KERO MAAJABU! Dom-Iringa, mashimo kama yote. Mkandarasi bado yupo site?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Hahaha nimecheka kwa sauti.

Ila inahuzunisha ndo maana maza siku hizi hajali ana time kwasababu mitanzania inakera sana.

Na hata asiendelee kupigania shilingi kuendelea kuimarika dhidi ya dola kwasababu mibongo ni mipumbavu sana.
Hyo barabara tokea wanaijenga nlijuwa tu huko mbeleni majangaa na haitoudumu

Ova
 
Noma sana....
 
Weka kapicha cha kusindikiza uzi basi......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…