwa kushirikiana na kutoa chuki miongoni mwao.Tumebaki sisi tu mziki unadundiq humu humu ndani nje hautoboi kama wemzetu. Badilikeni!
 
Unatakiwa kuwaza kwa mapana kabla hujaandika.

Unasema hamsaidii kivipi?
Unataka apewe pesa?.

Kumbuka kupost huo wimbo umetufanya na sisi tujue kuwa Kiba ametoa wimbo tuutafute.
Huu ni msaada mkubwa mno.
Diamond ana wafuasi wengi ndani na nje ya nchi zaidi ya watu 10m wanamfuatilia.

Hivyo amemtangazia kazi yake kwa watu zaidi ya 10m.
Katika hao wakidownload watu hata 300 hapo hajamsaidia?
Kweli. Kwa Mashabiki alionao Mond,kupost wimbo wa Kiba ni support kubwa,na ndio industry tunayoihitaji,sio bifu zisizo na maana.
 
Ali Kiba akikubali tu kupatana na Mond amekwisha.

Na siku Mond akifa na safar ya Kiba kimzik inaishia hapo.

Kumbuka Ray Kigosi alivyokufa kisanaa baada ya Kanumba kufa.
Nadhani ni kinyume chake; Ray alikuwa maarufu kwasababu alikuwa anashindanishwa na Kanumba. Alikiba akipatana na Diamond, kitakachoshindanishwa ni mziki mzuri baina ya wasanii wote kwa ujumla, na sio baina ya wao wawili tena kwasababu kinachowafanya watu wawashindanishe sana ni ile perception kwamba jamaa wana bifu.

Na bifu likiendelea, mmoja wapo akichomoka - mwingine lazima umaarufu utaathirika kwasababu kutakuwa hakuna wa kushindanishwa nae.

Ni mtazamo wangu lakini.
 
Back
Top Bottom