Ubena Zomozi
JF-Expert Member
- Jun 19, 2022
- 1,608
- 1,286
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hyo barabara tokea wanaijenga nlijuwa tu huko mbeleni majangaa na haitoudumuHahaha nimecheka kwa sauti.
Ila inahuzunisha ndo maana maza siku hizi hajali ana time kwasababu mitanzania inakera sana.
Na hata asiendelee kupigania shilingi kuendelea kuimarika dhidi ya dola kwasababu mibongo ni mipumbavu sana.
Noma sana....Mafungu yenyewe ya maintenance hakuna Mkandarasi akifanya kazi anakopwa kulipwa ni majaaliwa wengi wanazikimbia kazi za Tanroads zimekuwa kichefuchefu sio siri iko wazi. Fanya kazi ila Malipo utasubirishwa sana Mtaasisi za Fedha zenyewe kwa sasa zinaogopa sana kufanya Biashara na Watu walio na mikataba na Tanroads, Tarura na hata mamlaka za maji.
Teh teh 😃 😃 ubora wa Barabara zetu ni utata.Hii road walipaka lami juu ya mchanga .... N mashimbo kilaa mita kadhaa kama wanaishi panya..