M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
Hata kama ni kubunya huku mnazidisha aisee. Mbona Dom-Kondoa-Babati-Arusha barabara imejengwa standard kabisa haina mashimo kama hiyo ya Dom-Iringa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unafahamu Wachina wanakopata pesa za kuendesha miradi wanapata mikopo kutoka taasisi zao za Fedha chini ya mwamvuli wa Serikali tofauti na huku kwetuWakandarasi wa ndani hamna kitu kabisa. Walau Wachina wako serious kwenye kazi.
Kama kazi za labour based za 86 milion zililipwa miezi mitano baada ya mkataba kuisha, kuna kazi hapo 😀😀Mafungu yenyewe ya maintenance hakuna Mkandarasi akifanya kazi anakopwa kulipwa ni majaaliwa wengi wanazikimbia kazi za Tanroads zimekuwa kichefuchefu sio siri iko wazi. Fanya kazi ila Malipo utasubirishwa sana Mtaasisi za Fedha zenyewe kwa sasa zinaogopa sana kufanya Biashara na Watu walio na mikataba na Tanroads, Tarura na hata mamlaka za maji.
Tunaaminije kwamba hauwasingizii?Hata kama ni kubunya huku mnazidisha aisee. Mbona Dom-Kondoa-Babati-Arusha barabara imejengwa standard kabisa haina mashimo kama hiyo ya Dom-Iringa?
Hahaha nimecheka kwa sauti.Hii road walipaka lami juu ya mchanga .... N mashimbo kilaa mita kadhaa kama wanaishi panya..
Ningekuwa rais basi kiunganishi cha mkoa kwa mkoa ingekuwa reli tu badala ya barabaraHata kama ni kubunya huku mnazidisha aisee. Mbona Dom-Kondoa-Babati-Arusha barabara imejengwa standard kabisa haina mashimo kama hiyo ya Dom-Iringa?
Kuna shimo limeongezeka kati ya Fufu au Manzase..hilo kama Bwawa la Mtera watu watembee kwa umakini😀😀😀Nilipita juzi hii njia, dom- iringa via mtera, aloo ila kwa bahati mbaya ilijengwa kipindi cha jiwe 🤔
Ukipita huko utacheka mkuu Watanzania tunajiibia wenyewe..Hahaha nimecheka kwa sauti.
Ila inahuzunisha ndo maana maza siku hizi hajali ana time kwasababu mitanzania inakera sana.
Na hata asiendelee kupigania shilingi kuendelea kuimarika dhidi ya dola kwasababu mibongo ni mipumbavu sana.
Hiyo inaitwa pata potea hapo unafunga kampuni kabisa maana utakuwa na madeni chungu mzima. Halafu ukute hailipwi full yaani Tanroads iko hoi haijawahi kutokea zaidi ya miaka 20 toka kuanzishwa kwakeKama kazi za labour based za 86 milion zililipwa miezi mitano baada ya mkataba kuisha, kuna kazi hapo 😀😀
Kuna kipindi mkandarasi alikuwa site akifanya kazi za maintenance (Patch works) nafikiri malipo yamechelewa kaondoka siteKuna shimo limeongezeka kati ya Fufu au Manzase..hilo kama Bwawa la Mtera watu watembee kwa umakini😀😀😀
Barabara hii ni mfano wa barabara mbovu dunianiBarabara imesababisha abiria na madereva kupata matatizo ya kiafya kama bawasiri (kurushwa rushwa kwa siti zisizo na sponge kwenye mashimo),sukari, moyo mpana na presha za kupanda. Mamlaka liangalie hili
Japo ni moja ya barabara iliyo busy sana maana inasafirisha bidhaa nyingi nzito nzito kama magogo, mizigo ya kwenda nchi jiran etc..
Na mabasi ya Abiria jaman aiseee hii ndo njia inayoongoza kuwa na gari mbovu mbovu ambazo hata swala la usafi halisimamiwi vizuri.
Yaan unalipa nauli kwanzia 70,000 nakuendelea alafu gari lina Mende kunguni na wadudu wengine wasiojulikana.
Usalama wa kiafya abiria hauzingatiwi. Watu wanasafiri kama wakimbizi wa Vita